Askofu anamiliki HAMMER ya 250million!

Askofu anamiliki HAMMER ya 250million!

Status
Not open for further replies.
Sitaki kujiingiza katika mtego wa mtu aliye amua kumtetea Askofu kuliko kuitetea kweli ya Yesu. Hata nikikupa ushahidi utaukubali?? Kuna jirani yangu mchaga wa rombo ameniomba nauli ya kuhudhuria massomo ya katikati ya wiki hapo ufufuo na nimemsaidia kama mara nne. Yeye anatokea magomeni kagera. Sasa wewe hukumu mwenyewe kuomba nauli kuhudhuria mafundisho ya bilionea wapi na wapi.
Kiby, Hivi kumtetea askofu kuna kosa gani? maana si wote kwamba tutakuwa na mawazo yaliyo sawa. Najua leo kuna wengine wanaona iwe hivi na wengine tunaona tuwe hivi.
Namshangaa sana huyo anayekuomba nauli wewe kwenda kule kanisani maana maandiko yanatuzuia. Hata hivyo kuna kosa gani mtu kuomba msaada kwa jamii yake?
Leo hii wewe unatanua kwenye internet lakini kuna watu wanatamani hawawezi, sijui umewasaidia nini. Wengine wanatumia hata net za maofisini bure wakati kuna watu wanatamani hawawezi.
Jaribu kuelewa kuwa hapa duniani haitakuja kuwezekana watu wote tukawa sawa. Tunaishi mtaa mmoja na wote tunalipa same tax to the government lakini uwezo wetu na hata huduma kwetu huko huko mitaani inatofautiana. Hatuwezi kuwa sawa hata siku moja watu wote. Bado wahitaji wataendelea kuwapo na wenye uwezo wataendelea kuwepo. Na wote tunaishi mtaa mmoja huo huo.
Sijui kama umeelewa nini hasa point yangu.
 
Kiby, Hivi kumtetea askofu kuna kosa gani? maana si wote kwamba tutakuwa na mawazo yaliyo sawa. Najua leo kuna wengine wanaona iwe hivi na wengine tunaona tuwe hivi.
Namshangaa sana huyo anayekuomba nauli wewe kwenda kule kanisani maana maandiko yanatuzuia. Hata hivyo kuna kosa gani mtu kuomba msaada kwa jamii yake?
Leo hii wewe unatanua kwenye internet lakini kuna watu wanatamani hawawezi, sijui umewasaidia nini. Wengine wanatumia hata net za maofisini bure wakati kuna watu wanatamani hawawezi.
Jaribu kuelewa kuwa hapa duniani haitakuja kuwezekana watu wote tukawa sawa. Tunaishi mtaa mmoja na wote tunalipa same tax to the government lakini uwezo wetu na hata huduma kwetu huko huko mitaani inatofautiana. Hatuwezi kuwa sawa hata siku moja watu wote. Bado wahitaji wataendelea kuwapo na wenye uwezo wataendelea kuwepo. Na wote tunaishi mtaa mmoja huo huo.
Sijui kama umeelewa nini hasa point yangu.

Nyie mteteeni tu wakati yeye anaishi maisha ya kifahari kwa michango ya kila Jumapili kupitia waumini wakati waumini wakiwa na maisha ya kutisha halafu wanalalamika maisha magumu bei za vitu zimepanda wakati kila Jumapili wanamchangia askofu aendelee kutanua kupitia migongo yao! Hii michango yao ya kila Jumapili wangeielekeza SACCOS wangeweza kufanya mambo makubwa kuinua viwango vya maisha yao. Kweli wajinga ndiyo waliwao!
 
kiby, hivi kumtetea askofu kuna kosa gani? Maana si wote kwamba tutakuwa na mawazo yaliyo sawa. Najua leo kuna wengine wanaona iwe hivi na wengine tunaona tuwe hivi.
namshangaa sana huyo anayekuomba nauli wewe kwenda kule kanisani maana maandiko yanatuzuia. Hata hivyo kuna kosa gani mtu kuomba msaada kwa jamii yake?
leo hii wewe unatanua kwenye internet lakini kuna watu wanatamani hawawezi, sijui umewasaidia nini. Wengine wanatumia hata net za maofisini bure wakati kuna watu wanatamani hawawezi.
jaribu kuelewa kuwa hapa duniani haitakuja kuwezekana watu wote tukawa sawa. Tunaishi mtaa mmoja na wote tunalipa same tax to the government lakini uwezo wetu na hata huduma kwetu huko huko mitaani inatofautiana. Hatuwezi kuwa sawa hata siku moja watu wote. Bado wahitaji wataendelea kuwapo na wenye uwezo wataendelea kuwepo. Na wote tunaishi mtaa mmoja huo huo.
sijui kama umeelewa nini hasa point yangu.

