Hii inaonyesha jeshi la polisi halina wataalam wa kutosha
Hivi vifaa vya siku hizi vina operaating system kama kompyuta, hata ufute vipi data, zinaweza kurudishwa
Rushwa ilivyo kubwa huko Road na imekua kero kwa waendesha magari kila siku unasimamishwa gari hilo hilo askari huyo huyo kana kwamba jana na leo gari imebadilika aisee .