Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au waazime zile baiskeli za bluu za TASAF.Nunua baiskeri ya gia Kama wanavyofanya walimu na askari police
😁 hizo Kama yupo dar anaweza kusababisha accident .Au waazime zile baiskeli za bluu za TASAF.
Na vibegi mgongoni kama watu wa maonesho.Hell nooo!Huruma sana.😁 hizo Kama yupo dar anaweza kusababisha accident .
Ila pale Bukoba Askari na walimu wameshakubali maisha yao wanapiga pedeli.
AbsoluteNa vibegi mgongoni kama watu wa maonesho.Hell nooo!Huruma sana.
Kwanini asilipe?Kama kichwa kilivyojieleza wakuu aya tiririkeni hapo mmoja baada ya mwingine. Nasoma replies.
Na huwa wanajinunisha na kuangalia mbele kama bundi wajane.Kwanini asilipe?
Na hao wengine kwa nini hawalipagi?Kwanini asilipe?
Hakuna sheria ya kumfanya mtu asafiri bure kwenye gari la biashara. Mbona wanakata ticket za ndege na SGR?Na hao wengine kwa nini hawalipagi?
Aliyefuta nauli kwa askari ana tatizo la ubongo.
Hivi hapa jf kuna makonda wa daladala hapa?Hakuna sheria ya kumfanya mtu asafiri bure kwenye gari la biashara. Mbona wanakata ticket za ndege na SGR?
Ukimwachia asafri kulipa kwenye gari lako, kuna mawili:
1. Umempa ofa2. Umemuogopa.
Unataka usafiri bure? Yaani hata 800 mayo unataka usafiri bure? Hebu kuweni na hurumaKama kichwa kilivyojieleza wakuu aya tiririkeni hapo mmoja baada ya mwingine. Nasoma replies.
Hii nchi ni ya hovyo sana! Kila mtu ana mshahara, alipe nauli! Pumbavu sana! Asiyelipa nauli ni mfu TU!Halipwi mshahara?;
Dah ,hii dunia hii wewe acha tuNa huwa wanajinunisha na kuangalia mbele kama bundi wajane.