Naona wengi tunalaumu kuhusu ubora wa ndege zetu eti ndio unasababisha hiyo Any Time Cancellations (ATC) to me sidhani kama hiyo ndio sababu, ukweli ni hu, watendaji almost wote wa serikali hawana uwezo wa ku run biashara, tusidanganyane, TTCL inafanyaje kazi, vivuko vyetu vinafanyaje kazi, fikiria kinacho endelea kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii hasa PSPF (sijui ndio hivyo ) how comes mfanyakazi anastaafu leo halafu anasubiri zaidi ya miezi 18 ndio alipwe mafao yake? Ukweli hakuna watu wazembe nchi hi kama watendaji wa serikali. Mbona Precision haina matatizo ya kubadiri ratiba zao? Nashauri kama kweli tunataka ATC ifanye kazi zake vizuri, tufanye either of the following, tubinafsishe management yake au tuzikodishe hizo ndege hata kwa FastJet, nje ya hapo ATC sio salama kuitegemea kama una safari za kidharula au kama unataka kuunganisha safari. Next week nilikua na safari to somewhere, jamaa zangu kazini wamenishauri nisi book na ATC, nisafiri na shirika lingine, imagine hali ndio iko hivyo. Halafu mtendaji mkuu jana anaongea kwa kujiamini kabisa as if ni sawa tu kubadirisha ratiba hovyo hovyo, hivi hajui ni kwanini mtu ameamua ku book ndege ya muda fulani? Very sad. RIP Magufuli, haya mambo hayakuwepo enzi zake.