Askofu Bagonza: ATCL imekosa aibu, basi iwe na huruma

Askofu Bagonza: ATCL imekosa aibu, basi iwe na huruma

Shirika linaendeshwa kienyeji, no professionalism at all.
Sababu kuu ya cancellations zisizo na kichwa wala miguu, ni kwamba, fleet zilizopo zipo busy na kuwazungusha watawala badala ya kuwahudumia wananchi.

Rais, Makamo wake, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu na Makamo wa Rais Zanzibar watumie ndege za serikali, ndege za ATCL za abiria zitumike kubebea abiria.

Viongozi Kama wanapenda sana ndege, nawashauri wafuge kuku, bata, kanga na hata bundi iwapo wataweza
Wao ndio walizinunua na si kwa ajili ya kuwabeba nyie, waacheni wafaidi matunda yao kwani kutesa ni kwa zamu.
 
Kwa hiyo hii tozo ya uzalendo tunayobanwa kooni ndo inaenda kuendesha shirika mufilisi la ndege, maana sioni kama wanaweza kukusanya hata ya kwenda kumwaga oil ya injini na gearbox achilia mbali hiyo major maintenance. Tusibiria kuona ndege zimepigwa vumbi na siti kuoza kama yale mabasi ya mwendokasi pale jangwani. Sekta binafsi ilikuwa imeshajiimarisha vizuri kwenye sekta ya anga, mkaenda kuvuruga kwa masifa ya kijinga na ushamba uliopitiliza.....
 
Je tulipokuwa tunanunua mijindege cash kwa mkupuo, hatukuwaza kuwa zitaenda kwa mkupuo kwenye matengenezo makubwa?
Waliambiwa haya. Lakini wenye weledi, uzoefu n uthubutu wa kusema walipuuzwa. Badala yake waunga juhudi mkono na common wananchi wavaa nguo za kijani walielekezwa kuangalia juu angani na kupungia madege yetu!!
In this country vichwa ni kwa ajili ya kupeleka saluni ama kubeba vitu vizito!
 
Kama Mkurugenzi haheshimiwi na maamuzi atakayotoa pia hayataheshimiwa! Raisi anapanda ndege ya abiria only in Tanzania vituko haviishagi!

Kwanini wasiweke order ya private jets mbona ni bei ndogo kuliko hilo li bombadier la billions of money? Jets zinaanzia 10 billion TZS unapata ila kinachoshindikana sijui ni kitu gani mpaka raisi atembelee ndege ya 300B peke yake na walinzi wake
Anasafiri na nguo nyingi sana hivyo ndege ya Rais haiwezi kutosha.
Masanduku ya nguo zake yako mengi sana maana anatakiwa kubadilisha nguo kila baada ya nusu saa ndio masharti alopewa.
 
Siku hizi Gulfstream haifanyi kazi ya kumbeba rais tena, kadri nilivyoona, safari zote za rais anatumia Airbus 220-300 inayobeba abiria 160; je rais huwa anasafiri na ujumbe mkubwa hivyo kama siyo matumizi mabaya ya ndege? Rais akichukua Airbus moja na Makamu wa Rais akachukua Airbus nyingine, basi ATCL inabaki haina ndege ya kubeba abiria wa kawaida.

Kuhusu matengezeo, hilo ni jambo jema lakini bahati mbaya ndege zinakwenda matengezo kwa sababu ya kutumika vibaya. Ndege zina matengezo ya aina mbili kuu. Matenegezo madogo ya A-Check hufanyika baada ya ndege kuruka masaa 400 mpaka 600, halafu matengenezo makubwa C-Check hufanyika baada ya ndege kuruka masaa 3000- Matengenezo ya B-Check na D-Chek yamo ndani ya hizo mbili. Tatizo la ATC mpaka sasa ni kuwa ndege inaruka masaa mengi kwa safari za viongozi tu badala ya kufanya safari za biashara. Kwa hiyo wanapozipeleka maintenance, inakuwa ni kwa sababu ya safari ambazo hazikuingiza mapato yoyote. Ni afadhali viongozi wabaki na Gulfstream tu, halafu hizi nyingine wawaachie abria wa kawaida.
Anasafiri na nguo na vipodozi vingi wacha atumie ndge kubwa mama wa watu kufa kufaana zali la mentali limemwangukia wacha ajilie zake bata
 
