Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Status
Not open for further replies.
YAP ALILOSEMA SWAT NI SAWA KABISA,WANANCHI MSIWE NA WASIWASI,HII Nchi ngumu sana na mnajuaje kuwa tz inawatu kiasi gani uko,jwtz ndio jeshi mama la afrika
 
YAP ALILOSEMA SWAT NI SAWA KABISA,WANANCHI MSIWE NA WASIWASI,HII Nchi ngumu sana na mnajuaje kuwa tz inawatu kiasi gani uko,jwtz ndio jeshi mama la afrika

hata wakijua kila kitu kuhusu JWTZ hawana uwezo wa kutupiga. Ni sawa na Angola wapewe Data zote za Jeshi la Ufaransa harafu Angola ategemee kumpiga Mfaransa. Hakuna nchi Afrika inayopenda kuingia vitani na Tanzania.
 
Enzi zileeeee... This was a high level infiltration
 
Si bora huko jeshini, yan usalama wa taifa ndio wamejaa mamluki kibao wa Rwanda. Nchi imeoza hii. Watu wakiambiwa ukweli wanakuja na stori zao za walivyompiga Idd Amin.

Chukua tochi umulike halafu usikae kimya mungu atakubariki sana sana
 
Wewe an
Askari wa JWTZ mwenye asili ya Rwanda adaiwa kutoroka Tanzania!jeshi limesema litatoa taarifa zaidi kuhusu mwanajeshi huyo anayedaiwa kutoroka na nyaraka muhimu za jeshi!!

Source: Mtanzania jumapili
Ana cheo gani?
 
huyu si mtu wa kuzalau hata kidogo, unapomzungumzia Luten kanali si mtu mdogo ndugu zangu, wanajeshi fanyeni uchunguzi wa kina ila mbona usalama wamejaa na hamfatilii mnazidi kuwajaza vyeo?
 
huyu si mtu wa kuzalau hata kidogo, unapomzungumzia Luten kanali si mtu mdogo ndugu zangu, wanajeshi fanyeni uchunguzi wa kina ila mbona usalama wamejaa na hamfatilii mnazidi kuwajaza vyeo?
Mkuu soma vzur toka mwanzo wa hii thread utaelewa baadhi ya vtu kuhusu huyo askari anayeitwa mtoro nimemalza
 
rwanda kama kweli wameamua urafiki na tz basi wamrejeshe huyo mtanzania mnyaru. nchi rafiki hazitorosheani askari vinginevyo tutaelewa kagame ni yuleyule mtutsi mwenye hila nyingi.
Kuna yule mjeshi au afisa usalama wa,kinyarwanda alikimbilia tz alijisalimisha polisi arusha
 
Mtikila alishasema Kagame ana "wanajeshi wake kwenye JWTZ", watu wakampuuza, sasa huu ni mfano mmoja wapo tu....
Tuliamua kuiuza nchi yetu, hii ni kweli na kuna taasisi nyingi binafsi na selikali ambazo zina watumishi wenye asili kutoka nje ya mipaka yetu, sidhani kama kuna ufuatiliaji makini dhidi ya hawa ma economic intergence, na ma spy waliojaa kila kona na pia tukiwapa chance nzuri ya wao kutimiza mambo yao.
 
rwanda kama kweli wameamua urafiki na tz basi wamrejeshe huyo mtanzania mnyaru. nchi rafiki hazitorosheani askari vinginevyo tutaelewa kagame ni yuleyule mtutsi mwenye hila nyingi.
Maoni yangu:Itabidi wakuu waangalie upya huo uhusiano unaopigiwa debe na Kagame kama ni wa kawaida au kuna hidden agenda
 
Kadri wanavyojua siri za nchi ndio wanavyozidi kuwa waoga.
Hapo hawatathubutu hata kukohoa
 
Seromba. Sikumbuki jina lake la kwanza.

Ad maiorem dei glorium He will be caught nowhere to run, kudadadeki atashikwa tu anyway mungu tubarike innocent Tanzanians, au agongwe na linyoka la ajabu afe kabisa haa what is it hakyamungu kunahitajika kuhakiki vyeti vyao wote
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom