Askari mwingine David Dorn, auliwa USA!

Askari mwingine David Dorn, auliwa USA!

Hivi Sasa,wakati huu,saa hizi Wafaransa wanaandamana kudai haki ya mtu Mweusi alieuliwa na Polisi 2016..

The World is gonna burning..
Yah nimesikia MKUU ila wanatakiwa wakamate hapo hapo walipokamata mpaka kieleweke kwanza
 
Upuuzi mtupu,wanajua wanafanya hayo mavurugu yote mpk kwenda ikulu kuzingua sababu wanajua nchi yao mambo ya rule of law yanazingatiwa na hakuna kitu police watawafanya.

Waambie waafrica walioko lockdown huku Africa nao wajifanye wamedata na kuanza kuvamia maduka ya watu,kusogelea ikulu uone watakavyokufa kwa kichapo kama kuku vile mpk vifaru vitawapitia juu.
Hahahahahahahah!!!!
 
Ni kweli kabisa mkuu, nilienda huko kuna fursa nyingi sana za kimaisha lakini siyo Taifa salama kabisa kuishi, Police katili, raia vichaa.
Utaachaje kuwa katili kwenye nchi ambayo kuna raia wa kila aina??
Silaha za kila aina zimepatakaa mitaani..
 
Utaachaje kuwa katili kwenye nchi ambayo kuna raia wa kila aina??
Silaha za kila aina zimepatakaa mitaani..
Takwimu zinaonesha katika raia 10 utaopishana nao hapa states basi mmoja tu ndio hana chamoto

Maisha gani haya ?!

inabidi tuishi tu kimitego mitego maana hakuna namna sasa.....
 
Upuuzi mtupu,wanajua wanafanya hayo mavurugu yote mpk kwenda ikulu kuzingua sababu wanajua nchi yao mambo ya rule of law yanazingatiwa na hakuna kitu police watawafanya.

Waambie waafrica walioko lockdown huku Africa nao wajifanye wamedata na kuanza kuvamia maduka ya watu,kusogelea ikulu uone watakavyokufa kwa kichapo kama kuku vile mpk vifaru vitawapitia juu.
Uko sahihi na hayo ndio madhara ya demokrasia isiyo na mipaka ndio maana hayo maandamano yamevamiwa na makundi ya wahuni wanaoendesha uhalifu sababu wanajua hakuna kitakachowapata.
 
Inawezekana....ila wapo wachambuzi mbalimbali ambao wanahofu kutokea civil war na kulisambaratisha taifa Hilo...hofu hii ya civil war ni ya siku nyingi.
Kwahii stage yaunyanyasaji ulipofikia wacha ije halaf tupange mambo yetu kivingine tu maana hakuna namna sasa.....
 
Inawezekana....ila wapo wachambuzi mbalimbali ambao wanahofu kutokea civil war na kulisambaratisha taifa Hilo...hofu hii ya civil war ni ya siku nyingi.
You mean civil war baina ya pande ipi na ipi mkuu
 
You mean civil war baina ya pande ipi na ipi mkuu
Unajua USA ni nchi ambayo haina mwenyewe...Wote ni wahamiaji...wenye nchi ni wahindi wekundu ' Red Indians' ambao waliuawa katika mauaji ya kikatili mno...waliobaki hivi Sasa wanaishi kwenye 'zones' zilizotengwa..yaani wahindi wekundu wako kwenye maeneo Kama zoo ...sitaki kuingia kwa undani kwani ni historia inayotisha., Wamarekani wenyewe huwa hawataki kulizungumzia hili kwani walifanya ukatili wa kutisha ...kwa hiyo Marekani kuna whites kwa maana ya wazungu kutoka England, Ujdrmani, Ireland, Italy, Spaniards, Eastern Europe, na kadhalika...wako pia kutoka Latin America...Wapo waasia Kama wahindi, wachina na kadhalika...Halafu Wapo blacks...makundi yote Yana watu in millions...Trump mwenyewe inasemekana asili yake ni Ujerumani, Clinton nadhani asili yake ni Irish Kama sijakosea..Obama tunajua asili yake ni Kenya kwa maana ya Afrika...Sasa swali lako lilikuwa je civil war itakuwa baina ya makundi yapi? Binafsi Sijui...wako wachambuzi wanaosema kuwa inaweza ikawa baina ya states...kwa mfano inaelezwa kuwa California wako wanaotaka ijitenge...wengine wanasema inaweza ikawa Kati ya masikini na matajiri..wengine wanasema Kati ya 'ethnic groups'...Tusisahau kuwa iliwahi kutokea civil war huko USA miaka kadhaa ya nyuma Kati ya North na South...Sina jibu rshisi kwa swali lako zuri...
 
