Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhan Hujaelewa, Dhumuni sio Kumiliki Silaha bali Matumizi yake ni nn? hizi AK47 zinanguvu sana huwez pigwa nayo mwilini ukapona,.. Je nambie Wewe unayeelewa Dhumuni ni kuuwa au Ku neutralize kikwazo?The late mwangosi aliuawa kwa bunduki ya bomu la machozi tu.
Sijui unafahamu nini kuhusu silaha za kivita,ila hiyo silaha vitani inamhusu askari mmoja tu,ambaye matumizi yake hayatofautiani na haya ya askari wa polisi, labda siku ukiwaona na kifaru bank utahoji, hiyo ni silaha ndogo sana ya kivita. Lakini silaha bora sana kwa matumizi yasiyo ya kivita.ndio maana ili kuizatiti zaidi sheria ikakataa kabisa umiliki wa silaha yoyote auto kwa taasisi isiyo ya kulinda usalama na ya kiserikali.
Polisi hawawezi kuwa na vipistol peke yake ambavyo hata watu wenye hela ya kununua iphones wanavyo.
Siraha za Auto watumie pale ambapo panahitaj nguvu ya Kadri, ila kwa ulinzi wa raisa na Doria tutumie tu PistolWazo zuri.
Maana ni amani pale ambapo watu uwezo wa kudhuriana ni mdogo.
Hata kama ni amani zaidi pale hatudhuriani hata kidogo. Lakini tuwe wakweli tufanye kinachowezekana tupunguze uwezo wa kudhuriana
Majambazi wasimiliki auto machines, na mapolisi wasimiliki auto machines✌. Nnajitolea kuwa mwenyekiti wa hii nationwide disarmament ya majambazi na polisi 😂😂
Tukio kama ni kubwa waweza tumia Auto GunsHizo ni nchi za wenzetu na hizo ni tamaduni zao. Nasi kama taifa tunaonesha utofauti wetu, kuwa inawezekana askari polisi kutumia AK 47 na SMG na mambo yakawa Sawa tu.
Pia mfano lile tukio la Hamza imagine wawe saba, utaweza kuwatuliza kwa pistol?
SMG siyo jina la bunduki ni sifa ya bunduki, AK47 pia ina sifa za bunduki zenye sifa ya SMG na ndo jina la bunduki wanazobeba polisi zinaitwa Ak47 kwahiyo usiseme Ak47 na SMG inakua haileti maana, ni sawa na useme mtu na mrefu , mtu ni kiumbe na mrefu ni sifaUkiwa ni mtu ambaye hujawahi kukutana na majambazi wenye SMG na AK47 utatoa ushauri kama huu. Lakini ukikutana na changamoto kubwa ya kukabiliana na jambazi mwenye zana za kisasa na silaha za kivita naamini utatoa ushauri wa kutumia silaha Kali zaidi ya hizi wanazotumia askari polisi za Sasa. Cha msingi ni kuangalia katika kupunguza pengo la maskini na tajiri ndipo watu kujitoa mhanga wa kununua silaha za kivita na kutoka nchi zenye makundi ya waasi na kuja kuzitumia kutafuta fedha kwa nguvu na kutumia silaha! Endelea kuomba mungu siku Moja usishuhudie tukio Hilo na wewe uwe ni miongoni mwa watu waliokuwa wanalengwa kuibiwa na hao wenye silaha maana utaomba kwa lugha zote, dini zote na utakumbuka yote mabaya na mazuri ulofanya, familia yako,mkeo,watoto,mali zako, na mengi ulofanya mpaka wa huo tukio hilo linakutokea maana hutaamini kama watafanikiwa kuwaua wote ili wewe na wenzako mpone maana umetoka kutafuta kihalali na wenzako wanatumia njia ya mkato!!
Risasi za bongo za mchongo tu kama ccm ya mchongoAsikufanganye mtu, shida sio wingi wa Risasi bali ni Nguvu na Athari za risasi
aliyekwambia kwamba inaua popote itakapopiga hakuwa na lengo zuri kwako kielimu.Nadhan Hujaelewa, Dhumuni sio Kumiliki Silaha bali Matumizi yake ni nn? hizi AK47 zinanguvu sana huwez pigwa nayo mwilini ukapona,.. Je nambie Wewe unayeelewa Dhumuni ni kuuwa au Ku neutralize kikwazo?
Issue sio wingi wa risasi bali impact ya pigo lake.Msiogope zile magazini huwa wanawekewa risasi tano tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna kitu mkuu bongo tunatumia risasi za plastikiIssue sio wingi wa risasi bali impact ya pigo lake.
Ni kweli mkuu,ukizingatia na hali ya Nchi yetu.Haina matukio magumu ambayo itapelekea Polisi kujihami na silaha zile.Sio Silaha sahihi kwa Ulinzi wetu katika jamii
Wewe jambazi nini ?! Unataka Askari wapewe gobore ili ukija na SMG yako polisi washindwe kupambana na wewe ?!Hizi bunduki za Automatiki zenye risasi nyingi kama 30+ ni silaha mahususi za Kivita sio za kulinda Raia au Kupigia Doria
Ukiangalia Nchi za wenzetu Police wanatumia Hand Gun kama Pistol ndogo kama Bereta na Glock kwasababu hizi hazina Impact kubwa ukipigwa katika mwili. Ila hizi Mashine Gun ni ngumu kuishi baada ya kupigwa kwasababu ina Impact kubwa sana unapopigwa nayo. Tujikumbushe kwa yaliowahi tokea
Naomba Mamlaka Husika iangazie hili na kulipa uzito ili kuepusha athari za hapa na pale