Askari wa Jeshi la Polisi sasa wanajificha huwezi waona na sare zao mtaani

Askari wa Jeshi la Polisi sasa wanajificha huwezi waona na sare zao mtaani

askari si sawa kuwa na nguo za kijeshi
Sasa we nawe! Hehehee...

Askari na "nguo za kijeshi" wapi na wapi bhana au unajibusti confidence tu?

Jiamini bhana! Unaonekana dhaifu sana wewe ndio maana unajiambatanisha na misamiati ya "jeshi jeshi" kila wakati!

"Nguo za kijeshi"........Heheheee!
 
Wametumia njia hii kufanya upelelezi kwa urahisi maana watu wapokaji sanaaaa sasa ww hukui kama upo na liafande linakuchora tu
Hakuna upelelezi wowote wanafanya hawa! Upelelezi ni taaluma, sio kazi inayofanywa na kila zumbukuku tu kwa kuwa kavalishwa sare na wanasiasa.

Wengi wa hawa askari hawana taaluma yoyote ya darasani. Hawa ni nyenzo ya mapambano na ulinzi tu.

Anakwenda lindo, anakamata wahalifu na kutii maagizo ya wanasiasa uchwara.

Ni kweli wanafanya kazi nzuri (wakati mwingi).

Wengi hawavai sare mitaani kwa sababu wameelekezwa hivyo ama kwa sababu hawajiamini tu.

Lakini hata ingekuwa mimi, hilo gwanda unapita nalo mtaani ili iweje?
 
Wametumia njia hii kufanya upelelezi kwa urahisi maana watu wapokaji sanaaaa sasa ww hukui kama upo na liafande linakuchora tu
Na kuelekea uchaguzi tegemea kuwaona wengi in plain clothes...polisi anayeishi mbagala anapangiwa kazi kawe..
 
Nenda vituo vya polisi hapa jijini utakuta kuna changing room kabisa, anzia central, Osterbay nk
Point utetezi ya kijinga sana hii. Sasa kama umeziona changing room huko vituoni unadhani changing room ziliwekwa za mapambo?
 
Habari za siku nyingi JF

Hakika kuna kitu hakipo sawa ndani ya Jeshi la polisi la Tanzania
Askari wetu wengi tunaishi nao huku mitaani katika nyumba za kupanga, wachache wanaishi katika nyumba za serikali na wengine wachache saana wamejenga nyumba zao vizuri tu

Kwa sasa hali imebadilika sana, ni vigumu sana kujua fulani ni askari au la kwa sababu wamekuja na mbinu mpya

Askari hasa hapa jijini Dar wamekuwa wanaishi maisha ya kujificha sana, kwa sasa ni nadra sana kumuona askari wa jeshi la polisi mtaani akiwa anatoka au kuelea kituo cha polisi

Wengi wao wanabeba begi na nguo za raia then wanaenda kubadilishia huko polisi, mara nyingi askari anayevaa uniform hutegemea kupata unafuu wa nauli katika daladala lakini hawapendi na wameelekezwa wasijioneshe sana mtaani

Je, nini kinapelekea jeshi letu hili kufanya kazi kwa kujificha?

Ni aibu na fedheha kwa mtu kuonekana na vazi la PT?

Uovu unaofanywa na jeshi hili kwa wananchi ni sababu ya wao kujificha?
Watakua wanaona aibu kwa Mambo wanayo yafanya[emoji1787][emoji1787]
 
Habari za siku nyingi JF

Hakika kuna kitu hakipo sawa ndani ya Jeshi la polisi la Tanzania
Askari wetu wengi tunaishi nao huku mitaani katika nyumba za kupanga, wachache wanaishi katika nyumba za serikali na wengine wachache saana wamejenga nyumba zao vizuri tu

Kwa sasa hali imebadilika sana, ni vigumu sana kujua fulani ni askari au la kwa sababu wamekuja na mbinu mpya

Askari hasa hapa jijini Dar wamekuwa wanaishi maisha ya kujificha sana, kwa sasa ni nadra sana kumuona askari wa jeshi la polisi mtaani akiwa anatoka au kuelea kituo cha polisi

Wengi wao wanabeba begi na nguo za raia then wanaenda kubadilishia huko polisi, mara nyingi askari anayevaa uniform hutegemea kupata unafuu wa nauli katika daladala lakini hawapendi na wameelekezwa wasijioneshe sana mtaani

Je, nini kinapelekea jeshi letu hili kufanya kazi kwa kujificha?

Ni aibu na fedheha kwa mtu kuonekana na vazi la PT?

