Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Askari kadhaa wa Ukraine wameonesha dalili za wazi za kujuta na kulaumu uamuzi wa kupelekwa huko wakati wakianza kuzingirwa na majeshi ya Urusi.
Kwa mujibu wa askari hao ambao hata majina yao hawakupenda kuwekwa hadharani ni kuwa maangamizi kwao yalianza tangu siku ya mwanzo ya jaribio lao na kwa sasa hali imekuwa ni ngumu zaidi.
Dalili za hatma zao kuwa ziko mashakani wamesema tayari wamewaona wapiganaji wa Wagner wakimwagwa kwenye jimbo hilo la Kursk ambao wamesema wanahisi wana mafunzo na silaha zaidi kuliko wao na hata jeshi la Urusi.
Kwa mujibu wa askari hao ambao hata majina yao hawakupenda kuwekwa hadharani ni kuwa maangamizi kwao yalianza tangu siku ya mwanzo ya jaribio lao na kwa sasa hali imekuwa ni ngumu zaidi.
Dalili za hatma zao kuwa ziko mashakani wamesema tayari wamewaona wapiganaji wa Wagner wakimwagwa kwenye jimbo hilo la Kursk ambao wamesema wanahisi wana mafunzo na silaha zaidi kuliko wao na hata jeshi la Urusi.