Askari wa JWTZ Atuhumiwa Kwa Mauaji ya Mke Wake wa Ndoa Huku Akijaribu Yeye Mwenyewe Kujiua Bila Mafanikio

Askari wa JWTZ Atuhumiwa Kwa Mauaji ya Mke Wake wa Ndoa Huku Akijaribu Yeye Mwenyewe Kujiua Bila Mafanikio

Askari akuiva somo la uvumilivu lilimshinda.
Ukiweza himili mdomo mchafu wa wanawake wewe ni shujaa.
Kashfa maneno machafu ya shombo toka kwa wanawake ndo chanzo cha upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume, ndo chanzo cha wanaume kushinda Sana bar kuliko nyumbani, ndo chanzo cha kuuliwa kwa wanawake wengi.
Wanawake wakisafisha midomo yao hakuna ndoa itakayovunjika.
Ulimi ni silaha kubwa kuliko bomu la nyuklia
 
Bora nionekane sina 'Akili' na nisije Kuona kabisa kwani wengine tuna 'Mseto' wa 'Hasira' Kali za Kizanaki, Kimakuwa, Kitutsi na zile za Kiyahudi pia.
[/QUO
True.
Mtume Paul.anasema "Ingekuwa vyema mwanaume aishi pekee yake bila kuoa lakini kwa sababu ya tamaa ya mwili na aoe mke mmoja.
 
Wanaume wengi ulalamika midomo ya wanawake ndo sumu. Wanaume awapendi kelele, awapendi ubabe,vurugu.
 
Mimi kuna mwanamke nilishajaribu kufanya mazoezi ya kusamehe baada ya kum'bamba na yeye kukiri kuwa ni kweli alikuwa ana cheat.

Aiseee ni ngumu sana wanaume huwa hatusamehe usaliti nimeamini. Yaani alikuwa akipigiwa simu au kutextiwa na mwanaume hata kama hakuna kibaya wamefanya aiseee nilikuwa namind nahisi ananiigizia na kuna jambo anaficha.

Kuna muda nakuwa napata tu hasira natamani nimpe hata makofi but roho inanambia unampenda hauwezi kumpiga.

Niliteseka sana.

So naelewa nikiona mtu hadi anashika panga.
Then what happened, bado mnaendelea I mean umeshamsamehe?
 
Kabla sijakujibu hilo swali hebu nijiridhishe na upeo wako juu ya haya maswala ya usaliti katika mahusiano.

Umeshawahi kuwa na mke unamhudumia kwa upendo na haumletei ujinga halafu unakuja kujua wazi wazi kuwa anamahusiano na mtu nje unamkamata na ushahidi badala ya kujali hisia zako anabakia kusema wewe unakuwa busy hauna muda nae ndio maana kajikuta anafanya hayo mambo.

Umeshawahi kukutana na hiyo hali wewe kama wewe usinambie story za mtu mwingine?!
Hakuna maumivu katika mahusiano kwa mwanaume km haya ya usaliti, mimi kwa mtazamo wangu naona wanawake bado hawajawa na hisia ya kipimo halisi ya jinsi mumewe anavyoumia ,na mara nyingi ukichunguza utagundua kuwa kuna kujirudia kwa matukio hayo ambapo Mume huwa anajaribu kutafuta muafaka bila mafanikio, na mke kwa kujua Mume anampenda anaamua kufanya mambo yake uwazi,matokeo yake hasira isiyo vumilika na maamuzi mabaya
 
Askari akuiva somo la uvumilivu lilimshinda.
Ukiweza himili mdomo mchafu wa wanawake wewe ni shujaa.
Kashfa maneno machafu ya shombo toka kwa wanawake ndo chanzo cha upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume, ndo chanzo cha wanaume kushinda Sana bar kuliko nyumbani, ndo chanzo cha kuuliwa kwa wanawake wengi.
Wanawake wakisafisha midomo yao hakuna ndoa itakayovunjika.
Ulimi ni silaha kubwa kuliko bomu la nyuklia
aisee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Askari akuiva somo la uvumilivu lilimshinda.
Ukiweza himili mdomo mchafu wa wanawake wewe ni shujaa.
Kashfa maneno machafu ya shombo toka kwa wanawake ndo chanzo cha upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume, ndo chanzo cha wanaume kushinda Sana bar kuliko nyumbani, ndo chanzo cha kuuliwa kwa wanawake wengi.
Wanawake wakisafisha midomo yao hakuna ndoa itakayovunjika.
Ulimi ni silaha kubwa kuliko bomu la nyuklia
Six week na ujanja wa porini medani za kivita haviaply kwenye mapenz.
Somo la uvumilivi ni kuhimili maovyo ovyo ya kazin hasa toka kwa viongozi. kwa sio toka "kwa mke"

Isitoshe boda boda au fundi ujenz akichapiwa haimake headline kama askari na ndo kinachowaumiza wengi.
 
Jamaa nae kashakufa alipokua amelazwa hospali ya mloganzila inasikitisha sana ameacha watoto watatu wote wadogo
 
Huyo mjeshi ataenda kupakatwa jela.
Yanini aue mtu kisa alikula vijisenti vyake.?
Kama kafa ni vizuri wajinga wapungue duniani.
 
Askari huyo wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) anayeenda kwa jina la Daniel Warioba alijaribu kujiua kwa kunywa sumu baada ya tukio hilo lakini hakufanikiwa.

Uchunguzi wa tukio hilo la kutisha lililotokea Mlandizi Mkoani Pwani bado unaendelea na taarifa kamili itatolewa na mamlaka husika ambayo ni Jeshi la Polisi

Inadaiwa Kuwa chanzo cha tukio la kikatili ni mfarakano uliochangiwa pamoja na mambo mengine wivu wa kimapenzi baina ya wanandoa hao

Mtuhumiwa huyo kwa Sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano zaidi ya tukio hilo.

Tunatoa pole kwa familia ya Mwendazake aliyehudumu kama Mwalimu Katika uhai wake

=====

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Koplo Daniel Warioba (43) kutoka Kikosi cha 92 TJ kwa tuhuma za kumuua Mke wake Joyce Ismail (35) ambaye ni Mwalimu wa Shule ya Msingi Ruvu Darajani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani, Wankyo Nyigesa, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana huu katika eneo la Janga, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi.

Kamanda Wankyo alisema askari huyo anadaiwa kumchoma mke wake na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili na kumsababishia kifo.

Kwa mujibu wa Kamanda Wankyo, baada ya kutekeleza mauaji hayo, mtuhumiwa anadaiwa alitaka kunywa sumu kwa lengo la kujiua.

Wankyo alisema polisi wamemkamata mtuhumiwa huyo na anaendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Rufani ya Mkoa ya Tumbi, huku chanzo cha tukio hilo kikiendelea kuchunguzwa.
Wivu wa mapenzi maana yake nini?

Asiwe na wivu akubali kugawana mkewe na jamii inayomzunguka ?
 
Back
Top Bottom