Askofu Bagonza: ATCL imekosa aibu, basi iwe na huruma

Askofu Bagonza: ATCL imekosa aibu, basi iwe na huruma

Bujibuji U nailed it
Shirika linaendeshwa kienyeji, no professionalism at all.
Sababu kuu ya cancellations zisizo na kichwa wala miguu, ni kwamba, fleet zilizopo zipo busy na kuwazungusha watawala badala ya kuwahudumia wananchi.

Rais, Makamo wake, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu na Makamo wa Rais Zanzibar watumie ndege za serikali, ndege za ATCL za abiria zitumike kubebea abiria.

Viongozi Kama wanapenda sana ndege, nawashauri wafuge kuku, bata, kanga na hata bundi iwapo wataweza
 
Shirika linaendeshwa kienyeji, no professionalism at all.
Sababu kuu ya cancellations zisizo na kichwa wala miguu, ni kwamba, fleet zilizopo zipo busy na kuwazungusha watawala badala ya kuwahudumia wananchi.

Rais, Makamo wake, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu na Makamo wa Rais Zanzibar watumie ndege za serikali, ndege za ATCL za abiria zitumike kubebea abiria.

Viongozi Kama wanapenda sana ndege, nawashauri wafuge kuku, bata, kanga na hata bundi iwapo wataweza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wamejitetea kindezi
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.

Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.

Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.

Source: Star tv habari!
Mkuu hizi sarakasi zote ni kwa ajili ya kuliua tu shirika tena ikiwa limeshatumia gharama nyingi kufufuka.
Hata kipindi kile walipoanza kuliua walianza hivihivi.
Usishangae baada ya muda ukasikia ATC haina ndege tena
 
Kama Mkurugenzi haheshimiwi na maamuzi atakayotoa pia hayataheshimiwa! Raisi anapanda ndege ya abiria only in Tanzania vituko haviishagi!

Kwanini wasiweke order ya private jets mbona ni bei ndogo kuliko hilo li bombadier la billions of money? Jets zinaanzia 10 billion TZS unapata ila kinachoshindikana sijui ni kitu gani mpaka raisi atembelee ndege ya 300B peke yake na walinzi wake
Hivi ile ndege ya Rais tuliyoambiwa ikibidi tule majani iliishia wapi?
 
Precision will rise again.ATCL wanatia hasira sana,tena wana kamchezo chao kachafu cha kufunga check-in counter kabla ya muda---zile cancelled seats wanawapa ndugu/jamaa zao(or wao wenyewe) ili wakalale jijini.
Kinachoniuma kulipia PAA ni kwamba major shareholder ni jirani mkenya(waliuzaga shares enzi za mwendazake).
Kwa lugha rahisi watanzania hatuna shirika la ndege.
 
Tatizo mama kachukua ndege kubwa na kuvuluga kila kitu kwenye usafiri Geza Ulole wewe ulisema mimi mwongo kuhusu ndege pale nilipo kuambia wafanyakazi wa Airport wanalalamika mama kutumia ndege ya biashara kama ndege yake binafsi
Huyu mama anafanya haya for what purpose, anabebana na watu wengi kwenye misafara yake wa kazi gani? kama ulichoandika ni kweli inashangaza, Samia ndio alitupigisha story za kuifufua ATCL kumbe ndio anaimaliza.
 
Kuna shida Kubwa sana na Hizo Ndege..Unaziona Zingine zinazunguka tu mara huku mara kule Yaani sasa Tunashangaa bora Mwamba alipokuepo..
 
Ila dhambi au laana ya kumshusha mwenzio ili wewe upande ndio inayowatafuna. Wakati wa mwendazake walionasuluhu ya ATCL kufanya biashara ni kufitini mashirika mengine ya ndege matokeo yake ndio haya.
Ili biashara ikue na kustawi vizuri kunahitajika ushindani wenye nguvu na usawa kwa kuongeza tija. Mi kwa maoni yangu serikali kufanya biashara ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi maana kwa uzoefu mashirika ya umma yanayopewa luzuku huwa hayaweki nguvu saana kutengeneza faida nzuri kwa kuongeza ufanisi na weledi
 
Uletewe na nani
Unajua mara nyingi hizi sera za Ujamaa/ukomunist, huwa zinapenda 'monopoly ya serikali' karibu ktk shughuli zote za kuendesha nchi, na huwa hazitaki competition mbadala, zitakazoleta tija kutoka kwa watu wengine. Mkubali tu yaishe......
 
Kwani Bagonza anahitaji ndege za ATC?

Si ni maendeleo ya vitu haya?
 
Uletewe na nani
Unajua mara nyingi hizi sera za Ujamaa/ukomunist, huwa zinapenda 'monopoly ya serikali' karibu ktk shughuli zote za kuendesha nchi, na huwa hazitaki competition mbadala, zitakazoleta tija kutoka kwa watu wengine. Mkubali tu yaishe......
 
ATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma

Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:

1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima

2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.

3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika

4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).

Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).

Tunatia aibu mbele ya wageni.

Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
View attachment 1899014

Pengine Dege lengwa kwenye ratiba husika lilikuwa limepewa hadhi ya Tanzania Air Force One kwa muda.

Pengine mida hiyo likiwa Bujumbura, Dodoma, Dar, Lilongwe, Zanzibar, Entebbe, Kigali au Nairobi.

Hiiiiii bagosha!
 
Mashirika mengi yako hoi nadhani mama angefanya kitu, maana wakati mwingine ukiwapiga na kitu kizito kichwani wanaamka na kufanya kazi sawasawa , hata baada ya mwendazake kupunguza wafanyakazi including mke wa lukuvi lakini shirika bado liko hoi, kule sukumaland tunasema lilihoiiiii , walitakiwa kutafuta watu wenye uwezo na wataalam wa biashara ya masuala ya anga ndio wasaidie kulisuka shirika, kiukweli mihela mingi imewekwa pale hasa kununua ndege lakini hakuna faida yoyote , na huduma zinazidi kuzorota, wanashindwa hata na watu binafsi kina precision air, hawanaga strategy kabisa ndiomaana wakaua fastjet ili wasife lakini waaapi wanaendelea kuwa hoi tu
 
Kama Mkurugenzi haheshimiwi na maamuzi atakayotoa pia hayataheshimiwa! Raisi anapanda ndege ya abiria only in Tanzania vituko haviishagi!

Kwanini wasiweke order ya private jets mbona ni bei ndogo kuliko hilo li bombadier la billions of money? Jets zinaanzia 10 billion TZS unapata ila kinachoshindikana sijui ni kitu gani mpaka raisi atembelee ndege ya 300B peke yake na walinzi wake
Rais ndio anachangia hii kadhia maana anatumia ndege ambayo ingetumika kwa baishara yeye ana zunguka nayo kama mkoba wake.... zipo ndege za Rais ambazo ziko mbili na haziwekani zote mbili zikawa mbovu.... hata wakimtumbua huyu mkurugenzi kwa tabia hii ya Rais na watendaje wake wa ikulu na makamu na waziri mkuu kutumia ndge za ATCL kama mikoba yao hakuna kipya kitatokea kabisa.......
Lazima tuwaache ATCL wafanye biashara kweli tusiwaingilie lakini kwa mtindo huu lazima report ya CAG tuifiche mwaka huu
 
Mashirika mengi yako hoi nadhani mama angefanya kitu, maana wakati mwingine ukiwapiga na kitu kizito kichwani wanaamka na kufanya kazi sawasawa , hata baada ya mwendazake kupunguza wafanyakazi including mke wa lukuvi lakini shirika bado liko hoi, kule sukumaland tunasema lilihoiiiii , walitakiwa kutafuta watu wenye uwezo na wataalam wa biashara ya masuala ya anga ndio wasaidie kulisuka shirika, kiukweli mihela mingi imewekwa pale hasa kununua ndege lakini hakuna faida yoyote , na huduma zinazidi kuzorota, wanashindwa hata na watu binafsi kina precision air, hawanaga strategy kabisa ndiomaana wakaua fastjet ili wasife lakini waaapi wanaendelea kuwa hoi tu
Rais ndio tatizo la kwanza kwenye ATCL...................
 
Kwa hizi cancellations, tukimlaumu CEO wa ATCL tutakuwa tunamuonea. Nadhani ana vision ya kulifufua hili shirika.
Tatizo lipo kwa mama yetu, Kama Gulfstream ni mbovu kwa nini haitengenezwi? Walipakodi walioinunua hiyo ndege ndio wanaumia wakati bibie asiyejua kodi inalipwaje yupo angani.
 
Back
Top Bottom