Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Unakataa au unshangaa?Duh yaani veterans ni homeless? Mmmh makubwa haya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakataa au unshangaa?Duh yaani veterans ni homeless? Mmmh makubwa haya.
Kweli PTSD is real. Halafu Heroine kule Afghanistan si ndio penyewe tena.Wengi wana PTSD kutokana na experience ya vitani na pia maisha magumu baada ya ku retire. Matumizi ya Heroine pia hasa wakiwa huko Afghanstan yanachangia.
Nashangaa. Sikutegemea kama watakuwa homeless maana sijawahi kufika MarekaniUnakataa au unshangaa?
Duh huyo nae asije kujiua maana hizo dalili sio nzuriWanajeshi wa marekani 40% yao huishia kuwa homeless au kuwa mateja, wengine huishia kufanya kazi viwandani na truck driver.
Kuna msela nilisoma nae kule hivi sasa akili yake haipo poa anapiga kelele burebure au anatafuta ugomvi tu.
Wengi wao ukiwauliza kwanini alijiunga na jeshi husema walitaka kuishi free life( mbali na wazee wao) au husema walidhani vita kama ile kwenye movie na video game's.
Itakuwa majini ya kitaliban na kiarabu waliyoo doka nayo huko vitaniRipoti zinasema, tangu uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan na Iraq uliotokea baada ya Shambulio la September 11:
1. Zaidi ya askari 30,000 walioshiriki uvamizi huo wamejiua. Hii ni mara nne zaidi ya askari waliokufa vitani/ kwenye mapigano.
2. Mwaka 2019 pekee askari 6261 walijiua ikiwa ni ongezeko la asilimia saba kulinganishwa na takwimu za mwaka 2018.
3. Kwa wastani kwa siku askari 17 walioshiriki uvamizi nchini Iraq/ Afghanistan hujiua.
4. Visa vya kujiua miongoni mwa askari hao ni mara mbili zaidi ikilinganishwa na visa vya kujiua vinavyotokea miongoni mwa raia wa kawaida
5. Askari wengi wanaojiua wako kwenye kundi la umri kati ya miaka 18-34. Visa vya kujiua miongoni mwa kundi hili ni mara tatú zaidi ikilinganishwa na visa vya kujiua miongoni mwa askari walio na umri zaidi ya miaka 34.
CHANZO CHA TAKWIMU/ SOURCE:
"More Veterans Die By Suicide Than In Combat. But It's Preventable | Cognoscenti" More Veterans Die By Suicide Than In Combat. But It's Preventable
FUNZO: TATIZO LA AFYA YA AKILI LINAWEZA KUMKUTA MTU YOYOTE. USIOGOPE WALA USISITE KUOMBA MSAADA PALE UNAPOPATWA NA MAWAZO YA KUJIUA.
Okay. Maana yake wamebeba Siri ambazo hawatakiwi kuzisema.Siyo mara ya kwanza hii mada na comments kwa bahati mbaya ni zile zile albadir, karma, msongo, nk nk
Sikilizeni nyinyi msiojua lolote, ni kwamba hao jamaa wanauawa wala usidanganywe kuwa wanajiua!
Naomba msaada wa connection ya kazi ndugu yangu hii kitu inanisumbuaRipoti zinasema, tangu uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan na Iraq uliotokea baada ya Shambulio la September 11:
1. Zaidi ya askari 30,000 walioshiriki uvamizi huo wamejiua. Hii ni mara nne zaidi ya askari waliokufa vitani/ kwenye mapigano.
2. Mwaka 2019 pekee askari 6261 walijiua ikiwa ni ongezeko la asilimia saba kulinganishwa na takwimu za mwaka 2018.
3. Kwa wastani kwa siku askari 17 walioshiriki uvamizi nchini Iraq/ Afghanistan hujiua.
4. Visa vya kujiua miongoni mwa askari hao ni mara mbili zaidi ikilinganishwa na visa vya kujiua vinavyotokea miongoni mwa raia wa kawaida
5. Askari wengi wanaojiua wako kwenye kundi la umri kati ya miaka 18-34. Visa vya kujiua miongoni mwa kundi hili ni mara tatú zaidi ikilinganishwa na visa vya kujiua miongoni mwa askari walio na umri zaidi ya miaka 34.
CHANZO CHA TAKWIMU/ SOURCE:
"More Veterans Die By Suicide Than In Combat. But It's Preventable | Cognoscenti" More Veterans Die By Suicide Than In Combat. But It's Preventable
FUNZO: TATIZO LA AFYA YA AKILI LINAWEZA KUMKUTA MTU YOYOTE. USIOGOPE WALA USISITE KUOMBA MSAADA PALE UNAPOPATWA NA MAWAZO YA KUJIUA.