Uovu unaofanywa na jeshi hili kwa wananchi ni sababu ya wao kujificha?
Wakumbushe raia kabisa kuwa hata ukienda kituo cha polisi, askari wote wamevaa vinyago na hijab kuficha sura. Na pale mapokezi pale wameweka robot ili waendelee kujificha, wanaoishi nyumba za serikali wamejiandikisha kama wapangaji baada ya askari wote kuhama.

Kuna mambo hutakiwi kuconclude kana kwamba hao polisi huwa wanaripoti kwako na unajua kila kitu kuwahusu. Umejuaje kuwa wameambiwa wajifiche kama wewe si askari, na kwanini wajifiche?
 
Hakuna upelelezi wowote wanafanya hawa! Upelelezi ni taaluma, sio kazi inayofanywa na kila zumbukuku tu kwa kuwa kavalishwa sare na wanasiasa.

Wengi wa hawa askari hawana taaluma yoyote ya darasani. Hawa ni nyenzo ya mapambano na ulinzi tu.

Anakwenda lindo, anakamata wahalifu na kutii maagizo ya wanasiasa uchwara.

Ni kweli wanafanya kazi nzuri (wakati mwingi).

Wengi hawavai sare mitaani kwa sababu wameelekezwa hivyo ama kwa sababu hawajiamini tu.

Lakini hata ingekuwa mimi, hilo gwanda unapita nalo mtaani ili iweje?
Upelelezi ni nini mkuu!!!!labda unaandika usichokijua au unapotosha makusudi.

Unadhani hata taarifa za upelelezi wa jiwe kupendwa na wanchi au lissu kukubalika na wanachi au ni porojo zinatengewa fungu rasmi!!!!

Ukiambia askari hana off uelewe.

Hizi hisia kwamba hawajiamini utawala huu,unajidanganya mzee.kidogo labda utawala uliopita.
 
Jibu ni simple, wamenunua magari yao either kwa mkopo au kwa pesa zao na mara nyingi hukaa eneo moja hivyo wanapeana lift, sasa mdau haonani nao kwenye daladala anahisi kama wanajificha
 
Habari za siku nyingi JF

Hakika kuna kitu hakipo sawa ndani ya Jeshi la polisi la Tanzania
Askari wetu wengi tunaishi nao huku mitaani katika nyumba za kupanga, wachache wanaishi katika nyumba za serikali na wengine wachache saana wamejenga nyumba zao vizuri tu

Kwa sasa hali imebadilika sana, ni vigumu sana kujua fulani ni askari au la kwa sababu wamekuja na mbinu mpya

Askari hasa hapa jijini Dar wamekuwa wanaishi maisha ya kujificha sana, kwa sasa ni nadra sana kumuona askari wa jeshi la polisi mtaani akiwa anatoka au kuelea kituo cha polisi

Wengi wao wanabeba begi na nguo za raia then wanaenda kubadilishia huko polisi, mara nyingi askari anayevaa uniform hutegemea kupata unafuu wa nauli katika daladala lakini hawapendi na wameelekezwa wasijioneshe sana mtaani

Je, nini kinapelekea jeshi letu hili kufanya kazi kwa kujificha?

Ni aibu na fedheha kwa mtu kuonekana na vazi la PT?

Uovu unaofanywa na jeshi hili kwa wananchi ni sababu ya wao kujificha?

Zile elfu mbili mbili wanazokusanya kila asubuhi kwenye daladala
 
wakivaa gwanda wapande salasala mnasema wanakwepa kulipa nauli, wakivaa kiraia Nongwa!
Sasa Unataka watembee uchi Pimbi weeye!!!
Hujui gwanda Ni ishara ya utayali mda wote?
mfano akiwa njiani ikitokea sokombingo itambidi aache safar zake akaamulie!
NANI ANAYATAKA MAMBO HAYO?
 
Wanaona aibu kupanda daladala wasilipe nauli huku wanafunzi wanalipa nauli, yaani walibambikiwa offer pasipo maridhiano sasa wameamua kuvua magwanda ili walipe nauli kama raia wa kawaida.

Nawapongeza ktk hilo
 
wakivaa gwanda wapande salasala mnasema wanakwepa kulipa nauli, wakivaa kiraia Nongwa!
Sasa Unataka watembee uchi Pimbi weeye!!!
Hujui gwanda Ni ishara ya utayali mda wote?
mfano akiwa njiani ikitokea sokombingo itambidi aache safar zake akaamulie!
NANI ANAYATAKA MAMBO HAYO?
kwahiyo wanakwepa majukumu yao
 
Back
Top Bottom