Asking Aloud: Rais Samia anajua Katiba yetu ni batilifu, na Sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini ni sheria batili kinyume cha katiba?

Asking Aloud: Rais Samia anajua Katiba yetu ni batilifu, na Sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini ni sheria batili kinyume cha katiba?

Nakushauri urudi kule FB ndiyo size ako
This logical fallacy is called ad hominem attack.

Umeshindwa hoja, unaleta viroja.

Umeshindwa kujibu hoja, unamtukana mtoa hoja.

Hii ni trick inayotumiwa na watu walioshindwa hoja.

Umekubali kuwa si lazima kila cheo kitajwe kwenye katiba?

Tumalize hilo kwanza.
 
Kisipotajwa kwenye katiba lazima kitajwe kwenye sheria maana kila cheo kina maslahi yake na masharti yake, kisipokuwepo kwenye sheria au katiba kinakuwa kwenye gazeti la serikali pekee? na maslahi yake yanakuwa kwenye gazeti pekee? nashauri tuweke uchawa pembeni, kwa hiyo leo Rais anaweza kuamka tu akakifuta cheo cha Makamu au Waziri Mkuu kisa atakitangaza kwenye gazeti kuwa amekifuta?
Kuna ofisi ni constitutional offices, rais hawezi kuzifuta at her pleasure, lakini anaweza ku establish any office na mambo yake yote kwa kuitangaza kwenye gazeti la serikali, hata JPM alipofuta sherehe za uhuru, alizifuta kienyeji, tukamsaidia sisi jf, Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria, ongoza kwa 'presidential decrees'! na Amri ya Rais Kuifuta Siku ya Uhuru Haijataja Usafi!. Jee Usafi ni Amri au ni Ridhaa Tuu?!. amri hii ilitolewa bila a decrees, tulipo iulizia, a decree ikaandikwa, ikawa backdated na kutolewa. Kiukweli jf tunaisaidia sana serikali yetu, thanks God siku hizi serikali inatutambua na Mama anamuita @Maxence "mwanangu Max"
P
 
Kuna ofisi ni constitutional offices, rais hawezi kuzifuta at her pleasure, lakini anaweza ku establish any office na mambo yake yote kwa kuitangaza kwenye gazeti la serikali, hata JPM alipofuta sherehe za uhuru, alizifuta kienyeji, tukamsaidia sisi jf, Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria, ongoza kwa 'presidential decrees'! na Amri ya Rais Kuifuta Siku ya Uhuru Haijataja Usafi!. Jee Usafi ni Amri au ni Ridhaa Tuu?!. amri hii ilitolewa bila a decrees, tulipo iulizia, a decree ikaandikwa, ikawa backdated na kutolewa. Kiukweli jf tunaisaidia sana serikali yetu, thanks God siku hizi serikali inatutambua na Mama anamuita @Maxence "mwanangu Max"
P
Maza ni mvivu wa kusoma, anapenda kusifiwa pekee, cheo chochote kisipotajwa kwenye katiba lazima kitajwe kwenye sheria za nchi.
 
Mwanzo nilidhani wewe ni mbishi tuu for the sake ya kubisha, sasa nimegundua wewe ni mzito wa kuelewa, umeletewa katiba na sheria, umeelezwa Rais wa JMT anaweza to establish any office and to abolish any office, pia anaweza kumteua yeyote Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!
P.
Mwishoni pameandikwaje? hivi unaweza kuwa na cheo ambacho hakipo kisheria? maslahi yake yanatangazwa kwenye gazeti pekee halafu wewe ni wakili na unakubali kuishi kwa matamko ya Rais badala ya sheria na katiba? ndiyo maana sijawahi kusikia umeshinda kesi yoyote
 
Mwishoni pameandikwaje? hivi unaweza kuwa na cheo ambacho hakipo kisheria? maslahi yake yanatangazwa kwenye gazeti pekee halafu wewe ni wakili na unakubali kuishi kwa matamko ya Rais badala ya sheria na katiba? ndiyo maana sijawahi kusikia umeshinda kesi yoyote
Asante, itoshe, tuendelee.
P.
 
