Askari wawili JWTZ wafa ajalini, wanne wajeruhiwa

Yule mtoto nae angepakizwa kwenye ndege angepona ila maskin hana haki🥲
 
Bora wangekufa wote, kwann wamebaki majeruhi? Ilibidi wote walambe ardhi, dadeki zao, safi sanaaa, na bado waishe wote.
 
Kuna mheshimiwa alizunguka na helicopter eti anapromote anuani za makazi huku mtoto anaepigania maisha anasafirishwa kwa gari kutoka Kigoma mpaka anafia njia! Hawa watu hawana hata aibu. Mungu awalaani.
 
Bora wangekufa wote, kwann wamebaki majeruhi? Ilibidi wote walambe ardhi, dadeki zao, safi sanaaa, na bado waishe wote.
[emoji16][emoji16] wali kwambia uogelee kwenye dimbwi la maji nini..sio kwa hii hasira
 
[emoji16][emoji16] wali kwambia uogelee kwenye dimbwi la maji nini..sio kwa hii hasira
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nikisikia vifo vya hao watu, mie moyo burudaaaaaniiii, ibilisi kwann aliwaacha wengine majeruhi, ilibidi anyofoe roho za waliokuwa ndani ya gari woteee.
 
Poleni kwa wafiwa wote na waliojeruhiwa wapate quick recovery, naona macho yangu hayaoni vema,paragraph ya mwisho imeandikwa majeruhi watapelekwa kwa ndege Lugalo Hospital?sio kwa gari au nimekua over sensitive hapa?
Au wapandishwe 1Hz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…