Yaani ni vituko. Hizi ndege si ni mpya? Sasa hayo matengenezo makubwa kipindi hiki kifupi tangu kununuliwa? Soon hili shirika litakufa. Sitashangaa. Wanaliendesha kwa big loss. eventually serikali itashindwa kuwa-bail out. Labda wazidishe ongezeko zaidi kwenye tozo za miamala ili kulibeba shirika hili pia. Otherwise, I see the death of ATCL very soon
Ukitaka kufahamu umri wa hizi ndege nenda chooni. Hizi ndege hata vikomeo vyake shide, choo zenyewe zinakuonyesha kuwa ni za longi hata kufunga na kufungua kwake ni kwa longi. Mimi karibu nipege kelele kuomba msaada. Tuliuziwa mitumba kwa keshi sababu zilikuwa zipelekwe bangladesh kuwa vyuma chakavu.
 
Anasafiri na nguo nyingi sana hivyo ndege ya Rais haiwezi kutosha.
Masanduku ya nguo zake yako mengi sana maana anatakiwa kubadilisha nguo kila baada ya nusu saa ndio masharti alopewa.
Kwahio mzee baba magu zile vx kama 34 zilikuwa za kubebea mabegi ya suti😅😅😅
 
NAJIULIZA KILA SIKU MBONA PRECISSION WANAFAULU KWA NINI TUSIWAKABIZI ATC WALIENDESHE AU BWANA SHIRIMA APEWE UKURUGENZI MAANA ANAUZEFU SIJAWAHI SIKIA ANAHASARA NA NALIPA KODI ATC HAWALIPI SHIDA IKO WAPI AU KUNAWATU WANAPANDA BURE? AAA NIMEKUMBUKA NDEGE YA WATU 176 INAMBEBA KIONGOZI FULANI KWENDA MWALAWI WAKIWA NANE HAPO HASARA LAZIMA
 
NAJIULIZA KILA SIKU MBONA PRECISSION WANAFAULU KWA NINI TUSIWAKABIZI ATC WALIENDESHE AU BWANA SHIRIMA APEWE UKURUGENZI MAANA ANAUZEFU SIJAWAHI SIKIA ANAHASARA NA NALIPA KODI ATC HAWALIPI SHIDA IKO WAPI AU KUNAWATU WANAPANDA BURE? AAA NIMEKUMBUKA NDEGE YA WATU 176 INAMBEBA KIONGOZI FULANI KWENDA MWALAWI WAKIWA NANE HAPO HASARA LAZIMA
Magufuli angekuwapo ATCL ingefanikiwa tu, kwa sababu alikuwa results-oriented na hakuwa na huruma na upuuzi, japo kwa msimamo huo alikuwa anaudhi wengi sana.
 
Huyu mama anafanya haya for what purpose, anabebana na watu wengi kwenye misafara yake wa kazi gani? kama ulichoandika ni kweli inashangaza, Samia ndio alitupigisha story za kuifufua ATCL kumbe ndio anaimaliza.
endelea kutafuta mke kimboka
 
Yeye mwenyewe anachangia kuua atcl. Safari nyingi anatumia atcl instead ya kutumia ndege ya rais
Kwani akitumia ndege ya rais kunakuwa hakuna gharama? Pia hatujui Kama hiyo ndege imefanyiwa service au ipo/haipo hapa nchini.
 
Kwahio mzee baba magu zile vx kama 34 zilikuwa za kubebea mabegi ya suti[emoji28][emoji28][emoji28]
Nae alikuwa anabadilisha kila baada ya nusu saa?
Basi tumepigwa Watanzania[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom