Askofu Bagonza: ATCL imekosa aibu, basi iwe na huruma

Askofu Bagonza: ATCL imekosa aibu, basi iwe na huruma

Yaani ni vituko. Hizi ndege si ni mpya? Sasa hayo matengenezo makubwa kipindi hiki kifupi tangu kununuliwa? Soon hili shirika litakufa. Sitashangaa. Wanaliendesha kwa big loss. eventually serikali itashindwa kuwa-bail out. Labda wazidishe ongezeko zaidi kwenye tozo za miamala ili kulibeba shirika hili pia. Otherwise, I see the death of ATCL very soon
maajabu kwakweli
 
Maushungi anazurura na ile Airbus kama lakwake binafsi vile..
Airbus ya kubeba abiria 150+...
Sijui kwanini hatumii ndege maalum ya Rais..
Ee MUNGU sasa imetosha.
we una chuki binafsi na dini ya Rais, kwaiyo inakukera anavyovaa ushungi !?
 
Mimi ni shuhuda wa utopolo unaofanywa na ATCL, cancellation imetokea mara 2 wanatuma msg wanakaa kimya mnabaki mnatolena macho kwenye mabenchi, abiria wa Precision Air wanatukuta na wanatuacha hapo.
Mtoa huduma wa airport akanimbia bora hata yetu imechelewa 2 hours anasema huwa hata 5 hours inachelewa wazungu wanakua wekundu balaa wanatukana taifa kwa ujumla.
 
Wamejitetea kindezi
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.

Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.

Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.

Source: Star tv habari!
Sasa haya matatizo ndo atuyataki tunataka twende na muda maana unakata tiketi ya sa4 asubui unaondoka sa 6 usiku ilo sio lengo kuondoka usiku!!!! Na juzi kati hapa ndugu yangu anatoka kigoma wamechelewa kutua wanaambiwa tairi za ndege zimegoma kufunguka!!! Ikabidi watue sehemu ambayo sio sahihi na kuja kuchukuliwa ma mabasi plizz bana raisi ebu kaza kidogo sauti wajibika na uwawajibishe wanaohujumu ili shirika ni pesa zetu wananchi izi mnazichezea walahi
 
Wamejitetea kindezi
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.

Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.

Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.

Source: Star tv
Wantia Huruma. Kwani matengenezo si yanafanyika kwa ratiba au? ni rahisi kupanga ratiba na kusema siku flani hakutakua na ndege, watu wanajua kabisa wamekosa usafiri kwa wakati flani, kuliko kuruhusu watu wanakata tiketi, siku inafika unawaambia una matengenezo. Hayo matengenezo haukujua kama utakua nayo?
 
Wamejitetea kindezi
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.

Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.

Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.

Source: Star tv habari!
Utetezi wa AnyTimeCancell una mawili, shirika linaendeshwa kama daladala au hawajawahi kusikia planned maintanace. Huku mtaani tunamaanishwa ndege zinaendeshwa na planned maintanance.
 
Hili swali sijawahi jibiwa.
Ni taasisi gani ya umma inayofanya vizuri Tanzania!!??
Ninakuelewa kwa swali lako; ila nina wasiwasi moja juu yake.

Bila shaka huna maana pana na potofu inayotumiwa na baadhi ya watu, kwamba "taasisi ya umma haiwezi wala haitegemewi kufanya vizuri".

Sijui kama nawe ni mmoja wa watu wenye dhana hii!
 
Hilo la kwanza lakini pia huo utetezi unazusha maswali mengi zaidi.. Hivi zinaenda normal service au 'matengenezo makubwa'?
Je zile tuhuma kwamba tuliuziwa mitumba ni za kweli?
Service za bombadia mbili zilitugharimu zaidi ya shilingi bilion 12 vipi haya madege makubwa na matengenezo makubwa?

Mungu anakuona huko uliko kayafa!
Ongezea na hii
Screenshot_20210820-152053.jpg
 
Hili shilika ni kama zombie,a walking dead,CEO wake ni kilaza,sijuhi kwa nini serikali Bado inanunua Ndege kwa mapesa Mengi!inawezaka likawa shinikizo la wazungu kutufanya soko la Ndege zao,Ili viwanda vyao viendelee.
Huyu???
Screenshot_20210820-152053.jpg
 
Naona wengi tunalaumu kuhusu ubora wa ndege zetu eti ndio unasababisha hiyo Any Time Cancellations (ATC) to me sidhani kama hiyo ndio sababu, ukweli ni hu, watendaji almost wote wa serikali hawana uwezo wa ku run biashara, tusidanganyane, TTCL inafanyaje kazi, vivuko vyetu vinafanyaje kazi, fikiria kinacho endelea kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii hasa PSPF (sijui ndio hivyo ) how comes mfanyakazi anastaafu leo halafu anasubiri zaidi ya miezi 18 ndio alipwe mafao yake? Ukweli hakuna watu wazembe nchi hi kama watendaji wa serikali. Mbona Precision haina matatizo ya kubadiri ratiba zao? Nashauri kama kweli tunataka ATC ifanye kazi zake vizuri, tufanye either of the following, tubinafsishe management yake au tuzikodishe hizo ndege hata kwa FastJet, nje ya hapo ATC sio salama kuitegemea kama una safari za kidharula au kama unataka kuunganisha safari. Next week nilikua na safari to somewhere, jamaa zangu kazini wamenishauri nisi book na ATC, nisafiri na shirika lingine, imagine hali ndio iko hivyo. Halafu mtendaji mkuu jana anaongea kwa kujiamini kabisa as if ni sawa tu kubadirisha ratiba hovyo hovyo, hivi hajui ni kwanini mtu ameamua ku book ndege ya muda fulani? Very sad. RIP Magufuli, haya mambo hayakuwepo enzi zake.
Mkuu, tatizo linaanza na watu kama wewe, mnaoona aibu kusema tatizo lipo wapi hasa.

Serikali, kwani serikali ni kitu gani.
Hebu eleza, serikali inafanya kazi vizuri, ila mashirika yake ndiyo hayafanyi vizuri?

Kwa nini hupendekezi tubinafsishe serikali nzima kama ndiko kuliko na uozo, au la basi tuiondoe serikali yote tuweke inayoweza kufanya kazi itakiwavyo.
 
Mnalialia nini?? Kwani mmelazimishwa kutumia ndege za ATCL?

Mimi huwa natumia ndege za Precsion Air na wala sina habari na hao ATCL.
 
ATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma

Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:

1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima

2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.

3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika

4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).

Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).

Tunatia aibu mbele ya wageni.

Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
View attachment 1899014
Aione cariha . Anasema tusihoji ni kwa nini ndege ya ATC inachukuliwa na rais huku abiria wakikosa usafiri.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
ATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma

Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:

1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima

2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.

3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika

4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).

Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).

Tunatia aibu mbele ya wageni.

Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
View attachment 1899014
INTARAHAMWE wenzake watamuunga mkono sana kwenye huu uzi[emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom