Askari wa jiji wapokea kipigo toka kwa machinga mtaa wa Samora

Askari wa jiji wapokea kipigo toka kwa machinga mtaa wa Samora

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Baada ya kuchoshwa na uonevu wa askari wa jiji ambao wamekua wakiwavamia machinga na kuharibu mali zao.

Leo askari hao wameonja joto ya jiwe baada ya kupokea kipigo na kuamua kukimbia na virungu vyao.

Hiyo ni salamu tosha kabisa kwa wahusika kuachana na utaratibu huu unaokiuka utu kwa raia wenye haki ya kujipatia kipato nchini mwao.
 
Nani mvamizi kati ya mfanyibiashara na mgambo?
Mgambo anawaonea au anatekeleza maagizo ya muajiri?
Je hao wafanyabiashara wako hapo kwa kuzingatia sheria?
 
Ngoja nikupitie ukapige mwenyewe.
niende kwa askari hawa hawa wanaokutaftia matatizo ili wajipatie vichenchi 😏
FB_IMG_16473575452222361.jpg
 
Hao machinga wahame kwa muda Kabla hawajakipata kilimchomtoa kanga manyoya.
 
Back
Top Bottom