Strong ladg
Senior Member
- Jul 15, 2021
- 170
- 445
Ripoti zinasema, tangu uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan na Iraq uliotokea baada ya Shambulio la September 11:
1. Zaidi ya askari 30,000 walioshiriki uvamizi huo wamejiua. Hii ni mara nne zaidi ya askari waliokufa vitani/ kwenye mapigano.
2. Mwaka 2019 pekee askari 6261 walijiua ikiwa ni ongezeko la asilimia saba kulinganishwa na takwimu za mwaka 2018.
3. Kwa wastani kwa siku askari 17 walioshiriki uvamizi nchini Iraq/ Afghanistan hujiua.
4. Visa vya kujiua miongoni mwa askari hao ni mara mbili zaidi ikilinganishwa na visa vya kujiua vinavyotokea miongoni mwa raia wa kawaida
5. Askari wengi wanaojiua wako kwenye kundi la umri kati ya miaka 18-34. Visa vya kujiua miongoni mwa kundi hili ni mara tatú zaidi ikilinganishwa na visa vya kujiua miongoni mwa askari walio na umri zaidi ya miaka 34.
CHANZO CHA TAKWIMU/ SOURCE:
"More Veterans Die By Suicide Than In Combat. But It's Preventable | Cognoscenti" More Veterans Die By Suicide Than In Combat. But It's Preventable
FUNZO: TATIZO LA AFYA YA AKILI LINAWEZA KUMKUTA MTU YOYOTE. USIOGOPE WALA USISITE KUOMBA MSAADA PALE UNAPOPATWA NA MAWAZO YA KUJIUA.
1. Zaidi ya askari 30,000 walioshiriki uvamizi huo wamejiua. Hii ni mara nne zaidi ya askari waliokufa vitani/ kwenye mapigano.
2. Mwaka 2019 pekee askari 6261 walijiua ikiwa ni ongezeko la asilimia saba kulinganishwa na takwimu za mwaka 2018.
3. Kwa wastani kwa siku askari 17 walioshiriki uvamizi nchini Iraq/ Afghanistan hujiua.
4. Visa vya kujiua miongoni mwa askari hao ni mara mbili zaidi ikilinganishwa na visa vya kujiua vinavyotokea miongoni mwa raia wa kawaida
5. Askari wengi wanaojiua wako kwenye kundi la umri kati ya miaka 18-34. Visa vya kujiua miongoni mwa kundi hili ni mara tatú zaidi ikilinganishwa na visa vya kujiua miongoni mwa askari walio na umri zaidi ya miaka 34.
CHANZO CHA TAKWIMU/ SOURCE:
"More Veterans Die By Suicide Than In Combat. But It's Preventable | Cognoscenti" More Veterans Die By Suicide Than In Combat. But It's Preventable
FUNZO: TATIZO LA AFYA YA AKILI LINAWEZA KUMKUTA MTU YOYOTE. USIOGOPE WALA USISITE KUOMBA MSAADA PALE UNAPOPATWA NA MAWAZO YA KUJIUA.