Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Nikalale wapi?Sawa mkuu.
Kalale basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikalale wapi?Sawa mkuu.
Kalale basi
MmepoteanaKwa hiyo kazi ya waandishi ni kulazimishwa kuandika habari?
Nani kapoteana?Mmepoteana
TUnajua IGP ana maagizo ya kutumia plan X kumaliza huu mjadala wa Bandari
PUNGUZA HASIRA KAZI YA VYOMBO VYA HABARI NI KURIPOTI HABARI HUU WARAKA NI HABARI KUBWA VINAZINDWAJE KURIPOTI? PAMOJA NA KUVIZUIA TEC NI TAIFA KUBWA IPO MPAKA NGAZI YA FAMILIA HABARI IMEWAFIKIA WENYE NCHI YAOKwa hiyo wanatoa waraka ili utangazwe kwenye vyombo vya habari?
Si walisema usomwe kwenye parokia na jumuiya zao? Sasa mbona mapovu yanawatoka kutaka utangazwe kwenye vyombo vya habari?
Wanavipangia vyombo vya habari habari za kutangaza? Kwani ni lazima vyombo vya habari viutangaze huo waraka?
Hawa watu ni kama wamechanganyikiwa wezi wakubwa
Waraka habari kubwa kwa mujibu wa nani?PUNGUZA HASIRA KAZI YA VYOMBO VYA HABARI NI KURIPOTI HABARI HUU WARAKA NI HABARI KUBWA VINAZINDWAJE KURIPOTI? PAMOJA NA KUVIZUIA TEC NI TAIFA KUBWA IPO MPAKA NGAZI YA FAMILIA HABARI IMEWAFIKIA WENYE NCHI YAO
Nape ajitafakari harakaNape ndio kainjinia visiisambaze hiyo habari
Kumbe TEC ni tishio
kila jambo na wakati wake, sasa ni saa ya bandariKama hoja ni mawazo ya wananchi kusikilizwa kwa nini hawakutoa waraka juu ya maoni ya wananchi kusikilizwa pale wananchi walipowalalamikia wenzao kula pesa za escrow?
Hoja sio tena mawazo ya wananchi wengi kusikilizwa?kila jambo na wakati wake, sasa ni saa ya bandari
Usiseme hatukukuambiaNani kapoteana?
Nakushauri tena! Tafuta dawa ya msongo wa mawazo. Unaenda kuwa mwehu
Fuata ushauri niliokushauriUsiseme hatukukuambia
Subiri tende za msaada, Hakuna askofu masikini.Kwa hiyo wanatoa waraka ili utangazwe kwenye vyombo vya habari?
Si walisema usomwe kwenye parokia na jumuiya zao? Sasa mbona mapovu yanawatoka kutaka utangazwe kwenye vyombo vya habari?
Wanavipangia vyombo vya habari habari za kutangaza? Kwani ni lazima vyombo vya habari viutangaze huo waraka?
Hawa watu ni kama wamechanganyikiwa wezi wakubwa
Mimi na tende wapi na wapi?Subiri tende za msaada, Hakuna askofu masikini.
Wezi wakubwa huku mmeshindwa kuwapeleka mahakaman ni mpumbavu pekee anaueweza kuamini upumbavu wako.Kwa hiyo wanatoa waraka ili utangazwe kwenye vyombo vya habari?
Si walisema usomwe kwenye parokia na jumuiya zao? Sasa mbona mapovu yanawatoka kutaka utangazwe kwenye vyombo vya habari?
Wanavipangia vyombo vya habari habari za kutangaza? Kwani ni lazima vyombo vya habari viutangaze huo waraka?
Hawa watu ni kama wamechanganyikiwa wezi wakubwa
Wezi wote wapo Mahakamani?Wezi wakubwa huku mmeshindwa kuwapeleka mahakaman ni mpumbavu pekee anaueweza kuamini upumbavu wako.