Askari Polisi wa Dar aliyetajwa na Rais Samia arejeshwe ili kudhibiti ujambazi ni nani?

Askari Polisi wa Dar aliyetajwa na Rais Samia arejeshwe ili kudhibiti ujambazi ni nani?

Kama hukuzaliwa jana na akili zako ziko timamu na lugha haijakuacha kando, ni kweli Hitler anakumbukwa lakini kwa lipi? Soma hii...

As revolting as his legacy is, it is important that he never be forgotten. He was a skilled politician, a brilliant and hypnotic orator, a charismatic leader and organizer, and one of history's most destructive and murderous genocidal criminals.

It is important to have some understanding of Hitler's immense appeal as a politician and as a charismatic personality. He used his skills to lull the German people and to manipulate them into completely misguided and disastrous sense of nationalism.

We have to be alert enough to never allow a person like Hitler to rise to power again.

Sasa mkorinto, ondoa Hitler na German people na weka Magufuli na Tanzanian people uelewe kinachozungumzwa!

anayeandika haya ni mzungu kama wewe ulivyo sio mjerumani.ungeandikaje!!!

hitler alitamani ujermani itawale dunia,iliposhindikana akaishia kuifanya ujerumani kuwa miongoni mwa mataifa yenye nguvu duniani kwa wakati wake mpaka sasa.

haijalishi wewe na mwingine mnamwonaje,alichofanya kwa ajiri ya ujerumani yake kitakumbukwa na wajerumani wote.
 
Wote tumesikia kutoka kwa Mh Rais alipokuwa anaongea na Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam kuhusu kuongezeka kwa matukio ya ujambazi Jijini Dar es Salam na vitongoji vyake (maana Jiji ni Ilala tu) ambapo Mh Rais amemuagiza IGP kulishughulikia jambo hilo na kulikomesha haraka huku akiagiza yule askari aliyehamishwa ambaye ni mahiri kwenye kukomesha majambazi arejeshwe .

Ni askari yupi huyo aliyehamishwa na sasa anatakiwa kurejeshwa ili kudhibiti ujambazi? Ni nani alimhamisha na kwa sababu zipi?

Kama hukuzaliwa jana na akili zako ziko timamu na lugha haijakuacha kando, ni kweli Hitler anakumbukwa lakini kwa lipi? Soma hii...

As revolting as his legacy is, it is important that he never be forgotten. He was a skilled politician, a brilliant and hypnotic orator, a charismatic leader and organizer, and one of history's most destructive and murderous genocidal criminals.

It is important to have some understanding of Hitler's immense appeal as a politician and as a charismatic personality. He used his skills to lull the German people and to manipulate them into completely misguided and disastrous sense of nationalism.


We have to be alert enough to never allow a person like Hitler to rise to power again.

Sasa mkorinto, ondoa Hitler na German people na weka Magufuli na Tanzanian people uelewe kinachozungumzwa!
Kwenye kitabu cha Historia ya viongozi wa dunia, Hitler, Iddi Amin Dada, Mussolini, Kagame na Magufuli wataandikwa kwenye ukurasa mmoja
 
anayeandika haya ni mzungu kama wewe ulivyo sio mjerumani.ungeandikaje!!!
Hitler mwenyewe alijiua. Wafuasi wake wote waliikimbia Ujerumani na kujificha sehemu mbalimbali ulimwenguni na wanaendelea kuwindwa kama nguchiro hadi leo. Akipatikana hata kama ni mkongwe wa miaka zaidi ya 100 anakamatwa na kushtakiwa.
haijalishi wewe na mwingine mnamwonaje,alichofanya kwa ajiri ya ujerumani yake kitakumbukwa na wajerumani wote.
Wengine tuna bahati ya kuishi bara karibu zote Asia, Ulaya na Marekani. Fika Ujerumani ujaribu kumsifia Hitler uone yatakayokukuta. Kama kawaida watu waovu kama hao huwa na wafuasi wao ambao wanawaabudu kama miungu mtu na ambao wanamganda kama shati lililoloa. Hawa hata ukiwafanya nini hawabanduki kama wewe unavyomwabudu Magufuli....pole sana.
 
Hitler mwenyewe alijiua. Wafuasi wake wote waliikimbia Ujerumani na kujificha sehemu mbalimbali ulimwenguni na wanaendelea kuwindwa kama nguchiro hadi leo. Akipatikana hata kama ni mkongwe wa miaka zaidi ya 100 anakamatwa na kushtakiwa.

Wengine tuna bahati ya kuishi bara karibu zote Asia, Ulaya na Marekani. Fika Ujerumani ujaribu kumsifia Hitler uone yatakayokukuta. Kama kawaida watu waovu kama hao huwa na wafuasi wao ambao wanawaabudu kama miungu mtu na ambao wanamganda kama shati lililoloa. Hawa hata ukiwafanya nini hawabanduki kama wewe unavyomwabudu Magufuli....pole sana.

umesoma kwa utulivi ulichoandika!!!mbona unajichanganya??

wapinzani wa hitler wanatafutwa na nani wakati wajermani hawataki hata kumkumbuka??

wachana na wajerumani bro,yaani wewe na ngozi yako nyeusi,huna ujermani wowote hata wa kupaka ukamtukane mwanamapinduzi wao wakuchekee!!![emoji23][emoji23]
sioni kosa lao kufuata itikadi za mtu,kama ambavyo mimi sivunji katiba ya chadema nikisapoti itikadi za magufuli rip.
 
