pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Mambosasa ni askari bomba sana na mahiri ktk kazi. hana mfano. Hongera sana kamanda MambosasaMama angemfukuza Mambosasa halafu akamleta yule Kamanda Mwarabu mtoto wa Mjini yule Kakomesha Majambazi Kilimanjaro
Lakini Mama pia aruhusu Shisha Bange na Mirungi ili Polisi wakimbizane na Unga na Ngada hatari
Nahisi huyo huyoSio Afande Muroto Kweli, mzee wa kipigo Cha Mbwa Koko, Mzee was unapigwa Hadi uchakae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee..Nakumbuka wakati nasoma shule kuna mwalimu alikuwa akiingia kwenye zamu yake ya wiki ilikua hakuna masihara, hata maasikari ndio hivo hivo wapo wenye uwezo tofauti ingawa wanapata mafunzo sawa. Mama piga kazi tupo nyuma yako
Kwahiyo wanaokosoa ni Wasukuma,na wanaounga mkono je ni kabila gani?Mmebakia kukosoa tu wasukuma. Mbona kauli za dikteta magufuli mlikuwa hamzikosoa,,mlikuwa mnajifanya watu wamemnukuu vibaya Rais"**
Acha kutufananishaMkuu, Mataga wenzako wa humu wameshaanza kumuunga mkono mama.
Wewe utaanza kuunga mkono lini?
Yaani inashangaza eti leo USSR ni mpinzani wa serikali ya CCM.
Maisha yako kasi sana.
Warundi tunaowasaidia waje watusaidie leo kwa ishu ndogo za uchaguzi?Halijojo ni wewe uliye na ubongo ulioganda, hamaanishi kwamba huyo jamaa ni hvyo unavyofikiria wewe, ntakupa mfano., uchaguzi uliopita mwendazake alileta waburundi je Tanzania hakuna Jeshi la polisi imara ku-deal na uchaguzi hasa kwa wananchi ambao hawatumii silaha? Mbona alileta warundi?
Dah!Suzan Kaganda ?
Mimi siumii namtakia Mema Mama kwasababu mimi ni muumini wa Falsafa si watu ila natamani mama akaze buti na akifanikiwa Imefanikiwa Nchi yangu Tanzania, watu wanamchukulia poa mama naona. Pia mitandaoni kila siku kuna nini? Kwamba mama hana vyombo, "utasikia nimesikia mitandaoni" Idara zetu zile za juu ziko wapi kumpa mama Taarifa? Mitandao ni mizuri kwamba inaweza toa taarifa ambayo si biasi but kuna muda mitandao inatoa taarifa ambazo ni biasi. Narudia tena, Molali ya Askari na hasa wa Juu inategemea sana Mama wanamsoma vipi? Naona kama bado anachukuliwa poa au bado hajaeleweka hasa dira yake kuhusu mambo ya kukomesha ujambazi. Nchi hii inahitaji ushujaa kidogo, kuna watu (baadhi) ni wagumu kuelewa.
Sitapenda Mazuri waliyoyafanya na Hayati akiwa top yapotee yaani arudi nyuma halafu watanzania waanze sema ona tumerudi nyuma. Natamani Watanzania waseme, ona tumesonga mbele zaidi ya tulipokuwa. Itakuwa Raha kwa nchi yetu Tanzania.
Acheni mambo yenu hakuna kitu rais hajuiRais hatambui lolote hata jina la huyo Askari halijui yeye kasoma tu mitandaoni hizo taarifa za ujambazi na watu kumtaka huyo askari nae akachukua kama zilivyo kutoka huko mitandaoni.
Nchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6
Sasa kama wanaume wa huko wanakimbilia uvunguni wakisika tu paaaaah! Unategemea nani aje awasaidie kama sio kidume wa mkoani..?Nchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6
Wewe ni kama nani hadi nikusikilize?Acheni mambo yenu hakuna kitu rais hajui
Limeshazungumzika huko kwenye kamati hakutaka kusema tu hadharani lakini Igp ameshamuelewa
Mimi sijawaona hao wanaoitwa wazee hiyo jana,labda wazee wa mujini.Sijui tafsri / sifa nzuri ya neno wazee , mimi nilidhani uzee ni mtu angalau kuanzia miaka 65 na kuendelea lakini kama mtu ana miaka 45 hadi 60 naona huyu hastahili kuitwa mzee na ndio maana hata kustaafu kazini anakuwa bado ,wale wa jana wengi ni kama wapo kwenye 45- 50sWote tumesikia kutoka kwa Mh Rais alipokuwa anaongea na Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam kuhusu kuongezeka kwa matukio ya ujambazi Jijini Dar es Salaam na vitongoji vyake (maana Jiji ni Ilala tu) ambapo Mh Rais amemuagiza IGP kulishughulikia jambo hilo na kulikomesha haraka huku akiagiza yule askari aliyehamishwa ambaye ni mahiri kwenye kukomesha majambazi arejeshwe .
Ni askari yupi huyo aliyehamishwa na sasa anatakiwa kurejeshwa ili kudhibiti ujambazi? Ni nani alimhamisha na kwa sababu zipi?
Inaonesha hujaridhika kwa huyo Magufuli kufa hali ya kuwa hukumpiga hata kofi na wala hata hakuwa anajua kama unamchukia kiasi hicho, mimi nakushauri ujitahidi kumsahau tu maana ameshafariki hizo hasira na chuki ulizobaki nazo usipoangalia zitaendelea kukutia stress hadi siku ya kufukiwa kama Magufuli.Nenda ukamsaidie kufa huyo JPM wako kama unammisi mwenzio na ujambazi wake wote aliwafanyia watanzanyia amefukiwa kule bado nyie mburukenge wake.
Mkuu..! kama jpm mmoja aliweza kudhibiti kila kitu ambacho unaona vinakufa tangu aondoke kwanini uwe na shaka kwa huyo askari mmoja kudhibiti eneo la watu million 6Nchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6
Mimi in mume mmeo.Alikuwa mumeo?
Hapana umekosea. Tulimuita MUNGU BABA! Yesu in Mungu Mwana!Kumbe ndi maana mlikua mnamuita yesu. Duh!
Na wewe ni nani unataka tukusikilize?Wewe ni kama nani hadi nikusikilize?
Umetumwa au unslingine liko chini ya zulia..mama mtapenda tu..tumpe muda..Rais anayesema ujambazi umeongezeka Dsm kwa sababu ya askari mmoja amehamishwa, bila kuwa hata na taarifa za ndani za huyo askari, hapa hatuna Rais, tuna mzigo tu Ikulu.