Wajeda wanaambiwa hivyo pia?
Nani asiyefanya kazi ngumu?Raia lazima waoneshe upendo kwa vyombo vya Dola, wanafanya kazi ngumu
😆😆😆Wote walipe au serikali iwalipie mabasi hayatumii hewa. Asiyetaka kulipa nauli apakatwe.
Natamani ujirekodi ukiwaambia maneno hayo hao askari alafu ututumie hiyo video hap jf
ndugu usitake kuhalalisha tabia za kijinga na kpmbav kama izo. msione wenzenu km wanaokota ela, iyo ela ni mikopo tu ya benki wanapambana kuizungusha. sasa nanyie mnapigia maesabu ya mpande bure.Sasa ulitaka askari ajichekeshe? Majeshi ya wapi hayo?
Kwani huyo askari hamtegemei mkulima Kwa chakulaIla hao wote wanategemea amani na usalama kufanya kazi zao.
Mlishawadai wakakataa?Mbona wajeda hiyo 800 hawatoi?
Uhamiaji Tanzaia (UT)Askari wa jeshi Gani?