Unajua USA ni nchi ambayo haina mwenyewe...Wote ni wahamiaji...wenye nchi ni wahindi wekundu ' Red Indians' ambao waliuawa katika mauaji ya kikatili mno...waliobaki hivi Sasa wanaishi kwenye 'zones' zilizotengwa..yaani wahindi wekundu wako kwenye maeneo Kama zoo ...sitaki kuingia kwa undani kwani ni historia inayotisha., Wamarekani wenyewe huwa hawataki kulizungumzia hili kwani walifanya ukatili wa kutisha ...kwa hiyo Marekani kuna whites kwa maana ya wazungu kutoka England, Ujdrmani, Ireland, Italy, Spaniards, Eastern Europe, na kadhalika...wako pia kutoka Latin America...Wapo waasia Kama wahindi, wachina na kadhalika...Halafu Wapo blacks...makundi yote Yana watu in millions...Trump mwenyewe inasemekana asili yake ni Ujerumani, Clinton nadhani asili yake ni Irish Kama sijakosea..Obama tunajua asili yake ni Kenya kwa maana ya Afrika...Sasa swali lako lilikuwa je civil war itakuwa baina ya makundi yapi? Binafsi Sijui...wako wachambuzi wanaosema kuwa inaweza ikawa baina ya states...kwa mfano inaelezwa kuwa California wako wanaotaka ijitenge...wengine wanasema inaweza ikawa Kati ya masikini na matajiri..wengine wanasema Kati ya 'ethnic groups'...Tusisahau kuwa iliwahi kutokea civil war huko USA miaka kadhaa ya nyuma Kati ya North na South...Sina jibu rshisi kwa swali lako zuri...
Hiyo civil ya nyuma ulivyoi refer, mtu hasiyejua history anaweza akahisi ilitokea miaka ya karibuni hivi
 
Unajua USA ni nchi ambayo haina mwenyewe...Wote ni wahamiaji...wenye nchi ni wahindi wekundu ' Red Indians' ambao waliuawa katika mauaji ya kikatili mno...waliobaki hivi Sasa wanaishi kwenye 'zones' zilizotengwa..yaani wahindi wekundu wako kwenye maeneo Kama zoo ...sitaki kuingia kwa undani kwani ni historia inayotisha., Wamarekani wenyewe huwa hawataki kulizungumzia hili kwani walifanya ukatili wa kutisha ...kwa hiyo Marekani kuna whites kwa maana ya wazungu kutoka England, Ujdrmani, Ireland, Italy, Spaniards, Eastern Europe, na kadhalika...wako pia kutoka Latin America...Wapo waasia Kama wahindi, wachina na kadhalika...Halafu Wapo blacks...makundi yote Yana watu in millions...Trump mwenyewe inasemekana asili yake ni Ujerumani, Clinton nadhani asili yake ni Irish Kama sijakosea..Obama tunajua asili yake ni Kenya kwa maana ya Afrika...Sasa swali lako lilikuwa je civil war itakuwa baina ya makundi yapi? Binafsi Sijui...wako wachambuzi wanaosema kuwa inaweza ikawa baina ya states...kwa mfano inaelezwa kuwa California wako wanaotaka ijitenge...wengine wanasema inaweza ikawa Kati ya masikini na matajiri..wengine wanasema Kati ya 'ethnic groups'...Tusisahau kuwa iliwahi kutokea civil war huko USA miaka kadhaa ya nyuma Kati ya North na South...Sina jibu rshisi kwa swali lako zuri...
Uko vizuri mkuu
 
Hiyo civil ya nyuma ulivyoi refer, mtu hasiyejua history anaweza akahisi ilitokea miaka ya karibuni hivi
Hahaha ok sawa ...civil war ya USA ilikuwa ni miaka ya katikati ya 1800 specifically nadhani ni kuanzia 1861 Hadi 1865 Kama sijakosea...ilikuwa Kati ya North na South..anyway nimesoma siku nyingi kidogo..nilipitia somewhere miaka ya nyuma the politics of industrial states...
 
Hahaha ok sawa ...civil war ya USA ilikuwa ni miaka ya katikati ya 1800 specifically nadhani ni kuanzia 1861 Hadi 1865 Kama sijakosea...ilikuwa Kati ya North na South..anyway nimesoma siku nyingi kidogo..nilipitia somewhere miaka ya nyuma the politics of industrial states...
Of course issue kubwa ilikuwa mambo ya slavery
 
Back
Top Bottom