Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Jumbe wa Siri ya Mapenzi?anafanana na jumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jumbe wa Siri ya Mapenzi?anafanana na jumbe
yes chiefJumbe wa Siri ya Mapenzi?
Acha wavune walichopanda mzee baba, maana wao ni mabingwa wa ku support maandamano huko hong kong na nchi nyinginezo duniani wakisema ni haki ya wananchi kuandamana.Wameshaanza kumbe!! Na hizo serikali zikiwaingilia yanageuka kuwa violence!!
Upuuzi mtupu,wanajua wanafanya hayo mavurugu yote mpk kwenda ikulu kuzingua sababu wanajua nchi yao mambo ya rule of law yanazingatiwa na hakuna kitu police watawafanya.
Waambie waafrica walioko lockdown huku Africa nao wajifanye wamedata na kuanza kuvamia maduka ya watu,kusogelea ikulu uone watakavyokufa kwa kichapo kama kuku vile mpk vifaru vitawapitia juu.
Wazungu sio vichaa ila hio ndio demokrasia ya maandamano wanayoililiaga kwny nchi mbalimbali duniani.Wazungu ni wajinga. Ukiwauliza wanaandamana sababu ya nini wako kimya
Mkuu mtawala wa kiafrika ukitaka kujua ndIo babake na ibilisi, tishia mustakabari wa madaraka yake, mtachinjwa Kama kuku wa harusiniUpuuzi mtupu,wanajua wanafanya hayo mavurugu yote mpk kwenda ikulu kuzingua sababu wanajua nchi yao mambo ya rule of law yanazingatiwa na hakuna kitu police watawafanya.
Waambie waafrica walioko lockdown huku Africa nao wajifanye wamedata na kuanza kuvamia maduka ya watu,kusogelea ikulu uone watakavyokufa kwa kichapo kama kuku vile mpk vifaru vitawapitia juu.
Usifananishe Marekani na Tanzania utakuwa mbumbumbu wa hali ya juu, lockdowm ya US wananchi wote walikuwa wanahudumiwa chakula na serikali, hao vibaka wanaopora hawana njaa Kama vibaka wa Manzese, Marekani siyo mbinguni ni Duniani kwa hiyo wahuni wapo tuKama huna kazi,
huna hela,
Huna chakula,
alafu umepigwa lockdown....
lazima uwe looter ili usurvive....
madhara ya lockdown...
ni makubwa kuliko corona
single touch double manifestation
watu wengi hawakumuelewa Jiwe
Haijalishi wao wanapambana na askari policeNi black-American lakn
Acha kabisa mkuu, kwenye hilo suala watawala hua hawana utani nadhani hii roho hata wachina wanayo maana mwaka 1989 wachina walikanyaga waandamanaji kwa vifaru kabisa.Mkuu mtawala wa kiafrika ukitaka kujua ndo babake na ibilisi, tishia mthitakabari wa madaraka yake, mtachinjwa Kama kuku wa harusini
Hahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23]Acha wavune walichopanda mzee baba,maana wao ni mabingwa wa ku support maandamano huko hong kong na nchi nyinginezo duniani wakisema ni haki ya wananchi kuandamana.
Nasi tunasema waandamane mpk ikulu ya Marekani na wakiweza wamkamate mpk trump na wamvue lile wigi .
Mkuu Kwani aliyeuawa ni mhamiaji ?Mimi naona hizi vurugu ndio zinazidi kuwapa nguvu wale far right, wale wasiopenda uhamiaji,
watapata hoja kuwa watu weusi na weupe hawawezi kuchangamana kwa amani hivyo kuruhusu wahamie kwa wingi kutakuja kuleta machafuko Kama inavyotokea Marekani
Hujui mental agony anayopata jobless anayeishi kwenye nchi za kibepari ni tofauti na mtu anayeishi nchi zilizokuwa na mfumo wa kijamaa/ halfwayusifananishe Marekani na Tanzania utakuwa mbumbumbu wa hali ya juu , lockdowm ya US wananchi wote walikuwa wanahudumiwa chakula na serikali, hao vibaka wanaopora hawana njaa Kama vibaka wa manzese, Marekani siyo mbinguni ni Duniani kwa hiyo wahuni wapo tu
Huwa mnaangalia habari au mnabeba maneno ya vijiweni mnaleta huku..usifananishe Marekani na Tanzania utakuwa mbumbumbu wa hali ya juu , lockdowm ya US wananchi wote walikuwa wanahudumiwa chakula na serikali, hao vibaka wanaopora hawana njaa Kama vibaka wa manzese, Marekani siyo mbinguni ni Duniani kwa hiyo wahuni wapo tu
Kama maandamano ya Arab spring yalivyoaanza,yalianzia TunisiaAm afraid hii kitu inaweza kwenda beyond US borders!!! Protest ikazikumba nchi mbalimbali duniani!!
Hapa ndo akili za mtu mweusi hazieleweki, suala lilikuwa ubaguzi wa rangi. Sasa waafika wameuwa mwafrika mwenzao unadai eti ni polisi! Acha tu Trump apeleke vifaru.Haijalishi wao wanapambana na askari police