Asante Mungu aliyetuondolea balaa mwezi March. Nchi ilikuwa inaelekea shimoni!Nchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6
Mbona yeye alimtegemea Bashite hadi alipoachia uRC wa Dar kwa hiari yake?Nchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6
Ishu siyo mtu, ni matukio. Huyu IGP aliwahi kuambiwa na Jiwe akiwa RPC DAR awanyang'anye hawa wajinga silaha haraka haraka na ndo maana ujambazi ulipungua wakati ule, leo mama kadokezwa kuwa ule ujinga umerudi so amemkumbusha Siro, asipime kina cha maji. Siku zote majambazi ni Polisi, yaani aendelee pale Jiwe alipoachiwa. MUHIMU, MAJAMBAZI NI ASKARI POLISI, Period
Lete ambazo si za vijiweni basMkuu nakushauri usipende sana kuamini stori za vijiweni.
Kwa hiyo mnaona Mwanza hatutakiwi kuwa RPC jembe?Mtajwa hapo ni RPC wa Mwanza ACP Muliro Jumanne Muliro
Kiukweli tu kama ni huyu basi jamaa ni jembe haswa, hakuna ubishi juu ya hilo kutokana na CV yake
Acha "zarau".Kweli Mungu fund, hawezi kukupa kila kitu,kawapa wasukuma maguvu kisha akawanyima akili.
Akawapa wahaya na wachaga akili akawanyima manguvu.
Sawa kabisa. Asijingize kwenye utendaji, mambo ya jikoni hayoRais anataka kusema dawa ya ujambazi Dsm anayo huyo askari mmoja pekee? kwani yeye mafunzo yake aliyapatia wapi tofauti na hawa wengine?
Awe makini na hizi kauli zake, zitashusha ari ya kazi kwa hawa askari waliopo, vyema serikali yake itoe msaada unaohitajika mengine amuachie IGP ayamalize.
Ha ha ha ha...Rais anayesema ujambazi umeongezeka Dsm kwa sababu ya askari mmoja amehamishwa, bila kuwa hata na taarifa za ndani za huyo askari, hapa hatuna Rais, tuna mzigo tu Ikulu.
Kwa ufupi ule ujumbe unaihusu hata ajira ya IGP Sirro mwenyewe. Kwamba akae chini na wasaidizi wake na wajipange kupambana na ujambazi ulioibuka.Ume mnukuu vibaya hakutoa maelekezo yoyote ya askari fulani kurudishwa Dar ila aliongea kiutu uzima kuwa mitandaoni watu hadi wanasema afande nani.....arudishwe maana alisaidia kukomesha Ujambazi.Usipoelewa kauli hiyo lazima uje na scenario ya afande mmoja lakini kauli hii inawaamsha maafande wa Jiji la DAR ES SALAAM kuwa wamelala.
Suzan Kaganda ?Kuna Mama mmoja alitolewa Dar, ukiwa mchapa kazi unatolewa kwa majungu hii nchi bhana
Kumbe ndi maana mlikua mnamuita yesu. Duh!Yeah, very regrettable as the Jews did to Jesus Christ!
Aliyekuwa ZCO amabye kwasasa kahamishiwa dodoma baada yakupandishwa cheoKufa na wewe
Siyo kweli bana jamaa hajawahi kuwa RPC temeke ila kawahi kuwa RPC kinodoni kabla hajapandishwa cheo nakwenda kanda maalumu kama ZCOYes, Ameshakaa Mwanza akiwa OCS akaja Dar na ameshakua RPC temeke ndio akaenda Dodoma Kama sijakosea
Nchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6
Kwani milion 6 wote NI majambazi?Nchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6
Nawe unataka kufa?Nchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6