Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Hatari sana !!hii clip ni enzi ya jk, wame edit sauti, na hiyo sauti sio ya afande kyondo, haya mambo ya kijinga hayawasaidii
Kimecharuka au Kimechefukwa ??! πKikosi kazi cha porini kimecharuka
Huyo policcm hakujua kama Mbowe ni msanii. Hapo Mbowe alikuwa anamzuga akijua tukio hilo linarekodiwa na watu wataona ujuha wa policcm.Tujikumbushe na hii pia. Internet haisahau
View attachment 3086490
Rais Samia alichaguliwa kwa Kura akiwa Mgombea mwenza wa Hayati JPM,Ngoja kwanza, kwani raisi SSH alichaguliwa kwa kura?, mwaka gani huo?.
Uliyasikiliza mazungumzo ya CDF Mabeyo vizuri kweli kuhusu nyakati za mwisho za JPM?
Uliisikiliza hotuba/salamu za CDF Mabeyo katika hafla ya kuapishwa kwa raisi SSH?.
Hii kauli ilikuwa ni kauli za mwanzo sana kusema yaliyojiri zile nyakati.
Ni lini mgombea mwenza anapigiwa kura kwenye uchaguzi Mkuu?. Tunapiga kura ya uraisi sio ugombea wenza.Rais Samia alichaguliwa kwa Kura akiwa Mgombea mwenza wa Hayati JPM,
Kisha akawa Rais kwa mujibu wa Takwa la Kikatiba linavyoelekeza pindi Rais aliyepo madarakani anapofariki !
Anayepaswa kuapishwa kuwa Rais ni Makamu wa Rais !
Hakuna mgombea URais anayeruhusiwa kugombea kiti hicho akiwa pekee !Ni lini mgombea mwenza anapigiwa kura kwenye uchaguzi Mkuu?. Tunapiga kura ya uraisi sio ugombea wenza.
Soma iyo fomu vizuri hakuna neno Makamo wa Raisi au Mgombea mwenza halo juu kwenye neno uchaguzi ni raisi tu na ndie tunayemchagua.
Na hapa ndipo marekebisho yanahitajika pia ili kuweka uhalali pale mambo yanapotokea kama yaliyotokea.
Mgeni wa Jiji angalia vizuri hiyo karatasi ya mfano wa kupigia kura utaona kila Chama kwenye kisanduku chao zipo picha za Wagombea Wawili π πNi lini mgombea mwenza anapigiwa kura kwenye uchaguzi Mkuu?. Tunapiga kura ya uraisi sio ugombea wenza.
Soma iyo fomu vizuri hakuna neno Makamo wa Raisi au Mgombea mwenza halo juu kwenye neno uchaguzi ni raisi tu na ndie tunayemchagua.
Na hapa ndipo marekebisho yanahitajika pia ili kuweka uhalali pale mambo yanapotokea kama yaliyotokea.
Ujinga huu kwa Wakenya hawawezi kukuruhusu!Kutenda uovu dhidi ya Wapinzani wa kisiasa wa CCM ndio imekuwa sifa ya mtu kuweza kuteuliwa kwenye nyadhifa kubwa siku hizi. Kwa hiyo Watu wanashindana kutenda uovu ili wateuliwe.
Bado yanakuja makubwa zaidi, nimwanzo wa kuanguka, na wataanguka kwa KISHINDO KIKUBWA SANA.....2024 to 2025....Haya yanayotokea sasa hivi ni Kwa bahati mbaya, mazoea au ni planned? Polisi mwenye cheo kikubwa kama huyu anawezaje kutamka maneno mazito kama haya? Huku akifanya demonstration?
Pia soma:
~ Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
~ DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
~ Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
Je, tuamini Yale magari ya kisasa kwa ajili ya Polisi ambayo yataingia nchini hivi karibuni ni hongo kwa Jeshi la Polisi kutoka Serikali ya CCM?
Unawezaje kusema "Mama ni Rais wa nchi hii si kwa SABABU mlipiga kura na sisi (Jeshi la Polisi) tumo"!
Hii ni kauli ya kijinga na kifedhuli Sana, kwa MTU yoyote yule anayejielewa hawezi kushabikia hili
Wazo zuri, tunafika je huko?, (how do we go about)Namna pekee ya polisi kuacha kuisaidia serekali iliyopo madarakani ni kwanza Rais asiwe Amir jesh mkuu pili wakuu wa mikoa na wilaya wasiwe wenyeviti wa kamati ya ulinzi na usalama za mikoa na wilaya.
Vinginevyo hamna njia nyingine
EPISODE 1: Nape Naye.Haya yanayotokea sasa hivi ni Kwa bahati mbaya, mazoea au ni planned? Polisi mwenye cheo kikubwa kama huyu anawezaje kutamka maneno mazito kama haya? Huku akifanya demonstration?
Pia soma:
~ Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
~ DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
~ Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
Je, tuamini Yale magari ya kisasa kwa ajili ya Polisi ambayo yataingia nchini hivi karibuni ni hongo kwa Jeshi la Polisi kutoka Serikali ya CCM?
Unawezaje kusema "Mama ni Rais wa nchi hii si kwa SABABU mlipiga kura na sisi (Jeshi la Polisi) tumo"!
Hii ni kauli ya kijinga na kifedhuli Sana, kwa MTU yoyote yule anayejielewa hawezi kushabikia hili
Unaumwa wewe Sio bureJamani tuende mbele turudi nyuma kwa upinzani tulionao nii bora tu ccm wakaendelea kutawala maana angalau mule kuna wazalendo. Huku upinzani ukifuatilia kwa makini hakuna uzalendo, yaani akitokea kiongozi wa chama tawala anafanya vizuri na wakatokea wapinzani wakawa tayari kufanya naye kazi wanawaita wasaliti, wao tafsri ya upinzani ni kuwa na hasira muda wote dhidi ya kiongozi au mtu yeyote wa chama tawala na kufoko foka hii tabia wanayo hasa chadema.
Mungu amtangulie kwa kweli alifanya kazi kubwa kulinda taifaHii mbona ya siku nyingi na mhusika alisha rest in pieces
Zama za giza zimerudiKikosi kazi cha porini kimecharuka
Amesema ukweliAfukuzwe kwa kusema Kweli au Kusema Uongo ??!
Nani kastaafu huyo? Afande π π€£ π π alafu aanze kulia lia kiunua mgongo hakitoshi akiwa kazini alikubali kutumika kama mpiraKijana wa Lema Jamaa alishastaafu ππ
Kauli haina utata wowote uleHaya yanayotokea sasa hivi ni Kwa bahati mbaya, mazoea au ni planned? Polisi mwenye cheo kikubwa kama huyu anawezaje kutamka maneno mazito kama haya? Huku akifanya demonstration?
Pia soma:
~ Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
~ DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
~ Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
Je, tuamini Yale magari ya kisasa kwa ajili ya Polisi ambayo yataingia nchini hivi karibuni ni hongo kwa Jeshi la Polisi kutoka Serikali ya CCM?
Unawezaje kusema "Mama ni Rais wa nchi hii si kwa SABABU mlipiga kura na sisi (Jeshi la Polisi) tumo"!
Hii ni kauli ya kijinga na kifedhuli Sana, kwa MTU yoyote yule anayejielewa hawezi kushabikia hili