kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Albadili SI mchezo hasa ikitiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzi umeandikwa jana. Lakini hii habari ni ya mwaka gani? Kama ni habari ya jana pia basi hilo kundi tajwa hapo juu halikuwa jeshini wakati wa uvamizi wa iran.5. Askari wengi wanaojiua wako kwenye kundi la umri kati ya miaka 18-34. Visa vya kujiua miongoni mwa kundi hili ni mara tatú zaidi ikilinganishwa na visa vya kujiua miongoni mwa askari walio na umri zaidi ya miaka 34.
Wanajeshi wa Marekani wameondoka Afghanistan mwaka 2021. Iraq hadi leo bado wapo ila sio active sana kwenye opearations kama miaka hiyo.Uvamizi haukuchukua mwaka mmoja tuHuu uzi umeandikwa jana. Lakini hii habari ni ya mwaka gani? Kama ni habari ya jana pia basi hilo kundi tajwa hapo juu halikuwa jeshini wakati wa uvamizi wa iran.
Nimekumbuka videos za Assange. Kuna hiyo moja wanajeshi wapo kwenye ndege wanaona watoto wanaenda shule wanapewa amri "fire" wanamimina risasi. Baadae gari la wagonjwa linakuja kubeba wale watoto, wanajeshi wanaambiwa tena" fire" wanamiminia risasi lile gari la wagonjwa. Waliomo mule wanakufa ila ananusurika mtoto mmoja. Huyo mtoto alivyokua mkubwa picha yake ikasambaa. Mwanajeshi mmojawapo wa Marekani aliewamiminia risasi siku ile akaenda kumtafuta kumuomba msamaha maana na yéyé alikuwa anaelekea kujiua akikumbuka ukatili alioufanya . Sio poa.We unadhani ukatili walioufanya ni mdogo?
Jullian Assange si alitoa ushahidi wa ukatili wa askari wa Marekani Iraq!?
Kazi ya hovyo sitaki mtoto wangu aje kufanya asee,labda mi niwe sipo duniani,Yani usulubukie maslahi ya mwana siasaVita ni upumbavu.
Yani mnauana kisa wanasiasa wawili wenye bifu. Wenyewe wamekaa ofisini kwao kwenye viti vya kuzunguka wakiwacheki mnavyo uana.
Halafu nyie mna miminiana risasi maporini.
Ndio maana wanajeshi wakikaaga chini na kutafakari wanajiona walivyokuwa mafala.
Mwisho wa siku wanajiua.
Kwa nini wasigome kuenda vitani,ni mafala sana!Vita ni upumbavu.
Yani mnauana kisa wanasiasa wawili wenye bifu. Wenyewe wamekaa ofisini kwao kwenye viti vya kuzunguka wakiwacheki mnavyo uana.
Halafu nyie mna miminiana risasi maporini.
Ndio maana wanajeshi wakikaaga chini na kutafakari wanajiona walivyokuwa mafala.
Mwisho wa siku wanajiua.
Hata kama 2000+ umri wa miaka 18-34 kiuhalisia hawapo, watakuwa washavuka.Duuuh vita za Iraq hazikutoa miaka ya 90 aisee umekosea.
Ni miaka ya 2000 kuja hadi 2008.
Kwa kiingereza wanaita "POST-TRAUMATIC STRESS DISORDER"Ripoti zinasema, tangu uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan na Iraq uliotokea baada ya Shambulio la September 11:
1. Zaidi ya askari 30,000 walioshiriki uvamizi huo wamejiua. Hii ni mara nne zaidi ya askari waliokufa vitani/ kwenye mapigano.
2. Mwaka 2019 pekee askari 6261 walijiua ikiwa ni ongezeko la asilimia saba kulinganishwa na takwimu za mwaka 2018.
3. Kwa wastani kwa siku askari 17 walioshiriki uvamizi nchini Iraq/ Afghanistan hujiua.
4. Visa vya kujiua miongoni mwa askari hao ni mara mbili zaidi ikilinganishwa na visa vya kujiua vinavyotokea miongoni mwa raia wa kawaida
5. Askari wengi wanaojiua wako kwenye kundi la umri kati ya miaka 18-34. Visa vya kujiua miongoni mwa kundi hili ni mara tatú zaidi ikilinganishwa na visa vya kujiua miongoni mwa askari walio na umri zaidi ya miaka 34.
CHANZO CHA TAKWIMU/ SOURCE:
"More Veterans Die By Suicide Than In Combat. But It's Preventable | Cognoscenti" More Veterans Die By Suicide Than In Combat. But It's Preventable
FUNZO: TATIZO LA AFYA YA AKILI LINAWEZA KUMKUTA MTU YOYOTE. USIOGOPE WALA USISITE KUOMBA MSAADA PALE UNAPOPATWA NA MAWAZO YA KUJIUA.
Unatoaga comments nzuri sana katika mada za kijeshi. Hongera sana. Nimejifunza mengi sana kupitia wewe mkuu..Hata kama 2000+ umri wa miaka 18-34 kiuhalisia hawapo, watakuwa washavuka.
Piga hesabu kwa kutumia min age ya, 18 yrs.
Kabisa mkuu.Kazi ya hovyo sitaki mtoto wangu aje kufanya asee,labda mi niwe sipo duniani,Yani usulubukie maslahi ya mwana siasa
Iraq kuna operation nyingi zilizofanyika mkuu.Hata kama 2000+ umri wa miaka 18-34 kiuhalisia hawapo, watakuwa washavuka.
Piga hesabu kwa kutumia min age ya, 18 yrs.
Hata Israel pia askari wengi wana matatizo ya afya ya akili toka watoke Gaza.Nimekumbuka videos za Assange. Kuna hiyo moja wanajeshi wapo kwenye ndege wanaona watoto wanaenda shule wanapewa amri "fire" wanamimina risasi. Baadae gari la wagonjwa linakuja kubeba wale watoto, wanajeshi wanaambiwa tena" fire" wanamiminia risasi lile gari la wagonjwa. Waliomo mule wanakufa ila ananusurika mtoto mmoja. Huyo mtoto alivyokua mkubwa picha yake ikasambaa. Mwanajeshi mmojawapo wa Marekani aliewamiminia risasi siku ile akaenda kumtafuta kumuomba msamaha maana na yéyé alikuwa anaelekea kujiua akikumbuka ukatili alioufanya . Sio poa.
kubalina na wanaosema ni afya ya Akili, si uzima huo.Hao sio inshu ya Afya ya Akili... Itakua kuna siri wamebeba hawatakiwi kuzisema.
Kwahyo wakiona wanashindwa kuvumilia kuzibeba wanajiua.
Bush SR vs Saddam ilikua 1991 naDuuuh vita za Iraq hazikutoa miaka ya 90 aisee umekosea.
Ni miaka ya 2000 kuja hadi 2008.