jimama26
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,839
- 2,963
Mama anaongoza nchi kwa kutumia mitandao, yani et kaona huko mitandaoni wamemtaja huyo Askari hata jina halikumbuki.
Mama hapa mbona haambiliki?! Why anaendeshwa na mitandaoni? Huo muda anaupata wapi?