Askari waliopambana na Hamza wapewa zawadi

Askari polisi 11 waliomdhibiti na kumuuwa gaidi Hamza pale Selender bridge wamepewa vyeti vya kutambua ujasiri na uzalendo wao uliotukuka.

Mungu ni mwema wakati wote!
Kwanini post hii imewekwa "Jukwa la siasa"?
 
Askari polisi 11 waliomdhibiti na kumuuwa gaidi Hamza pale Selender bridge wamepewa vyeti vya kutambua ujasiri na uzalendo wao uliotukuka.

Mungu ni mwema wakati wote!
Jambo la heri. Ndio uzuri wa tukio kuwa mubashara na wazi mbele ya wananchi. Sijui ndio mwanzo na haitakuwa mwisho? Mara nyingi tunaletewa PR za polisi kurushiana risasi na majambazi hatari na kufanikiwa kuwaua wote lakini mashujaa hawatajwi wala vyeti havitolewi.
 
Nakumbuka nilisema zile risasi walizommiminia zilikuwa na nia ya kujenga hoja kuwa marehemu alikuwa anawakimbia ila walifanikiwa kumpiga risasi na kumuua.
 
Nilichokishuhudia siku ile ya Hamza nikijumlisha na nilichokiona siku soko la Kariakoo linaungua naona kuna umuhimu kujifunza martial arts na mazoezi ya mbio kwaajili ya kujilinda mwenyewe tu
.

Bongo hata ukijamb utasikia sababu ni serikali ya mitozo

wakuu ukiwa maskin tabuu
 
Ha ha ha watu wengine walifikiri watapelekwa kozi kwa mafunzo zaidi!
Na ilitakiwa hivyo ila kwa sababu kila mtu anataka kula akiwa afisi ya serikali ndiyo haya tunayo shuhudia.
 
Hakuna zawadi ingewafaa kama kuwapeleka kozi ya mafunzo ya namna bora ya kupambana na wahalifu
Na ilitakiwa hivyo ila kwa sababu kila mtu anataka kula akiwa afisi ya serikali ndiyo haya tunayo shuhudia.
 
Yaani Askali kikosi kizima Cha Askali zaidi ya 30,kupambana na Raia mwenye siraha,mkapiga risasi zaidi ya 20!mkamkosa,mnapewa zawadi?!!
Sasa hao raia wangekuwa 10 kama wale wa Westgate! Dar si ingechimbika.
 
Muriro anasema ....ni muhalifu..kumbe sio Gaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…