Hapa kuna la kujifunza.Vita ni upumbavu.
Yani mnauana kisa wanasiasa wawili wenye bifu. Wenyewe wamekaa ofisini kwao kwenye viti vya kuzunguka wakiwacheki mnavyo uana.
Halafu nyie mna miminiana risasi maporini.
Ndio maana wanajeshi wakikaaga chini na kutafakari wanajiona walivyokuwa mafala.
Mwisho wa siku wanajiua.
Hizo operation haijalishi ni media zipi zimeelezea.....According tu sources nilizotumia ambazo ni media za Magharibi kama BBC, media za kujitegemea na documentary nilizoangalia ni kweli wanajiua. Kuna documentary inaitwa the heart of a soldier ndo inaelezea vizuri na hao wanajeshi walioenda huko wanahojiwa . Kama nimeingia kingi basi iko nje ya uwezo wangu kuelezea maana mimi sio mtaalamu
Wengi wao wana trauma kwa kiasi kikubwa hadi wengine walikuwa wanafuatiliwa wakihisiwa kuja kutenda uhalifu.Ripoti zinasema, tangu uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan na Iraq uliotokea baada ya Shambulio la September 11:
1. Zaidi ya askari 30,000 walioshiriki uvamizi huo wamejiua. Hii ni mara nne zaidi ya askari waliokufa vitani/ kwenye mapigano.
2. Mwaka 2019 pekee askari 6261 walijiua ikiwa ni ongezeko la asilimia saba kulinganishwa na takwimu za mwaka 2018.
3. Kwa wastani kwa siku askari 17 walioshiriki uvamizi nchini Iraq/ Afghanistan hujiua.
4. Visa vya kujiua miongoni mwa askari hao ni mara mbili zaidi ikilinganishwa na visa vya kujiua vinavyotokea miongoni mwa raia wa kawaida
5. Askari wengi wanaojiua wako kwenye kundi la umri kati ya miaka 18-34. Visa vya kujiua miongoni mwa kundi hili ni mara tatú zaidi ikilinganishwa na visa vya kujiua miongoni mwa askari walio na umri zaidi ya miaka 34.
CHANZO CHA TAKWIMU/ SOURCE:
"More Veterans Die By Suicide Than In Combat. But It's Preventable | Cognoscenti" More Veterans Die By Suicide Than In Combat. But It's Preventable
FUNZO: TATIZO LA AFYA YA AKILI LINAWEZA KUMKUTA MTU YOYOTE. USIOGOPE WALA USISITE KUOMBA MSAADA PALE UNAPOPATWA NA MAWAZO YA KUJIUA.
We unadhani ukatili walioufanya ni mdogo?Hao sio inshu ya Afya ya Akili... Itakua kuna siri wamebeba hawatakiwi kuzisema.
Kwahyo wakiona wanashindwa kuvumilia kuzibeba wanajiua.
Duuuh vita za Iraq hazikutoa miaka ya 90 aisee umekosea.Hii habari umeinukuu wapi, mbona haina uhalisia?
Watu wapigane vita miaka ya 90 huko, halafu wagandishe umri wao, mpaka leo wabakie kuwa na miaka 34?
Kawaida inaitwa Podt war syndromeRipoti zinasema, tangu uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan na Iraq uliotokea baada ya Shambulio la September 11:
1. Zaidi ya askari 30,000 walioshiriki uvamizi huo wamejiua. Hii ni mara nne zaidi ya askari waliokufa vitani/ kwenye mapigano.
2. Mwaka 2019 pekee askari 6261 walijiua ikiwa ni ongezeko la asilimia saba kulinganishwa na takwimu za mwaka 2018.
3. Kwa wastani kwa siku askari 17 walioshiriki uvamizi nchini Iraq/ Afghanistan hujiua.
4. Visa vya kujiua miongoni mwa askari hao ni mara mbili zaidi ikilinganishwa na visa vya kujiua vinavyotokea miongoni mwa raia wa kawaida
5. Askari wengi wanaojiua wako kwenye kundi la umri kati ya miaka 18-34. Visa vya kujiua miongoni mwa kundi hili ni mara tatú zaidi ikilinganishwa na visa vya kujiua miongoni mwa askari walio na umri zaidi ya miaka 34.
CHANZO CHA TAKWIMU/ SOURCE:
"More Veterans Die By Suicide Than In Combat. But It's Preventable | Cognoscenti" More Veterans Die By Suicide Than In Combat. But It's Preventable
FUNZO: TATIZO LA AFYA YA AKILI LINAWEZA KUMKUTA MTU YOYOTE. USIOGOPE WALA USISITE KUOMBA MSAADA PALE UNAPOPATWA NA MAWAZO YA KUJIUA.