sijajaribu kumhukumu hatia rafiki yangu na jirani yangu kwa uhitaji wa nauli la hasha! Mimi sii wa tabia hiyo, nampenda kwa dhati na ni mmoja wa watu tunaobadilishana mawazo, yeye ni mchanga katika imani hajafikia bado hata miaka miwili ya wokovu. Nimekuwa nikimutia moyo na kumpa matumaini ya njia hiyo aliyoichagua, inayochukiwa na wengi bali hata hivyo ikiwa ndiyo njia nyoofu ya mbinguni. Nayadhamini maneno ya bwana yesu asemapo 'msiogope enyi kundi dogo, kwa kkuwa imempendeza baba yenu kuwapa huo ufalme. Amewaficha wenye hekima na maarifa wa dunia hii na amewafunulia watoto wachanga. Sasa nilichokuwa nataka kuonyesha pale ni tofauti kubwa iliyopo kati ya mtumishi na kondoo kwa sadaka zile zile za kondoo au kwa misaada itokanayo na kivuli cha kundi analoliongoza.
 
Wandugu kama mna Mjua Mungu kweli, ni bora mkamuona Mungu ndani ya wale Mafukara wanaoteseka bila msaada mkawape hayo mafungu ya 10/mbegu mkimwomba Mungu naye atawasaidia kuliko kwenda kuwapa hao jaa ambao wamesoma ujasiriamali na saikolojia wawekee mafuta ya laki3 kutanulia mjini. Imani huleta upofu tusipo kuwa makini ya Kibwetele yatajirudia Tz na yatakuwa makali zaidi.
 
Kweli hawa ni watu wa Mungu kweli?

MaxShibe hata ukifanyaje, ujanja au elimu ya kutapeli mpaka kupata hammer huwezi. Sijui kama utakwenda kupata Degree ya utapeli katika chuo cha injili huko massachust Marekani.
 
Kweli hawa ni watu wa Mungu kweli?

MaxShibe hata ukifanyaje, ujanja au elimu ya kutapeli mpaka kupata hammer huwezi. Sijui kama utakwenda kupata Degree ya utapeli katika chuo cha injili huko massachust Marekani.

Yesu anagawa Mahammer. Nashukuru kuwa umeelewa kuwa mimi sina elimu ya ujanja ujanja, kazi yangu ni elimu iliyo hai, na kupata kiuhalali.

Zaidi ya hapo, hakuna hata sehemu moja, kwenye Biblia inayo mkataza Mchungaji au Mwinjilisti kuwa na vitu vya kifahari.
 
Mwandishi wa hii habari naweza kumwita kuwa ni mzushi, wa kuokota taarifa toka gazeti la ajabu RISASI. Kama ulikuwa na taarifa nzuri ungefanya ufafiti kidogo kuhusu gari la Hammer na bei yake. Bei ya 250millioni ni uzushi mtupu usiokuwa na mwanzo wala mwisho.

Angalia bei ya magari ya Hummer kwa miundo tofauti:-

http://www.hummer.com/hummerjsp/home.jsp

Kisha bonyeza pricing & offers kwa magari mapya.

Kama unataka HUMMER iliyotumika utaipata hapa:-

http://www.tradecarview.com/used_car/japan%20car/hummer/all/?ps=25&so=1

Kama umepitia mtandao wa Hummer pia pitia mtandao wa Toyota angalia na linganisha matumizi ya mafuta ya aina hizo gari. Matumizi ya sh. 300,000/= kwa siku ni uwongo usiokuwa na kichwa wala miguu. Gari ya Hummer, Toyota Landcruiser VX, GX na Runner matumizi ya mafuta ni sawasawa.

http://www.toyotatz.com/index.php?id=46#c18
 
Yesu anagawa Mahammer. Nashukuru kuwa umeelewa kuwa mimi sina elimu ya ujanja ujanja, kazi yangu ni elimu iliyo hai, na kupata kiuhalali.

Zaidi ya hapo, hakuna hata sehemu moja, kwenye Biblia inayo mkataza Mchungaji au Mwinjilisti kuwa na vitu vya kifahari.
Nawe lako utagawiwa lini?

NB. Isome Biblia vizuri na uelewe yesu kasema nini kuhusu Matajiri yenye mahummer.

Halafu nitakuomba unukuu huo mstari hapa JF.
 
Wewe.... hakuna mtu anayesema askofu/mchungaji anatakiwa awe maskini, we vipi bwana, umetokea wapi wewe? Sisi tunapenda sana Maaskofu wetu wajimudu kimaisha na kuwa na maisha kama ya watu wengine, ila inapotusikitisha ni pale waumini wake wanapokuwa na shida za hali ya juu na bado yeye bila hiana anaendesha gari ambayo mafuta yake tu kwa siku yanaweza kulisha waumini 10 kwa siku 10. Unapoamua kujitoa nafsi yako kumtumikia Mungu basi mtumikie hii ni pamoja na kusaidia watu kimwili pia na sio kutumia sadaka za waumini kujinufaisha bila aibu.
Soma maandiko ya Yesu juu ya matajiri, nafikiri wachungaji ni wanaadam vile vile na si dhani kuwa hayo hayawahusu.

