Askari wa Israel wanaopigana Gaza wakumbwa na maambukizi yasiyosikia dawa

Askari wa Israel wanaopigana Gaza wakumbwa na maambukizi yasiyosikia dawa

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mbali na askari wa jeshi la Israel wanaouliwa vitani na Hamas kuna adui wao wengine wanaowatesa kichini chini .Maabadui hao wengine ni viumbe visivyoonekana ambavyo huwakumba wale wanaopata majeraha katika vita hivyo vinavyoendelea kwa mwezi wa tatu sasa.

Viungo vya askari hao huathiriwa na aina za bakteria wasiotibika kwa dawa za kawaid zinazotibu majeraha kama hayo.Wadudu hao ni kama vile Klebsiella ,Escherichia coli, naAspergillus fungi.

Mwanzoni mwa mwezi huu askari hao vile vile walipatwa na maradhi ya kuhara na maumivu makali ya matumbo yaliyopelekea baadhi yao kuhamishwa kutoka uwanja wa vita.

Maambukizi ya namna hii si mara ya mwanzo kutokea katika uwanja wa vita.Hata askari wa Marekani waliokuwa wakipigana Iraq na Afghanistan baadhi yao walirudi makwao Marekani baada ya kuambukizwa na bakteria waliopewa majina ya Iraqibacter superbug na Acinetobacter Baumannii.

War in Gaza fuelling drug-resistant infections among Israeli troops

 
Mbali na askari wa jeshi la Israel wanaouliwa vitani na Hamas kuna adui wao wengine wanaowatesa kichini chini .Maabadui hao wengine ni viumbe visivyoonekana ambavyo huwakumba wale wanaopata majeraha katika vita hivyo vinavyoendelea kwa mwezi wa tatu sasa.

Viungo vya askari hao huathiriwa na aina za bakteria wasiotibika kwa dawa za kawaid zinazotibu majeraha kama hayo.Wadudu hao ni kama vile Klebsiella ,Escherichia coli, naAspergillus fungi.

Mwanzoni mwa mwezi huu askari hao vile vile walipatwa na maradhi ya kuhara na maumivu makali ya matumbo yaliyopelekea baadhi yao kuhamishwa kutoka uwanja wa vita.

Maambukizi ya namna hii si mara ya mwanzo kutokea katika uwanja wa vita.Hata askari wa Marekani waliokuwa wakipigana Iraq na Afghanistan baadhi yao walirudi makwao Marekani baada ya kuambukizwa na bakteria waliopewa majina ya Iraqibacter superbug na Acinetobacter Baumannii.

War in Gaza fuelling drug-resistant infections among Israeli troops

Hao mashoga itakua wameambukizana kaswende
 
Mbali na askari wa jeshi la Israel wanaouliwa vitani na Hamas kuna adui wao wengine wanaowatesa kichini chini .Maabadui hao wengine ni viumbe visivyoonekana ambavyo huwakumba wale wanaopata majeraha katika vita hivyo vinavyoendelea kwa mwezi wa tatu sasa.

Viungo vya askari hao huathiriwa na aina za bakteria wasiotibika kwa dawa za kawaid zinazotibu majeraha kama hayo.Wadudu hao ni kama vile Klebsiella ,Escherichia coli, naAspergillus fungi.

Mwanzoni mwa mwezi huu askari hao vile vile walipatwa na maradhi ya kuhara na maumivu makali ya matumbo yaliyopelekea baadhi yao kuhamishwa kutoka uwanja wa vita.

Maambukizi ya namna hii si mara ya mwanzo kutokea katika uwanja wa vita.Hata askari wa Marekani waliokuwa wakipigana Iraq na Afghanistan baadhi yao walirudi makwao Marekani baada ya kuambukizwa na bakteria waliopewa majina ya Iraqibacter superbug na Acinetobacter Baumannii.

War in Gaza fuelling drug-resistant infections among Israeli troops

Picha hakuna
Acha uongo
 
Mbali na askari wa jeshi la Israel wanaouliwa vitani na Hamas kuna adui wao wengine wanaowatesa kichini chini .Maabadui hao wengine ni viumbe visivyoonekana ambavyo huwakumba wale wanaopata majeraha katika vita hivyo vinavyoendelea kwa mwezi wa tatu sasa.

Viungo vya askari hao huathiriwa na aina za bakteria wasiotibika kwa dawa za kawaid zinazotibu majeraha kama hayo.Wadudu hao ni kama vile Klebsiella ,Escherichia coli, naAspergillus fungi.

