Askofu Bagonza: Itungwe sheria maalum kujinaisha (Criminalize) vitendo vya kusifia viongozi wa Umma!

4. Walioathirika au kunufaika na maamuzi ya kiongozi mwenye tatizo la afya ya akili wajulikane na kusaidiwa.
Mwendawazimu kawambukiza, ndio maana wamekua Washenzi wa Taifa.
Bi, Chokochoko mfano mzuri, na mwasirika mkubwa wa KICHAA. Anasema polisi wa CCM kuua mwisho risasi tatu. Zikizidi unafutwa upolisi.
 
Askofu anaacha majukumu yake ya msingi sasa anaingia mzima mzima kwenye siasa zenye mlengo fulani.

Hatumpangii,ila tunamuasa kuwa na busara,ndio sifa kubwa ya viongozi wenzake wa dini.

Anaunga mkono maneno ya dialo??
 
Hii kauli ya vichokochoko wa Ikulu wangesema wapinzani wangeambiwa ni wachochezi wanataka kuleta machafuko nchini.

Mwendawazimu kawambukiza, ndio maana wamekua Washenzi wa Taifa.
Bi, Chokochoko mfano mzuri, na mwasirika mkubwa wa KICHAA. Anasema polisi wa CCM kuua mwisho risasi tatu. Zikizidi unafutwa upolisi.
 
Hakuna siri kwamba yule dhalimu aliwahi kutibiwa Mirembe. Diallo karudia kitu ambacho wengi tulikifahamu muda mrefu.

Kwahiyo tumuamini Diallo? Je kama na yeye ni mgonjwa wa akili?
 

Mwendawazimu kawambukiza, ndio maana wamekua Washenzi wa Taifa.
Bi, Chokochoko mfano mzuri, na mwasirika mkubwa wa KICHAA. Anasema polisi wa CCM kuua mwisho risasi tatu. Zikizidi unafutwa upolisi.
 
Walishangaa kwa sababu ulisema hadharani na kweli ungeweza kukamatwa, lakini waliikubali kauli yako. Yule dhalimu alimteka na kumuua Ben Saanane kwa kutaka elimu yake ifanyiwe uhakiki.
Hahahahahahahahahahaha
 
Askofu anaacha majukumu yake ya msingi sasa anaingia mzima mzima kwenye siasa zenye mlengo fulani.

Hatumpangii,ila tunamuasa kuwa na busara,ndio sifa kubwa ya viongozi wenzake wa dini.

Anaunga mkono maneno ya dialo??
Mbona huko kwa mafisadi mna askofu Gwajima akiunga waziwazi siasa za mrengo wenu hamlalamiki?
 
Mbona huko kwa mafisadi mna askofu Gwajima akiunga waziwazi siasa za mrengo wenu hamlalamiki?
Kaka chadema na ccm tofauti yao ni rangi za tishirt zao kuna haja gani ya kujinadi watafanya tofauti na ccm wakipewa madaraka!!!

Hayo yanatokea ccm,chadema nayo imekumbwa na mdudu gani!!!!
 
Askofu anaacha majukumu yake ya msingi sasa anaingia mzima mzima kwenye siasa zenye mlengo fulani.

Hatumpangii,ila tunamuasa kuwa na busara,ndio sifa kubwa ya viongozi wenzake wa dini.

Anaunga mkono maneno ya dialo??
Ukweli una sura au upande mmoja tuu. Ukweli ni ukweli tatizo tunaangalia kasema nani na sio kilichosemwa. Pia nyumba za ibada zinawezaje kujitenga na maisha ya watu? Si hawa hawa kina mwendazake na wengine wamekuwa wakitumia mimbari za nyumba za ibada kuhubiri maisha ya Si-hasa???
 
Hatupaswi kuongozwa na hisia bali uhalisia.

Bagonza amechagua kuwa msemaukweli kipindi cha jpm???

Pasipo kuamua kuikataa kweli anayoisema,tuhoji.anatuhakikishiaje kwamba anaosema ndio ukweli wenyewe hasukumwi na mambo mengine!!!

Ana tofauti gani na dialo ambaye kaamua kutema nyongo baada ya kunyooshwa na huyo anayemsema!!!vipi asingeguswa lini angeamua kuwa mkweli kwa niaba ya wengine??
 
Law no One NEVER OUTSHINE THE MASTER. Let them flatter the master so they can live comfortably
 
Tetesi,
Wanaemsema Kichaa aliwahi vunja jeneza alilonunua Dada yake?
Tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…