Wanabodi,

Zawadi yangu kwa Birthday ya Mama nilipanga kumpa wiki ya mwisho ya October 2025,

Ili zawadi hii iwe na manufaa kwake, nikisubiri mpaka hiyo 2025, it might be a bit too little too late, kuna ubaya hiyo zawadi, kutolewa mapema mwaka huu ili iweze kutumika mwaka kesho?.

Zawadi yenyewe ni Salaam tuu za Birthday zenye ki parcel fulani!

HBD Mhe. Rais Samia kwa kutimiza miaka 64!, nakupongeza sana na kukuombea afya njema!.

Mwakani 2025 utakuwa unatimiza umri wa miaka 65 na 2030 utakuwa na umri wa miaka 70, hivyo zawadi yangu ya pekee kwako ni HII na kukusisitizia, sio lazima kuizingatia saana kivile, ila ni muhimu kuisikiliza na kujisikilizia kama na wewe pia uliambiwa kama nilivyoambiwa mimi, kwasababu yule YEYE, sometimes ana tabia na mtindo wa kuwaambia watu wake, kupitia kwa watu wengine!, hivyo just listen and try to make sense of this, a think about it, if makes any sense to you, ikitokea it doesn't make any sense to you, then dismiss it as just another set of crap!.

Ila ikitokea na wewe pia uliambiwa, but you are not very sure kama ni YEYE au ni yeye, then don't take a chance!, usipuuze!, maana hicho kitu chenyewe, is nothing compared!.

If this being the case, then tunakuomba sana sana sana, ututekelezee haya mambo tunayokulilia nayo tangu umeingia kwenye usukani, tekeleza tuu yale yaliyomo ndani ya uwezo wako, maana kusubiria post 2025, it might be too little too late!. Please Mama!.


Na ikitokea wewe hujaambiwa mpaka 2025 inaingia na hujawahi kuambiwa na mtu mwingine yeyote, then ipuuze HII itakuwa sio sauti yake YEYE bali itakuwa ni sauti ya yeye tuu ambaye sio YEYE!.

Hivyo endelea na ule mpango wako wa 2025!, na Watanzania wanaolitakia mema taifa letu hili, wote tutakuwa Tuko nyuma yako,
Tuko pamoja nawe,
Tuko nawe!.

Mungu Akubariki Sana!.
HBD Mamaa!.
Paskali
HBD Rais Samia!.
P
 
Wanabodi,

Kama kawa, kila nipatapo fursa, huja na makala elimishi za kwa maslahi ya taifa, ambazo huwa na maswali, hoja, majibu utaweka mwenyewe, swali la leo ni kujiuliza kwa sauti, asking aloud: "Je Rais Samia anajua kuwa Katiba yetu ina ubatili fulani, uliochomekewa kiubatili hivyo kuifanya Tanzania kuwa na katiba Batilifu?. Je anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini hapa juzi kati ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT ya Mwaka 1977?. Je, anajua ubatili huu unadhulumu haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa?. Je anajua kila dhulma ya haki, huwa ina consequences?

Kwanza naomba mnisamehe kwa kuandika mabandiko marefu, sometimes nakuwa too emotional, hivyo nondo zina tiririka tuu na ku flows.

Hili shurti la wanasiasa kudhaminiwa na chama cha siasa, ili kugombea uongozi ni shurti batili liko kinyume na katiba ya JMT ya mwaka 1977, na limechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu. Shurti la Mgombea Kudhaminiwa na Chama cha Siasa ni Shurti Batili, Lililochomekewa Kiubatili Ndani ya Katiba Yetu. Kwanini Tunalikumbatia?

Mahakama Kuu iliishalifutaSerikali, Bunge, Ziheshimu Mahakama! Kwanini Serikali na Bunge Hazijatekeleza Hukumu ya Mahakama kuhusu Ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?

Kufuatia ubatili huu, unamaanisha katiba yetu ni katiba batilifu, ina ubatili, na sheria mpya ya uchaguzi ni sheria batili!. Serikali yetu tukufu imetunga muswada wenye kipengele batili, Bunge letu likatunga Sheria batili, na Rais akaisaini hiyo sheria batili kuanza kutumika bila yeye Rais kujua kuwa amesainishwa sheria batili!.

Swali ni Je Rais Rais Samia, anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyoisaini juzi juzi, kwa jicho la kisheria ni sheria batili?

Japo Rais wa Tanzania, ana kinga ya kikatiba ya kutokushitakiwa kwa makosa yoyote atakayotenda akiwa madarakani katika utekelezaji wa majukumu yake ya urais, ila ibara ya 56A imesema specific kuwa kinga hiyo ya rais kutokushitakiwa, inahusu makosa mengine yote, ila haihusu Rais anapovunja katiba ya JMT, anashitakiwa kwa mujibu wa ibara ya 56A.

The only excuse ya rais kusaini sheria batili kuanza kutumika, ni kwa vile Rais wetu sio mwanasheria, hivyo hategemewi kuujua ubatili wa Katiba, ila kwa vile anawasaidizi wake sheria, wakiongozwa na Waziri wa sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, hawa ni manguli wa sheria, wabobezi na wabobevu ambao wanaujua kabisa ubatili wa sheria hiyo, na ubatili wa Katiba, lakini hawajamweleza Rais Samia kuhusu ubatili huu kwa excuse kuwa ubatili huu umefanywa na awamu zilizotangulia, Rais Samia kaingia kaukuta, hivyo wakamtungia tuu sheria batili kwasababu sheria ikiyokuwepo nayo ni batili lakini ilikuwa inatumika!

Kuna kanuni ya the doctrine of separation of powers between mihimili inayokwenda na kitu kinachoitwa checks and balance inayoitaka kila mhimili kuwa kiranja wa mhimili mwenzake usikiuke mamlaka yake wala usikiuke katiba.

Ibara ya 64 (5) ya Katiba imetamka wazi kuwa katiba ndio sheria mama, sheria nyingine yoyote itakayo kinzana na katiba, sheria hiyo itakuwa ni batili. Ijue Katiba kwa Jicho la Mtunga Katiba: Mtunga Katiba alimaanisha nini aliposema "Katiba ni Sheria Mama"? Ni kweli Katiba ni Sheria Mama? sheria batili sio Mahakama, ni katiba yenyewe, jukumu la Mahakama ni kuithibisha tuu huo ubatili na kutangaza kuwa ni batili, tangu siku Mahakama Kuu ya Tanzania ilipouthitisha ubatili huu na kuutangaza, kuanzia hapo ubatili huo unakuwa umeisha batilishika there and then!

Licha ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuutangaza ubatili huu na kuubatilisha, lakini Serikali ya awamu ya Sita, bado imetunga muswada wa sheria wenye ubatili ule ule, na Bunge letu, likaupokea muswada huo batili na kuutungia sheria kitutusa, hali iliyowafanya wabunge wetu makini kugeuka kama mazuzu vile, checks and balance inatoka wapi?

Bunge letu chini mwalimu wangu, mwanasheria mbobezi na mbobevu, Dr. Tulia Akson, alipaswa kulitumia Bunge to i check Serikali kuwa haiwezi kututungia muswada batili, na Bunge lina mamlaka ya kuuondoa ubatili huo na kutunga sheria safi isiyo na ubatili, lakini Bunge letu, likatunga Sheria Batili kitutusa na kumpelekea Rais Samia kuisaini!. Watanzania tutaendelea kusubiri mpaka lini Bunge likitunga Sheria batili na kuuchomekea ubatili huo ndani ya Katiba yetu? Tufanye nini?

Kwavile Rais Samia anawaamini sana wasaidizi wake, wamemtungia muswada batili na Bunge likitunga Sheria batili, Rais Samia yeye amesaini with very clear conscious kuwa anasaini sheria halali bila wasaidizi wake kumweleza kuwa sheria hiyo ni batili, hivyo kwenye hili la ubatili wa sheria mpya ya uchaguzi, Rais Samia hana kosa kabisa, wenye makosa ni Serikali kutunga muswada batili na Bunge kutunga sheria batili!.
-https://www.jamiiforums.com/threads/tuombe-mwaka-2024-uwe-ni-mwaka-wa-mageuzi-ya-kweli-ya-kidemokrasia-ya-kweli-tanzania-tume-huru-uchaguzi-huru-na-wa-haki-happy-new-year.2172208/
- Watanzania tutaendelea kusubiri mpaka lini Bunge likitunga Sheria batili na kuuchomekea ubatili huo ndani ya Katiba yetu? Tufanye nini?


Hili la huu ubatili, nimelipigia sana kelele kwenye all fronts,
live, social media na mainstream media. nimepandisha threads zaidi ya 50 !

Je inawezekana ni Anasikia kabisa kilio hiki, ila Wahafidhina wa Chama Chake Ndio Hawataki, Katiba ni Sheria Mama. Sheria Yoyote Kinyume na Katiba ni Batili. Wanasheria Wetu, Waliwezaje Kufanya Madudu Haya Kuchomeka Batili Ndani ya Katiba?
Sikuishia kuandika tuu, pia nimezungumza mara 3 kwenye mikutano


Swali la kujiuliza ni baada ya kelele zote hizi kuhusu ubatili wa Katiba yetu na ubatili wa sheria zetu, jee Rais Samia amezisikia?.

Naona maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sheria batili yanaendelea, na mwakani tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu na katiba batili na sheria batili!.

Kwa vile Mungu ni haki, no one knows for sure kwanini yule aliitwa na kuondoshwa mapema, usikute na hii dhulma ya haki za Watanzania, zimechangia, naendelea kusisitiza Mama yetu, if there is anything she can do to help out Watanzania kurejeshewa haki zao, Please do, utabarikiwa, tutabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!.

Naamini kabisa kuna siku iso jina, kilio hiki cha haki kitasikika!.

Conclusion.
Namalizia kwa swali la msingi la bandiko hili. Jee Rais Samia anajua kuwa Katiba yetu ina ubatili fulani, uliochomekewa kiubatili hivyo kuifanya Tanzania kuwa na katiba Batili?. Je anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini hapa juzi kati ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT ya Mwaka 1977?. Jee anajua ubatili huu unadhulmu haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa?. Jee anajua kila dhulma ya haki, huwa ina consequences?.
Jee Rais Samia Afanye Nini?.

Mungu Mbariki Rais Samia, jicho ona lake liione hii dhulma kubwa ya haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa airejeshe.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Nisamehe kaka mkubwa.
 
Wanabodi,

Kama kawa, kila nipatapo fursa, huja na makala elimishi za kwa maslahi ya taifa, ambazo huwa na maswali, hoja, majibu utaweka mwenyewe, swali la leo ni kujiuliza kwa sauti, asking aloud: "Je Rais Samia anajua kuwa Katiba yetu ina ubatili fulani, uliochomekewa kiubatili hivyo kuifanya Tanzania kuwa na katiba Batilifu?. Je anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini hapa juzi kati ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT ya Mwaka 1977?. Je, anajua ubatili huu unadhulumu haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa?. Je anajua kila dhulma ya haki, huwa ina consequences?

Kwanza naomba mnisamehe kwa kuandika mabandiko marefu, sometimes nakuwa too emotional, hivyo nondo zina tiririka tuu na ku flows.

Hili shurti la wanasiasa kudhaminiwa na chama cha siasa, ili kugombea uongozi ni shurti batili liko kinyume na katiba ya JMT ya mwaka 1977, na limechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu. Shurti la Mgombea Kudhaminiwa na Chama cha Siasa ni Shurti Batili, Lililochomekewa Kiubatili Ndani ya Katiba Yetu. Kwanini Tunalikumbatia?

Mahakama Kuu iliishalifutaSerikali, Bunge, Ziheshimu Mahakama! Kwanini Serikali na Bunge Hazijatekeleza Hukumu ya Mahakama kuhusu Ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?

Kufuatia ubatili huu, unamaanisha katiba yetu ni katiba batilifu, ina ubatili, na sheria mpya ya uchaguzi ni sheria batili!. Serikali yetu tukufu imetunga muswada wenye kipengele batili, Bunge letu likatunga Sheria batili, na Rais akaisaini hiyo sheria batili kuanza kutumika bila yeye Rais kujua kuwa amesainishwa sheria batili!.

Swali ni Je Rais Rais Samia, anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyoisaini juzi juzi, kwa jicho la kisheria ni sheria batili?

Japo Rais wa Tanzania, ana kinga ya kikatiba ya kutokushitakiwa kwa makosa yoyote atakayotenda akiwa madarakani katika utekelezaji wa majukumu yake ya urais, ila ibara ya 56A imesema specific kuwa kinga hiyo ya rais kutokushitakiwa, inahusu makosa mengine yote, ila haihusu Rais anapovunja katiba ya JMT, anashitakiwa kwa mujibu wa ibara ya 56A.

The only excuse ya rais kusaini sheria batili kuanza kutumika, ni kwa vile Rais wetu sio mwanasheria, hivyo hategemewi kuujua ubatili wa Katiba, ila kwa vile anawasaidizi wake sheria, wakiongozwa na Waziri wa sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, hawa ni manguli wa sheria, wabobezi na wabobevu ambao wanaujua kabisa ubatili wa sheria hiyo, na ubatili wa Katiba, lakini hawajamweleza Rais Samia kuhusu ubatili huu kwa excuse kuwa ubatili huu umefanywa na awamu zilizotangulia, Rais Samia kaingia kaukuta, hivyo wakamtungia tuu sheria batili kwasababu sheria ikiyokuwepo nayo ni batili lakini ilikuwa inatumika!

Kuna kanuni ya the doctrine of separation of powers between mihimili inayokwenda na kitu kinachoitwa checks and balance inayoitaka kila mhimili kuwa kiranja wa mhimili mwenzake usikiuke mamlaka yake wala usikiuke katiba.

Ibara ya 64 (5) ya Katiba imetamka wazi kuwa katiba ndio sheria mama, sheria nyingine yoyote itakayo kinzana na katiba, sheria hiyo itakuwa ni batili. Ijue Katiba kwa Jicho la Mtunga Katiba: Mtunga Katiba alimaanisha nini aliposema "Katiba ni Sheria Mama"? Ni kweli Katiba ni Sheria Mama? sheria batili sio Mahakama, ni katiba yenyewe, jukumu la Mahakama ni kuithibisha tuu huo ubatili na kutangaza kuwa ni batili, tangu siku Mahakama Kuu ya Tanzania ilipouthitisha ubatili huu na kuutangaza, kuanzia hapo ubatili huo unakuwa umeisha batilishika there and then!

Licha ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuutangaza ubatili huu na kuubatilisha, lakini Serikali ya awamu ya Sita, bado imetunga muswada wa sheria wenye ubatili ule ule, na Bunge letu, likaupokea muswada huo batili na kuutungia sheria kitutusa, hali iliyowafanya wabunge wetu makini kugeuka kama mazuzu vile, checks and balance inatoka wapi?

Bunge letu chini mwalimu wangu, mwanasheria mbobezi na mbobevu, Dr. Tulia Akson, alipaswa kulitumia Bunge to i check Serikali kuwa haiwezi kututungia muswada batili, na Bunge lina mamlaka ya kuuondoa ubatili huo na kutunga sheria safi isiyo na ubatili, lakini Bunge letu, likatunga Sheria Batili kitutusa na kumpelekea Rais Samia kuisaini!. Watanzania tutaendelea kusubiri mpaka lini Bunge likitunga Sheria batili na kuuchomekea ubatili huo ndani ya Katiba yetu? Tufanye nini?

Kwavile Rais Samia anawaamini sana wasaidizi wake, wamemtungia muswada batili na Bunge likitunga Sheria batili, Rais Samia yeye amesaini with very clear conscious kuwa anasaini sheria halali bila wasaidizi wake kumweleza kuwa sheria hiyo ni batili, hivyo kwenye hili la ubatili wa sheria mpya ya uchaguzi, Rais Samia hana kosa kabisa, wenye makosa ni Serikali kutunga muswada batili na Bunge kutunga sheria batili!.
-https://www.jamiiforums.com/threads/tuombe-mwaka-2024-uwe-ni-mwaka-wa-mageuzi-ya-kweli-ya-kidemokrasia-ya-kweli-tanzania-tume-huru-uchaguzi-huru-na-wa-haki-happy-new-year.2172208/
- Watanzania tutaendelea kusubiri mpaka lini Bunge likitunga Sheria batili na kuuchomekea ubatili huo ndani ya Katiba yetu? Tufanye nini?


Hili la huu ubatili, nimelipigia sana kelele kwenye all fronts,
live, social media na mainstream media. nimepandisha threads zaidi ya 50 !

Je inawezekana ni Anasikia kabisa kilio hiki, ila Wahafidhina wa Chama Chake Ndio Hawataki, Katiba ni Sheria Mama. Sheria Yoyote Kinyume na Katiba ni Batili. Wanasheria Wetu, Waliwezaje Kufanya Madudu Haya Kuchomeka Batili Ndani ya Katiba?
Sikuishia kuandika tuu, pia nimezungumza mara 3 kwenye mikutano


Swali la kujiuliza ni baada ya kelele zote hizi kuhusu ubatili wa Katiba yetu na ubatili wa sheria zetu, jee Rais Samia amezisikia?.

Naona maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sheria batili yanaendelea, na mwakani tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu na katiba batili na sheria batili!.

Kwa vile Mungu ni haki, no one knows for sure kwanini yule aliitwa na kuondoshwa mapema, usikute na hii dhulma ya haki za Watanzania, zimechangia, naendelea kusisitiza Mama yetu, if there is anything she can do to help out Watanzania kurejeshewa haki zao, Please do, utabarikiwa, tutabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!.

Naamini kabisa kuna siku iso jina, kilio hiki cha haki kitasikika!.

Conclusion.
Namalizia kwa swali la msingi la bandiko hili. Jee Rais Samia anajua kuwa Katiba yetu ina ubatili fulani, uliochomekewa kiubatili hivyo kuifanya Tanzania kuwa na katiba Batili?. Je anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini hapa juzi kati ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT ya Mwaka 1977?. Jee anajua ubatili huu unadhulmu haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa?. Jee anajua kila dhulma ya haki, huwa ina consequences?.
Jee Rais Samia Afanye Nini?.

Mungu Mbariki Rais Samia, jicho ona lake liione hii dhulma kubwa ya haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa airejeshe.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Mkuu Wakili Msomi na Mwandishi Mwandamizi/Nguli P.


Tatizo sio kwamba hajui, ila kwa jadi na mfumo wa utawala, rasimu zote za sheria kabla hazijapelekwa bungeni kujadiliwa na kupitishwa kisha kurejeshwa kwake kuzibariki kutumika, huwa tayari alishapelekewa anazipitia, anajadili na watalaamu wake na kumhakikishia hazina madhara na yeye kupima kama zinalinda maslahi yake binafsi husaini tu.

Sina kumbukumbu vizuri kama kuna raisi Tanzania alishawahi kurejesha sheria bungeni kwa kuigomea kusaini, labda unikumbushe. Yoweri Mseveni alipelekewa sheria inayohusu kuruhusu ushoga na ndoa za jinsia moja alikataa kuisaini na akasimamia msimamo huo hadi leo pamoja na kwamba Marekani utawala uliopita kutishia kumwekea vikwazo!!!

Nami naungana nawe ya kwamba ni kweli ni batili kwa mjibu wa katiba ya nchi iliyopo.
 
Back
Top Bottom