Askari waliopambana na Hamza wapewa zawadi

Askari waliopambana na Hamza wapewa zawadi

Huko ni kujitutumua tuu kwa polisi lakini hamna lolote... hii ni kuihadaa jamii baaada ya maneno kuwa mengi kuhusu weledi wa askari polisi pamoja na dara nzim ya polisi...

Yani ni kama IGP ameamua kuwakomoa wananchi... Haina toafauti na Teuzi za njugu alizokuwa anatoa Mwendazake JPM kwa wapinzani just kuwakomoa wapinazni
 
walipaswa kushtakiwa wale...wametuharibia risasi bure...matumizi mabaya ya mali za UMMA...uhujumu uchumi...
 
Kamanda muliro mchana huu amewatunukia zawadi za vyeti na pesa kwa mashujaa wetu wa jeshi la polisi waliojitoa mhanga kupambana na Hamnza wakafanikiwa kumuuwa

Katika ukurasa wa instagram wa millard ayo ameripoti tukio hilo lakini chakushangaza badala ya wananchi kupongeza jeshi letu wameonekana kuweka emoji za kucheka na kuwadhihaki mashujaa wetu kuwa hawakustahili kupewa zawadi eti walikuwa hawana shabaha
Uzi uliouweka umeulenga kwenye mtazamo wako.

Magaidi huteteana tunajua
 
Hawakuweka vimoto? Insta watu wanajibu kwa emoji za vicheko na vimoto tu. Unawaonea kudhani wanakebehi.
 
Askari polisi 11 waliomdhibiti na kumuuwa gaidi Hamza pale Selender bridge wamepewa vyeti vya kutambua ujasiri na uzalendo wao uliotukuka.

Mungu ni mwema wakati wote!
 
Askari polisi 11 waliomdhibiti na kumuuwa gaidi Hamza pale Selender bridge wamepewa vyeti vya kutambua ujasiri na uzalendo wao uliotukuka.

Mungu ni mwema wakati wote!
Yaani wanatunukiwa kana kwamba wamefanya Jambo la ajabu, wakati ni wajibu wao..🤔
Alafu, heading ilitakiwa iwe...
ASKARI POLISI WALIO MUUA HAMZA
 
Askari polisi 11 waliomdhibiti na kumuuwa gaidi Hamza pale Selender bridge wamepewa vyeti vya kutambua ujasiri na uzalendo wao uliotukuka.

Mungu ni mwema wakati wote!
Acha wapewe wamefanya kazi kubwa

USSR
 
Askari polisi 11 waliomdhibiti na kumuuwa gaidi Hamza pale Selender bridge wamepewa vyeti vya kutambua ujasiri na uzalendo wao uliotukuka.

Mungu ni mwema wakati wote!

Askari wa vitengo vyote wapongezwa na Kamanda Jumanne Muliro kwa niaba ya IGP, kwa kuonesha weledi mkubwa na pia kujitoa mhanga kwa kusimamia viapo vyao kisha kukabiliana na tukio la ugaidi lililotokea mwezi Agosti 2021 jijini Dar es Salaam
 
Askari polisi 11 waliomdhibiti na kumuuwa gaidi Hamza pale Selender bridge wamepewa vyeti vya kutambua ujasiri na uzalendo wao uliotukuka.

Mungu ni mwema wakati wote!
Swali ni kwa nini Hamza aliuwa askari tu na hamkudhuru raia hata mmoja?

Lisipojibiwa swali hili mambo mengine yote hayana tija kwa Mtanzania.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom