Askari uhamiaji analipia nauli public bus?

Askari uhamiaji analipia nauli public bus?

Mmeanza tabia zenu za walemavu?Bia mnunuliwe.Soda mnunuliwe.Mkikosa ada za watoto wa damu zenu mtupigie simu.Mkipata michepuko mtutambulishe tuwape na hela.Sokoni na buchani mpewe bidhaa bure.Na daladala hamtaki kulipa?What the hec is that?Jitambueni.Hii ni karne nyingine yenye maisha tofauti kabisa.
 
Hakuna sheria ya kumfanya mtu asafiri bure kwenye gari la biashara. Mbona wanakata ticket za ndege na SGR?

Ukimwachia asafri kulipa kwenye gari lako, kuna mawili:
1. Umempa ofa​
2. Umemuogopa.​
Hivi hapa jf kuna makonda wa daladala hapa?

Wanapaswa kulifanyia kazi hili jibu lako mkuu 😂😂
 
Back
Top Bottom