Mwanzoni mwa mwezi huu askari hao vile vile walipatwa na maradhi ya kuhara na maumivu makali ya matumbo yaliyopelekea baadhi yao kuhamishwa kutoka uwanja wa vita.

Maambukizi ya namna hii si mara ya mwanzo kutokea katika uwanja wa vita.Hata askari wa Marekani waliokuwa wakipigana Iraq na Afghanistan baadhi yao walirudi makwao Marekani baada ya kuambukizwa na bakteria waliopewa majina ya Iraqibacter superbug na Acinetobacter Baumannii.

War in Gaza fuelling drug-resistant infections among Israeli troops


Allahu Akbar
 
Mbali na askari wa jeshi la Israel wanaouliwa vitani na Hamas kuna adui wao wengine wanaowatesa kichini chini .Maabadui hao wengine ni viumbe visivyoonekana ambavyo huwakumba wale wanaopata majeraha katika vita hivyo vinavyoendelea kwa mwezi wa tatu sasa.

Viungo vya askari hao huathiriwa na aina za bakteria wasiotibika kwa dawa za kawaid zinazotibu majeraha kama hayo.Wadudu hao ni kama vile Klebsiella ,Escherichia coli, naAspergillus fungi.

Mwanzoni mwa mwezi huu askari hao vile vile walipatwa na maradhi ya kuhara na maumivu makali ya matumbo yaliyopelekea baadhi yao kuhamishwa kutoka uwanja wa vita.

Maambukizi ya namna hii si mara ya mwanzo kutokea katika uwanja wa vita.Hata askari wa Marekani waliokuwa wakipigana Iraq na Afghanistan baadhi yao walirudi makwao Marekani baada ya kuambukizwa na bakteria waliopewa majina ya Iraqibacter superbug na Acinetobacter Baumannii.

War in Gaza fuelling drug-resistant infections among Israeli troops

asante kwa taarifa mpalestina mweusi
 
Mbali na askari wa jeshi la Israel wanaouliwa vitani na Hamas kuna adui wao wengine wanaowatesa kichini chini .Maabadui hao wengine ni viumbe visivyoonekana ambavyo huwakumba wale wanaopata majeraha katika vita hivyo vinavyoendelea kwa mwezi wa tatu sasa.

Viungo vya askari hao huathiriwa na aina za bakteria wasiotibika kwa dawa za kawaid zinazotibu majeraha kama hayo.Wadudu hao ni kama vile Klebsiella ,Escherichia coli, naAspergillus fungi.

Mwanzoni mwa mwezi huu askari hao vile vile walipatwa na maradhi ya kuhara na maumivu makali ya matumbo yaliyopelekea baadhi yao kuhamishwa kutoka uwanja wa vita.

Maambukizi ya namna hii si mara ya mwanzo kutokea katika uwanja wa vita.Hata askari wa Marekani waliokuwa wakipigana Iraq na Afghanistan baadhi yao walirudi makwao Marekani baada ya kuambukizwa na bakteria waliopewa majina ya Iraqibacter superbug na Acinetobacter Baumannii.

War in Gaza fuelling drug-resistant infections among Israeli troops

Ukosefu wa ufahamu wa IDF katika uwanja wa vita ni wa kuchekesha.
 

Attachments

  • IMG_8337.jpeg
    IMG_8337.jpeg
    56.5 KB · Views: 7
Ivi kwa Nini hakutetea mpaka mji umekuwa kifusi , na ma hamas yakaingia shimoni kama fuko
Analofanya hahojiwi na ana hekima nyingi kuliko uoni wetu.
Kila kitu kiko kimtihani zaidi kwa matayarisho ya akhera zetu.Katika hili kuna wengi wataingia peponi na wengi mashariki ya kati wataingia motoni.Allah ndiye mjuzi zaidi
 
Analofanya hahojiwi na ana hekima nyingi kuliko uoni wetu.
Kila kitu kiko kimtihani zaidi kwa matayarisho ya akhera zetu.Katika hili kuna wengi wataingia peponi na wengi mashariki ya kati wataingia motoni.Allah ndiye mjuzi zaidi
Allah mwenyewe hajielewi

Kumbuka alisema ata uwe unamuabudu yeye unaweza kuingia motoni

Ata uwe mbusu jiwe ulie bobea huna uhakika
 
Back
Top Bottom