Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Status
Not open for further replies.
Mungu amlaani huyo jamaa agongwe na gari afe na kila alichochukua kirudi eeh mungu unajua sisi tunaziweka nchi za jirani katika hali nzuri kwa mamlaka yako zitulie halafu linyanga'u fulani linasaliti daah mungu yupo nasi na yupo na jeshi letu.
 
Askari wa JWTZ mwenye asili ya Rwanda adaiwa kutoroka Tanzania!jeshi limesema litatoa taarifa zaidi kuhusu mwanajeshi huyo anayedaiwa kutoroka na nyaraka muhimu za jeshi!!

Source: Mtanzania jumapili

katumwa na chadema

hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa maweeeeeeeee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom