Askofu Almachius Rweyongeza: JamiiForums pekee ndio wameripoti Waraka wa TEC mkataba wa DP World kwa Weledi

Askofu Almachius Rweyongeza: JamiiForums pekee ndio wameripoti Waraka wa TEC mkataba wa DP World kwa Weledi

Alafu tunaambiwa awamu hii media zipo huru. Media zote zimekimbia habari ya TEC na aibu kubwa zikatumiwa ka ujumbe ka kihuni kuhusu maaskofu wakapost wote huo ujinga.

Media za Tanzania kwavile mmekuwa mnaendeshwa na kuogopa kutangaza baadhi ya habari, huko mbele msilie mkishughulikiwa. Tutawakumbusha huu usaliti wenu.

Vyombo vya habari Tanzania vimetusaliti! Ipo siku tutawakumbusha haya hadharani hasa nyie wamiliki na wahariri.
Kwq hiyo unazipangia media cha kuripoti? Wewe si ndo dikteta sasa?
 
Weka uthibitisho wa watu hao kutishwa
Kichwa chako kimejaa ma+vi
Nimeshakuambia waliandika na kufuta ungekuwa na akili ungeshashajua kwa nini walifuta ila kwa kuwa zwazwa uwezi elewa baki na ujinga wako wewe zombokoko
 
Kwa hiyo wanatoa waraka ili utangazwe kwenye vyombo vya habari?
Ndiyo, wanatoa waraka ili utangazwe kwenye vyombo vya habari kama huu uliotolewa siku ya Jumapili Machi 25, 2018 wakati wa awamu ya tano.

Waraka wa KKKT kwa Magufuli!.png
Baraza la Maaskofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), limetoa waraka mzito wa ujumbe wa Sikukuu ya Pasaka ambao mbali ya kuzungumzia masuala ya kiroho, umetaja changamoto tatu na kuzifikisha kwa waumini wake “ili ziongeze mzigo wa kuliombea taifa letu na viongozi wake.”

Huo ni waraka wa pili kutoka kwa viongozi wa dini baada ya Februari mwaka huu, Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), kutoa ujumbe wa Kwaresma uliosaniwa na maaskofu 35 uliozungumzia masuala ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Wameeleza kwamba kwa umoja wao na kwa nyakati za hivi sasa kuna matukio yaliyo kinyume na tunu na misingi iliyolilea Taifa inayoshuhudiwa; “Baadhi ya matukio hayo ni hofu iliyojengwa katika matukio halisi yakiwamo utekaji, utesaji, kupotea kwa watu, mashambulizi ya silaha dhidi ya viongozi wa kisiasa, mauaji yenye mwelekeo wa kiitikadi, vitisho, ubambikiziaji wa kesi, na matumizi mabaya ya vyombo vya dola dhidi ya wananchi.”

Je wakati huo Rais mstaafu Kikwete alikuwa wapi?
Je hilo gazeti la Mwananchi si ndilo hili hili, je leo wako wapi?
 
Ndiyo, wanatoa waraka ili utangazwe kwenye vyombo vya habari kama huu ulivyotolewa Machi 25, 2018 wakati wa awamu ya tano.
Baraza la Maaskofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), limetoa waraka mzito wa ujumbe wa Sikukuu ya Pasaka ambao mbali ya kuzungumzia masuala ya kiroho, umetaja changamoto tatu na kuzifikisha kwa waumini wake “ili ziongeze mzigo wa kuliombea taifa letu na viongozi wake.”

Huo ni waraka wa pili kutoka kwa viongozi wa dini baada ya Februari mwaka huu, Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), kutoa ujumbe wa Kwaresma uliosaniwa na maaskofu 35 uliozungumzia masuala ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Wameeleza kwamba kwa umoja wao na kwa nyakati za hivi sasa kuna matukio yaliyo kinyume na tunu na misingi iliyolilea Taifa inayoshuhudiwa; “Baadhi ya matukio hayo ni hofu iliyojengwa katika matukio halisi yakiwamo utekaji, utesaji, kupotea kwa watu, mashambulizi ya silaha dhidi ya viongozi wa kisiasa, mauaji yenye mwelekeo wa kiitikadi, vitisho, ubambikiziaji wa kesi, na matumizi mabaya ya vyombo vya dola dhidi ya wananchi.”
Kwa hiyo wapo ki kiki sio?
 
Hii JF ipewe maua yake, pale ambapo media zingine haziwezi kuripoti ukweli jf ilipasua anga kuripoti bila woga, hizo media zingine zimeshikwa na woga na zimejishushia uaminifu wa kuaminiwa kuripoti habari nyeti bila woga. Tuseme ukweli tu huu ni woga wa kijinga kuogopa dude kubwa lenye nguvu na mamlaka. Kwani wangeripoti nani angewaona ni wachochezi kwa kuripoti ukweli wa mambo? Shame on them that media.
 
Ndio maana JPM aliwakandamiza kwa sababu ya kutokuwa na misimamo na kugeuza taaluma kuwa biashara.
 
Back
Top Bottom