Askari wa Jeshi la Polisi sasa wanajificha huwezi waona na sare zao mtaani

Askari wa Jeshi la Polisi sasa wanajificha huwezi waona na sare zao mtaani

Kifurukutu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
4,641
Reaction score
6,694
Habari za siku nyingi JF

Hakika kuna kitu hakipo sawa ndani ya Jeshi la polisi la Tanzania
Askari wetu wengi tunaishi nao huku mitaani katika nyumba za kupanga, wachache wanaishi katika nyumba za serikali na wengine wachache saana wamejenga nyumba zao vizuri tu

Kwa sasa hali imebadilika sana, ni vigumu sana kujua fulani ni askari au la kwa sababu wamekuja na mbinu mpya

Askari hasa hapa jijini Dar wamekuwa wanaishi maisha ya kujificha sana, kwa sasa ni nadra sana kumuona askari wa jeshi la polisi mtaani akiwa anatoka au kuelea kituo cha polisi

Wengi wao wanabeba begi na nguo za raia then wanaenda kubadilishia huko polisi, mara nyingi askari anayevaa uniform hutegemea kupata unafuu wa nauli katika daladala lakini hawapendi na wameelekezwa wasijioneshe sana mtaani

Je, nini kinapelekea jeshi letu hili kufanya kazi kwa kujificha?

Ni aibu na fedheha kwa mtu kuonekana na vazi la PT?

Uovu unaofanywa na jeshi hili kwa wananchi ni sababu ya wao kujificha?
 
Wewe unadhani kuzurula na uniform ni ufahari!!!!

Ukitaka kujua askari anakwazika, awe anarejea au anakwenda kazini litokee tatizo, ajali, ugomvi au uhalifu. Kama msipokuwa makini atapotea eneo hilo msijue kawatokaje.
 
Ni kweli kabisa polisi hawatembei mtaani wakiwa wanaokwenda au kutoka kwenye vituo vyao vya kazi Bali hubeba uniforms zao kwenye mabegi na kwenda kuzivalia kituoni! Nimeshuhudia Leo asubuhi nikiwa kituo Cha polisi hapo dar!
Yabidi raia wasijisahau Sana wawapo kwenye vibaraza na vijiwe vya kubadilishana mawazo kwani hakuna anayejua tafsiri ya hii mbinu na athari zake! Chukueni tahadhari!
 
If you're clean why worry about a cop? A good cop is the one who does not trust any body!!
 
Kweli aisee sijawahi kukutana nao wakirudi makwao wala asubuh wakienda kazin
 
Na hii ndiyo inavyotakiwa, kiuhalisia askari si sawa kuwa na nguo ( uniform) za kijeshi ikiwa hayuko kwenye active duty.

Kujuanajuana Ni upuuzi, kaa utulie kwako!
 
We zingua tu ndo utajua wanatembea na nguo kwenye begi au la,mi nitakuja kukupa tu pole.
 
Habari za siku nyingi JF

Hakika kuna kitu hakipo sawa ndani ya Jeshi la polisi la Tanzania
Askari wetu wengi tunaishi nao huku mitaani katika nyumba za kupanga, wachache wanaishi katika nyumba za serikali na wengine wachache saana wamejenga nyumba zao vizuri tu

Kwa sasa hali imebadilika sana, ni vigumu sana kujua fulani ni askari au la kwa sababu wamekuja na mbinu mpya

Askari hasa hapa jijini Dar wamekuwa wanaishi maisha ya kujificha sana, kwa sasa ni nadra sana kumuona askari wa jeshi la polisi mtaani akiwa anatoka au kuelea kituo cha polisi

Wengi wao wanabeba begi na nguo za raia then wanaenda kubadilishia huko polisi, mara nyingi askari anayevaa uniform hutegemea kupata unafuu wa nauli katika daladala lakini hawapendi na wameelekezwa wasijioneshe sana mtaani

Je, nini kinapelekea jeshi letu hili kufanya kazi kwa kujificha?

Ni aibu na fedheha kwa mtu kuonekana na vazi la PT?

Uovu unaofanywa na jeshi hili kwa wananchi ni sababu ya wao kujificha?
Ulitakaje kw mfano wakupe nini ulitaka uwajue ili uwafanyeje
 
Habari za siku nyingi JF

Hakika kuna kitu hakipo sawa ndani ya Jeshi la polisi la Tanzania
Askari wetu wengi tunaishi nao huku mitaani katika nyumba za kupanga, wachache wanaishi katika nyumba za serikali na wengine wachache saana wamejenga nyumba zao vizuri tu

Kwa sasa hali imebadilika sana, ni vigumu sana kujua fulani ni askari au la kwa sababu wamekuja na mbinu mpya

Askari hasa hapa jijini Dar wamekuwa wanaishi maisha ya kujificha sana, kwa sasa ni nadra sana kumuona askari wa jeshi la polisi mtaani akiwa anatoka au kuelea kituo cha polisi

Wengi wao wanabeba begi na nguo za raia then wanaenda kubadilishia huko polisi, mara nyingi askari anayevaa uniform hutegemea kupata unafuu wa nauli katika daladala lakini hawapendi na wameelekezwa wasijioneshe sana mtaani

Je, nini kinapelekea jeshi letu hili kufanya kazi kwa kujificha?

Ni aibu na fedheha kwa mtu kuonekana na vazi la PT?

Uovu unaofanywa na jeshi hili kwa wananchi ni sababu ya wao kujificha?
Tafuta mada za msingi mkuu
 
Back
Top Bottom