Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Yeye mwenyewe anachangia kuua atcl. Safari nyingi anatumia atcl instead ya kutumia ndege ya raisYaani mi sielewi kwanini SSH hataki kutimua huyu mkurugezi?, Mbona anaua ATCL wanamwangalia yaani hawana habari naye