Mama anaongoza nchi kwa kutumia mitandao, yani et kaona huko mitandaoni wamemtaja huyo Askari hata jina halikumbuki.
Hii ndiyo taabu ya kujibishana na hivi viwavi vya jana, bwana mdogo mkorinto koma kubishana na wanaokuzidi akili na umri tafadhali. Hebu soma hapa kuhusu moja wa wafuasi wa Hitler aliyejificha Marekani kwa zaidi ya miaka sabini...wafuasi wake wanatafutwa na nani mbuzi wewemiaka 83 iliyopita utampata mfusi gani wa hitler!!!mimi nazungumzia legacy aliyowaachia wajerumani wewe unazungumzia wafuasi!!! acheni pombe umri mdogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee wa chinja chinja
Maneno ya SSH yanaweza kuwa na walakini sehemu lakini inawezekana kabisa mkawapa mafunzo watu 100 na kati yao mwenye uwezo wa kuifanya kazi vizur akawa mmoja tu au hamna kabisaRais anataka kusema dawa ya ujambazi Dsm anayo huyo askari mmoja pekee? kwani yeye mafunzo yake aliyapatia wapi tofauti na hawa wengine?
Awe makini na hizi kauli zake, zitashusha ari ya kazi kwa hawa askari waliopo, vyema serikali yake itoe msaada unaohitajika mengine amuachie IGP ayamalize.
Nini hicho kisichohojika mkuu?Wabongo tabia ya kupenda kujengea kila kitu hoja kuna siku mtakuja kuhoji na ambavyo haviojiki
Ndiyo kabisa na wala hajakosea Bersolona anajulikana Messi tu na ina players 11 .Jaribu kuwa smart kaka pengine huyo askari ana mbinu zake tofaouti na wengine ndio maana akawa smart tofauti na wenzake anajua vizuri kudeal na majambazi ndio serikali inamtaka .Rais anataka kusema dawa ya ujambazi Dsm anayo huyo askari mmoja pekee? kwani yeye mafunzo yake aliyapatia wapi tofauti na hawa wengine?
Awe makini na hizi kauli zake, zitashusha ari ya kazi kwa hawa askari waliopo, vyema serikali yake itoe msaada unaohitajika mengine amuachie IGP ayamalize.
Makambini huko bab, unataka ujuw hoteli huko ufipa unakoishi?hao warundi walifikia hotel gani!!!
acheni story za udaku.
makambi gani,maana unaongea na anayezijua kambi zote mpaka za wakimbizi.Makambini huko bab, unataka ujuw hoteli huko ufipa unakoishi?
Walifika kule pemba kangagani na kuuwa watu sasa wewe hangaika na hoteli walizofikiamakambi gani,maana unaongea na anayezijua kambi zote mpaka za wakimbizi.
Mwanza pia kwa muliro hali sio shwari, nadhani kuna mlipuko wa wizi, ujambazi na ubakaji nchi nzima sio dar pekee.Kile chumaa!!
Niliona Kishiri pale kibaka kafanywa majivu kabisa majuzi Kati hapaMwanza pia kwa muliro hali sio shwari, nadhani kuna mlipuko wa wizi, ujambazi na ubakaji nchi nzima sio dar pekee.
Idiot...mwanaume ungefoji cheti?Mimi mwanaume.
Hawa akina Siro ni wapiga dili wazuriWote tumesikia kutoka kwa Mh Rais alipokuwa anaongea na Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam kuhusu kuongezeka kwa matukio ya ujambazi Jijini Dar es Salaam na vitongoji vyake (maana Jiji ni Ilala tu) ambapo Mh Rais amemuagiza IGP kulishughulikia jambo hilo na kulikomesha haraka huku akiagiza yule askari aliyehamishwa ambaye ni mahiri kwenye kukomesha majambazi arejeshwe .
Ni askari yupi huyo aliyehamishwa na sasa anatakiwa kurejeshwa ili kudhibiti ujambazi? Ni nani alimhamisha na kwa sababu zipi?
Venansy tossiWote tumesikia kutoka kwa Mh Rais alipokuwa anaongea na Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam kuhusu kuongezeka kwa matukio ya ujambazi Jijini Dar es Salaam na vitongoji vyake (maana Jiji ni Ilala tu) ambapo Mh Rais amemuagiza IGP kulishughulikia jambo hilo na kulikomesha haraka huku akiagiza yule askari aliyehamishwa ambaye ni mahiri kwenye kukomesha majambazi arejeshwe .
Ni askari yupi huyo aliyehamishwa na sasa anatakiwa kurejeshwa ili kudhibiti ujambazi? Ni nani alimhamisha na kwa sababu zipi?
Nakwambia mimi ni mwanaume unasema nimefoji cheti, hicho cheti nilichofoji ni cheti cha mwanaume au?Idiot...mwanaume ungefoji cheti?
Kuna kauli hua zinaua sana morali ya utendaji kazi. 1wapo ni hii kauli ya Raisi. Kwa maana 1 au nyengine ni kuwa huyo askari ndiye aliyewakamata majambazi wooote wa DSM!!Rais anataka kusema dawa ya ujambazi Dsm anayo huyo askari mmoja pekee? kwani yeye mafunzo yake aliyapatia wapi tofauti na hawa wengine?
Awe makini na hizi kauli zake, zitashusha ari ya kazi kwa hawa askari waliopo, vyema serikali yake itoe msaada unaohitajika mengine amuachie IGP ayamalize.
HahahaaHuyu jamaa ( MSANGI) namuamini sana; Sijui wamemficha wapi; Hii mashine sio ya kuficha ina faa kusaidia wananchi
Ni kiongozi. Usipokuwa madhubuti kila mtu anajiona ana ndevu na wanaacha kusimamia majukumu yao.Rais anataka kusema dawa ya ujambazi Dsm anayo huyo askari mmoja pekee? kwani yeye mafunzo yake aliyapatia wapi tofauti na hawa wengine?
Awe makini na hizi kauli zake, zitashusha ari ya kazi kwa hawa askari waliopo, vyema serikali yake itoe msaada unaohitajika mengine amuachie IGP ayamalize.