Ukishamaliza kusoma inakili hapa JF hiyo mistali kwa faida ya wote.

Tatizo lenu hamsomi Biblia. Hapo sina la kuwasaidia.
 
Tatizo la wengi wasiojuwa jinsi ya kumiliki mema ni KUJAA WIVU MWINGI usiokuwa na faida kwao, hujui huyu mtu aliumia kiwango gani mpaka kuja kumiliki Hammer mnachojuwa ni kubwabwaja bila mipaka, kuwa nalo yeye inakupunguzia nini wewe au unagain nini, nini hasa kikufanye mpaka umchunguze mtumishi wa watu, mimi sio pastor na sio muumini wa hapo,lakini naamini pastor wa kweli ana haki ya kumiliki zaidi ya hapo. anatakiwa na ndege yake pia.
Si wivu bali hali ya kipato cha waumini wako. Hata kama alipata msaada basi angewafikiria waumini wake kama kweli ana upendo.

Tafsiri ya UPENDO hueleweka sana kwa VITENDO.
 
Jamani naomba Wakristo msiyumbe kiimani. Kutoa sadaka ni kutimiza maandiko yaliyo katika Biblia. Kama Watumishi wa Bwana wanazitumia vibaya basi Mwenyezi Mungu atashughulika nao. Mkristo endelea kutoa kwa ajili ya kazi ya Bwana na utabarikiwa sana.
wEWE UMESEMA na kwa hakika sijui kama jina lako ni Mubii au Nabii.

Nyie toeni tu, na toeni na na na ...... Usiulize pesa zako zimekwenda wapi.

Poleni ndugiu zangu. Kwani kutumia akili ni marufuku katika ukristo.
 
Kweli hawa ni watu wa Mungu kweli?

MaxShibe hata ukifanyaje, ujanja au elimu ya kutapeli mpaka kupata hammer huwezi. Sijui kama utakwenda kupata Degree ya utapeli katika chuo cha injili huko massachust Marekani.

Massachust ndiyo wapi? Hakuna sehemu Marekani kwa jina hilo. Kuna Massachusetts.
 
Ndio hao hao wakina nani??? Massachusetts ni state siyo mtu sasa ina kuaje hao?
Ndio state inayoongoza kwa ubora wa utoaji degree za utapeli katika mambo ya dini.

Ukisoma huko hiyo degree unaheshimika, kwani unakuwa na kipaji cha juu kabisa cha viini macho.
 
Ndio state inayoongoza kwa ubora wa utoaji degree za utapeli katika mambo ya dini.

Ukisoma huko hiyo degree unaheshimika, kwani unakuwa na kipaji cha juu kabisa cha viini macho.

It's hard to believe you because you couldn't even spell the place. So I doubt your words....I'm sorry.
 
Naona hapo ile kamuli ya

Ngania Vs Tundu la Sindano

ndio muda wake wa application
 
It's hard to believe you because you couldn't even spell the place. So I doubt your words....I'm sorry.
Kuspel sio taabu la msingi ni ujumbe, kwani hata mji wetu mkuu wa zamani au jiji maarufu Tanzania ni wachache wanaoweza kuspell kikamilifu.

Mwingine ataandika Daresalam, na wengine Daresalaam, hata Daresalama, na wengine Dalesalam na na na..... Na spell hizo zote si sahihi, lakini amini nakwambia utapozungumza au kuandika vyo vyote kati ya hayo juu mtanzania atakuelewa unamaanisha mji gani na hilo ndio kubwa. Japo maandiko sahihi ni Dar es salaam.

Hivyo ndugu yangu nashukuru kuwa ulinielewa sahihi toka mwanzo kuwa nilimaanisha state huko Marekani.

Mfano mwingine ni katika kichwa cha habari, ukweli Spell kamili ya Gari sahihi ni "HUMMER" na sio "HAMMER" lakini tulielewa ana maanisha nini kwa hiyo hakukuwa na haja ya kuleta gumzo lisilo na haja.
 
HAHAHAHA
kwa hiyo askofu anamiliki nyundo yenye thamani ya shs milioni miambili ushei hehehe

just kidin maana inakasirisha sana kuwakamua maskini kwa kujipa starehe duniani.

Hivi bank za mbinguni hazina money transfer ili tuwe tunatuma sadaka zetu straight halafu tunapeleka risit ktk vyombo vya sadaka?? hii itakomesha ufujaji wa hela zetu
 
HAHAHAHA
kwa hiyo askofu anamiliki nyundo yenye thamani ya shs milioni miambili ushei hehehe

just kidin maana inakasirisha sana kuwakamua maskini kwa kujipa starehe duniani.

Hivi bank za mbinguni hazina money transfer ili tuwe tunatuma sadaka zetu straight halafu tunapeleka risit ktk vyombo vya sadaka?? hii itakomesha ufujaji wa hela zetu
We toa tu wala usiulize. Ha Ha Ha ......!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom