Askofu Bagonza: ATCL imekosa aibu, basi iwe na huruma

Hata kama ndege zote zilinunuliwa kwa wakati mmoja , the fact ni kuwa hazifanyi safari ya aina moja , maana yake ni kuwa zina milage tofauti tofauti, inawezekana ndege ya mwisho ikadai matengenezo mapema kuliko ile ya mwanzo.
 
Kwanini waliifutia leseni fastjet ndege yetu wanyonge?
Hakuna mechi isiyo na watazamaji.
Leo ATCL imewaomba radhi wasafiri kwa usumbufu walioupata! Kuna siku waliwalaumu wasafiri kwa kutoacha namba zao za simu ili wajulishwe endapo ndege itakuwa na mafua makali.
 
Kumbe tunazihitaji hizi ndege
Zipo tayari, na zimenunuliwa kwa pesa za walipa kodi hivyo ni jambo la kawaida tu kuhoji chochote juu ya shirika hili la Umma, ama sivyo lisingekuwepo hakuna ambaye angehoji kulihusu.
 
Any Time Cancellation & Liabilities (ATCL) [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bongo bado sana tuna watu ambao hawastahili kuwa hata wajumbe wa shina mtaani leo hii wanakabidhiwa Ikulu na kuongeza madudu kila kukicha
Any Time Cancellation & Liabilities (ATCL) [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe
 
Pole mheshimiwa. Uliikuta kwenye production au kwenye ukarabati. Kumbuka ndege zimetoka Canada siyo US. Wewe ulipataje kibali kuingia huko kama unataka uonekane unaishi marekani. Sisi wasafishaji wa ndege ambao hatujawahi ruka nayo bali kusafisha ndo tunaongea.
 
Ukitafuta hapa JF miaka kadhaa hata kabla ya ndege Boeing ya kwanza kuletwa nilipost nilivyoikuta katika hatua za mwisho za matengezo nilipokwenda field trip na wanafunzi wangu kutembelea kiwa cha Boeing. Ndege za Boeing zinatoka Seattle; hizo za Bombardier na Airbus ndizo zilziotoka Canada. Halafu kiwanda cha ndege huwa kinajenga ndege kuanzia hatua za mwanzo, huwa hakifanyi ukarabati. Ndege ikishajengwa na kukamilika, haiwezi kurudi tena kwenye proudction line kwa sababu ya nafasi.
 

Mwingira muongo tu! Tunakumbuka kusheherekea ujio wa hizi ndege pale JNIA. Hakuna kipindi tulipokea ndege zaidi ya moja na hakuna ndege ilifika ndani ya miezi mitatu ya nyingine!!

Watanzania tunachukuliwa na watawala kama watu wasahaulifu na ndio maana tunasikia habari za “nitajenga barabara, shule, zahanati. Nitaleta maji na kuongeza ajira” kutoka kwa watu walewale kufikia hata miaka 15-20!! Ni kwa sababu kila kitu kikitajwa - kinasikika kama kipya.

Ukweli ni kuwa idadi ya domestic sorties ninkubwa kuliko mahitaji na hivo hakuna mapato ya kutosha. Hizi cancellations ni kujaribu kuungalisha abiria wa sorties tofauti ili kuendesha ndege chache zaidi!! Kwa ujumla swala la ndege liliamliwa kisiasa zaidi kuliko kiuchumi na kiuendeshaji!!
 
"Viongozi Kama wanapenda sana ndege, nawashauri wafuge kuku, bata, kanga na hata bundi iwapo wataweza"

Upo kwenye ubora wako mpwa. Hahahaha
 
Tena life mapema turudi tulikozoea. Watz hatupendi kumiliki vitu vizuri tuna kasumba ya kujitweza kujiona dhaifu na duni. Tuko proud kuonesha jinsi wengine walivofanikiwa zile cheki KQ cheki EthiopianAirways.. Hata wish ya opportunistic politicians (ccm na upinzani) ni kuona Atc inakufa (wanajua wanavofaidika likiwa mfu) ndio maana vita ya kupinga atcl isifufuliwe ilikuwa kubwa kweli kwa kila sura na mbinu. R. I. P JPM
 
Bishop tulia atcl ife wish yenu haikuwa kuona Tz inasimama imara kwenye nyanja hii na zinginezo kiuchumi. Mlimpinga JPM kwa kila namna mlivoweza. Hii ndo inaitwa back to normalcy unalalamika nini wakati haya ndo yalikuwa maisha kabla ya 2015
 
Hii ndo shida kubwa.. habari ya eti ndege zilikuwa zinafanyiwa matengenezo makubwa ni geresha tu!!
 
Ni mwenye ufinyu wa akili tu ndiye anaweza kuandika upuuzi kama huu. Kweli Tanzania upumbavu UMETAMALAKI labda kuliko nchi yoyote ile duniani.
Bishop tulia atcl ife wish yenu haikuwa kuona Tz inasimama imara kwenye nyanja hii na zinginezo kiuchumi. Mlimpinga JPM kwa kila namna mlivoweza. Hii ndo inaitwa back to normalcy unalalamika nini wakati haya ndo yalikuwa maisha kabla ya 2015
 
Kumbe tunazihitaji hizi ndege
Ni zetu, japo zimenunuliwa bila mpangilio, lakini pesa ni yetu. Hatutaki tuzidi kupata hasara juu ya hasara. Shida wengine mlifikiri ile hela Magu katoa mfukoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…