Dogo wee umejuaje?Udangaji malipo yake ndo hayo
Bora nionekane sina 'Akili' na nisije Kuona kabisa kwani wengine tuna 'Mseto' wa 'Hasira' Kali za Kizanaki, Kimakuwa, Kitutsi na zile za Kiyahudi pia.Ishi na mwanamke kwa akili Kama huna akili usioe yatakupata madhara.
Bora nionekane sina 'Akili' na nisije Kuona kabisa kwani wengine tuna 'Mseto' wa 'Hasira' Kali za Kizanaki, Kimakuwa, Kitutsi na zile za Kiyahudi pia.
[/QUO
True.
Mtume Paul.anasema "Ingekuwa vyema mwanaume aishi pekee yake bila kuoa lakini kwa sababu ya tamaa ya mwili na aoe mke mmoja.
Then what happened, bado mnaendelea I mean umeshamsamehe?Mimi kuna mwanamke nilishajaribu kufanya mazoezi ya kusamehe baada ya kum'bamba na yeye kukiri kuwa ni kweli alikuwa ana cheat.
Aiseee ni ngumu sana wanaume huwa hatusamehe usaliti nimeamini. Yaani alikuwa akipigiwa simu au kutextiwa na mwanaume hata kama hakuna kibaya wamefanya aiseee nilikuwa namind nahisi ananiigizia na kuna jambo anaficha.
Kuna muda nakuwa napata tu hasira natamani nimpe hata makofi but roho inanambia unampenda hauwezi kumpiga.
Niliteseka sana.
So naelewa nikiona mtu hadi anashika panga.
Hakuna maumivu katika mahusiano kwa mwanaume km haya ya usaliti, mimi kwa mtazamo wangu naona wanawake bado hawajawa na hisia ya kipimo halisi ya jinsi mumewe anavyoumia ,na mara nyingi ukichunguza utagundua kuwa kuna kujirudia kwa matukio hayo ambapo Mume huwa anajaribu kutafuta muafaka bila mafanikio, na mke kwa kujua Mume anampenda anaamua kufanya mambo yake uwazi,matokeo yake hasira isiyo vumilika na maamuzi mabayaKabla sijakujibu hilo swali hebu nijiridhishe na upeo wako juu ya haya maswala ya usaliti katika mahusiano.
Umeshawahi kuwa na mke unamhudumia kwa upendo na haumletei ujinga halafu unakuja kujua wazi wazi kuwa anamahusiano na mtu nje unamkamata na ushahidi badala ya kujali hisia zako anabakia kusema wewe unakuwa busy hauna muda nae ndio maana kajikuta anafanya hayo mambo.
Umeshawahi kukutana na hiyo hali wewe kama wewe usinambie story za mtu mwingine?!
Ongeza volume99% ya Hasira (Jazba) za wanaume wa Kikurya na wale wa Kimedani (JWTZ) hadi wanafikia Kuua Wapenzi/ Wake zao huwa ni za 'Kutombewa' tu.
Limekupata koploBabako ni SNSo...
aisee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Askari akuiva somo la uvumilivu lilimshinda.
Ukiweza himili mdomo mchafu wa wanawake wewe ni shujaa.
Kashfa maneno machafu ya shombo toka kwa wanawake ndo chanzo cha upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume, ndo chanzo cha wanaume kushinda Sana bar kuliko nyumbani, ndo chanzo cha kuuliwa kwa wanawake wengi.
Wanawake wakisafisha midomo yao hakuna ndoa itakayovunjika.
Ulimi ni silaha kubwa kuliko bomu la nyuklia
Huyo mjeda?Amefariki masaa kadhaa yaliyopita.
Six week na ujanja wa porini medani za kivita haviaply kwenye mapenz.Askari akuiva somo la uvumilivu lilimshinda.
Ukiweza himili mdomo mchafu wa wanawake wewe ni shujaa.
Kashfa maneno machafu ya shombo toka kwa wanawake ndo chanzo cha upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume, ndo chanzo cha wanaume kushinda Sana bar kuliko nyumbani, ndo chanzo cha kuuliwa kwa wanawake wengi.
Wanawake wakisafisha midomo yao hakuna ndoa itakayovunjika.
Ulimi ni silaha kubwa kuliko bomu la nyuklia
Jamaa nae kashakufa alipokua amelazwa hospali ya mloganzila inasikitisha sana ameacha watoto watatu wote wadogo
Wivu wa mapenzi maana yake nini?Askari huyo wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) anayeenda kwa jina la Daniel Warioba alijaribu kujiua kwa kunywa sumu baada ya tukio hilo lakini hakufanikiwa.
Uchunguzi wa tukio hilo la kutisha lililotokea Mlandizi Mkoani Pwani bado unaendelea na taarifa kamili itatolewa na mamlaka husika ambayo ni Jeshi la Polisi
Inadaiwa Kuwa chanzo cha tukio la kikatili ni mfarakano uliochangiwa pamoja na mambo mengine wivu wa kimapenzi baina ya wanandoa hao
Mtuhumiwa huyo kwa Sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano zaidi ya tukio hilo.
Tunatoa pole kwa familia ya Mwendazake aliyehudumu kama Mwalimu Katika uhai wake
=====
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Koplo Daniel Warioba (43) kutoka Kikosi cha 92 TJ kwa tuhuma za kumuua Mke wake Joyce Ismail (35) ambaye ni Mwalimu wa Shule ya Msingi Ruvu Darajani
Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani, Wankyo Nyigesa, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana huu katika eneo la Janga, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi.
Kamanda Wankyo alisema askari huyo anadaiwa kumchoma mke wake na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili na kumsababishia kifo.
Kwa mujibu wa Kamanda Wankyo, baada ya kutekeleza mauaji hayo, mtuhumiwa anadaiwa alitaka kunywa sumu kwa lengo la kujiua.
Wankyo alisema polisi wamemkamata mtuhumiwa huyo na anaendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Rufani ya Mkoa ya Tumbi, huku chanzo cha tukio hilo kikiendelea kuchunguzwa.
Ndio maana watu wote kwenye akili hapa duniani hawakuwahi kuoaKuoa na changamoto zake kunapunguza sana uwezo wa kufikiri na mwishowe ndio majanga kama hayo.
Wanajeshi mapolisi...wanateswa sana na mapenzi