Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Ngoja kwanza, kwani raisi SSH alichaguliwa kwa kura?, mwaka gani huo?.
Uliyasikiliza mazungumzo ya CDF Mabeyo vizuri kweli kuhusu nyakati za mwisho za JPM?
Uliisikiliza hotuba/salamu za CDF Mabeyo katika hafla ya kuapishwa kwa raisi SSH?.
Hii kauli ilikuwa ni kauli za mwanzo sana kusema yaliyojiri zile nyakati.
Uliyasikiliza mazungumzo ya CDF Mabeyo vizuri kweli kuhusu nyakati za mwisho za JPM?
Uliisikiliza hotuba/salamu za CDF Mabeyo katika hafla ya kuapishwa kwa raisi SSH?.
Hii kauli ilikuwa ni kauli za mwanzo sana kusema yaliyojiri zile nyakati.