Wote tumesikia kutoka kwa Mh Rais alipokuwa anaongea na Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam kuhusu kuongezeka kwa matukio ya ujambazi Jijini Dar es Salaam na vitongoji vyake (maana Jiji ni Ilala tu) ambapo Mh Rais amemuagiza IGP kulishughulikia jambo hilo na kulikomesha haraka huku akiagiza yule askari aliyehamishwa ambaye ni mahiri kwenye kukomesha majambazi arejeshwe .

Ni askari yupi huyo aliyehamishwa na sasa anatakiwa kurejeshwa ili kudhibiti ujambazi? Ni nani alimhamisha na kwa sababu zipi?
Huyo sio mwingine bali ni ACP Camilius Wambura. Alikuwa ZCO wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam...
 
Yes, Ameshakaa Mwanza akiwa OCS akaja Dar na ameshakua RPC temeke ndio akaenda Dodoma Kama sijakosea
Kituo mwatex Mwanza enzi izo huyo jamaa ni hatari kwa majambazi....pia amewai kufanya Kazi Urambo..Watoto wake ni watu wasio na makuu yaan huwezi Amini sio watu wa show off....mkuu bila shaka tunatoka hood Moja ova!
 
Rais anataka kusema dawa ya ujambazi Dsm anayo huyo askari mmoja pekee? kwani yeye mafunzo yake aliyapatia wapi tofauti na hawa wengine?

Awe makini na hizi kauli zake, zitashusha ari ya kazi kwa hawa askari waliopo, vyema serikali yake itoe msaada unaohitajika mengine amuachie IGP ayamalize.
Wewe no mjinga sana aisee inamaana darasa lako ulilosoma wote mlikuwa mahiri katika masomo yote?
 
kama kawaida naona mapoti wamenza kujiorodhesha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].


niwakumbushe tu mama amekosea namna ya kuadress ile tamko lake lakini lilimrenga IGP mwenyewe,akimaanisha enzi za mahita kulikuwa na kitu cha tofauti kiusalama.
 
Wote tumesikia kutoka kwa Mh Rais alipokuwa anaongea na Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam kuhusu kuongezeka kwa matukio ya ujambazi Jijini Dar es Salaam na vitongoji vyake (maana Jiji ni Ilala tu) ambapo Mh Rais amemuagiza IGP kulishughulikia jambo hilo na kulikomesha haraka huku akiagiza yule askari aliyehamishwa ambaye ni mahiri kwenye kukomesha majambazi arejeshwe .

Ni askari yupi huyo aliyehamishwa na sasa anatakiwa kurejeshwa ili kudhibiti ujambazi? Ni nani alimhamisha na kwa sababu zipi?
Yule jamaa anaitwa wambura pale central[emoji23][emoji23] CID.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Nchi inaelekea halijojo tangu JPM aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemea mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6
Huyu mama hana vision yoyote tangible, full drama, au huyo mtu mmoja ndio kawatuma hao majambazi au nijambazi lenyewe.
 
umesoma kwa utulivi ulichoandika!!!mbona unajichanganya??

wapinzani wa hitler wanatafutwa na nani wakati wajermani hawataki hata kumkumbuka??
U mzima kweli wewe…nimeandika wafuasi wake wanatafutwa au bado umechanganyikiwa kama walivyochanganyikiwa waumini wa dikteta uchwara?
 
U mzima kweli wewe…nimeandika wafuasi wake wanatafutwa au bado umechanganyikiwa kama walivyochanganyikiwa waumini wa dikteta uchwara?
wafuasi wake wanatafutwa na nani mbuzi wewe[emoji23][emoji23]

miaka 83 iliyopita utampata mfusi gani wa hitler!!!mimi nazungumzia legacy aliyowaachia wajerumani wewe unazungumzia wafuasi!!!

acheni pombe umri mdogo.
 
Huyo mambosaa Ni pro-meko, na watu wa dizaini hiyo mama hawataki.
Form four failure huyo mambosaa,

Unafeli sana. Huyo Meko unayemtaja. Aliwapa askari heshima na moyo wa kufanya Kazi. Nyuma. Ulikuwa unakamata mtu. Anapiga. Simu. Kesi inakurudia. Alipoingia Wale magaidi wa misituni walikwisha Kama hawajawahi kuwepo Tz. Na kuanzia Hapo majambazi walipotezwa vibaya.

So unapokuwa na ujinga ujinga. Uwe unakumbuka Kuna mazuri mengi sana ambayo watu wasio na upumbavu kama wewe wameyashuhudia kwa faida ya nchi. Hali ilikuwa mbaya sana.

Kwa mtu mchapakazi. Rais wa nchi, Ni Kiongozi sio mgawa hela wala katibu kata. Shida yenu hamna hoja za msingi.

Unajua kila mgonjwa kuna Dozi yake binafsi inafamfaa. Tansania, kama kweli unaielewa JPM alikuwa dozi sahihi. Kamaliza muda Wake Acha akapumzike. Endeleeni na mbwembwe zenu. Sasa tunaye SSH, tumpe heshima yake.
 
Back
Top Bottom