Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Yeye mwenyewe anachangia kuua atcl. Safari nyingi anatumia atcl instead ya kutumia ndege ya raisYaani mi sielewi kwanini SSH hataki kutimua huyu mkurugezi?, Mbona anaua ATCL wanamwangalia yaani hawana habari naye
Na Cyprian Musiba.Uletewe na nani
Yule jamaa ni one of the worst living organism to ever live in TanzaniaNa Cyprian Musiba.
Umemsahau JKShirika linaendeshwa kienyeji, no professionalism at all.
Sababu kuu ya cancellations zisizo na kichwa wala miguu, ni kwamba, fleet zilizopo zipo busy na kuwazungusha watawala badala ya kuwahudumia wananchi.
Rais, Makamo wake, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu na Makamo wa Rais Zanzibar watumie ndege za serikali, ndege za ATCL za abiria zitumike kubebea abiria.
Viongozi Kama wanapenda sana ndege, nawashauri wafuge kuku, bata, kanga na hata bundi iwapo wataweza
Kwenye umbeaNi eneo gani hasa Tanzania kwa sasa inafanya vizuri!
Hili swali sijawahi jibiwa.Ni eneo gani hasa Tanzania kwa sasa inafanya vizuri!
Taasisi ya ufisadi na wala rushwa Tanzania.Hili swali sijawahi jibiwa.
Ni taasisi gani ya umma inayofanya vizuri Tanzania!!??
Maushungi anazurura na ile Airbus kama lakwake binafsi vile..ATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma
Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:
1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima
2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.
3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika
4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).
Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).
Tunatia aibu mbele ya wageni.
Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
View attachment 1899014
Serikali Dhalimu ya CCM iliwafutia leseni fastjet, wawarudishie leseni yao, turuke kwa Bei cheeUletewe na nani
Pole baba AskofuATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma
Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:
1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima
2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.
3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika
4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).
Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).
Tunatia aibu mbele ya wageni.
Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
View attachment 1899014
Wamejitetea kindezi
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.
Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.
Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.
Source: Star tv habari!
Airline of Total Confusion.ATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma
Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:
1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima
2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.
3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika
4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).
Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).
Tunatia aibu mbele ya wageni.
Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
View attachment 1899014
Tatizo mama kachukua ndege kubwa na kuvuluga kila kitu kwenye usafiri Geza Ulole wewe ulisema mimi mwongo kuhusu ndege pale nilipo kuambia wafanyakazi wa Airport wanalalamika mama kutumia ndege ya biashara kama ndege yake binafsiATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma
Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:
1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima
2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.
3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika
4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).
Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).
Tunatia aibu mbele ya wageni.
Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
View attachment 1899014
Hii ni mbaya sana,hao viongozi wa atcl watafakari sanaATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma
Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:
1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima
2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.
3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika
4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).
Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).
Tunatia aibu mbele ya wageni.
Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
View attachment 1899014
Eti ndege zote mbovu zipo kwenye matengenezo!!Wamejitetea kindezi
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.
Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.
Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.
Source: Star tv habari!
Sasa Kama walifurusha mashirika mengine ili yabaki yenyewe tufanyeje?Kumbe tunazihitaji hizi ndege