Askofu Bagonza: Itungwe sheria maalum kujinaisha (Criminalize) vitendo vya kusifia viongozi wa Umma!

Askofu Bagonza: Itungwe sheria maalum kujinaisha (Criminalize) vitendo vya kusifia viongozi wa Umma!

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 the master!? Master of STUPIDITY.

Law no One NEVER OUTSHINE THE MASTER. Let them flatter the master so they can live comfortably
 
INAFIKIRISHA! INASUTA! TUSUTIKE

Nilipochaguliwa kuwa Askofu baada ya wanaofaa kukosekana, marafiki zangu waliandaa tafrija ya kuniaga huko Chicago, Marekani. Mmoja wa watani wangu akatoa hotuba na kusema "Benson, wewe sasa ni Askofu. Tangu sasa una uhakika wa mambo matatu...
Ni swala la muda tu Siri ya waliomshambulia Lissu, Saa8, Azory nk ziko njiani kufichuka, God knows when Na Nani atafunguka kwa Hilo, Hilo la kichaa mwendazake imeisha hiyoo!
 
INAFIKIRISHA! INASUTA! TUSUTIKE

Nilipochaguliwa kuwa Askofu baada ya wanaofaa kukosekana, marafiki zangu waliandaa tafrija ya kuniaga huko Chicago, Marekani. Mmoja wa watani wangu akatoa hotuba na kusema "Benson, wewe sasa ni Askofu. Tangu sasa una uhakika wa mambo matatu:

1. Daima utakula chakula kizuri
2. Daima utavaa vizuri
3. Daima hutaambiwa ukweli.

Ni miaka 19 tangu niambiwe na yote nimeyaona. Ufafanuzi wa niliyoyaona nitaufanya siku nyingine. Kimsingi Viongozi katika jamii tunaishi kwa kujidanganya, kudanganya na kudanganya.
Leo Nina hili:

Comrade Anthony Diallo amesema maneno mazito. Ametimiza ahadi ya mwana TANU/CCM isemayo "Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko". Ukweli uliochelewa ni bora kuliko uwongo uliowahi.

Nitoe ushauri ufuatao:

1. Viongozi na watawala wetu kama hawawezi kuzuia kusifiwasifiwa basi angalau wanune wakisifiwa.

2. Waliokwishamaliza muda wa uongozi wasijengewe masanamu au kutangazwa ni watakatifu mpaka muda maalum upite.

3. Ikithibitika kuwa kiongozi wa umma ngazi yeyote amewahi kuwa na tatizo la afya akili, maamuzi yake yote yatenguliwe.

4. Walioathirika au kunufaika na maamuzi ya kiongozi mwenye tatizo la afya ya akili wajulikane na kusaidiwa.

5. Itungwe sheria maalum kujinaisha (Criminalize) vitendo vya kusifia viongozi wa umma hadharani au kupendekeza ukiukwaji wa Katiba. Kuwasifia iwe sawa na kuwakashifu. Anayetaka kumsifia au kumkashifu kiongozi amwandikie barua binafsi. Kusifia hadharani ni rushwa.

6. Iwe marufuku wananchi kuwapigia makofi viongozi au kuwachezea ngoma, badala yake Viongozi wawapigie makofi wananchi na kuwachezea ngoma. Waliomba kutumwa, makofi ni ya nini?

Haya yote yanasisitiza msimamo wangu wa TUSUBIRI KUPONGEZA WALA KULAUMU.

Tangu enzi ya Mwalimu mpaka Samia, wanajitokeza watu wa kushinikiza kuvunja katiba ili Viongozi waongezewe muda wa kutawala. Wakiishakufa ndipo tunaanza kuambiwa mambo mazito yaliyokuwa yanaendelea nyuma ya pazia.

INAFIKIRISHA, INASUTA, TUSUTIKE.

View attachment 1848441
🤣🤣😂😂😆😆
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hatupaswi kuongozwa na hisia bali uhalisia.

Bagonza amechagua kuwa msemaukweli kipindi cha jpm?...

153126574_1057547231435223_1607671515739183962_n.jpg
 
INAFIKIRISHA! INASUTA! TUSUTIKE

Nilipochaguliwa kuwa Askofu baada ya wanaofaa kukosekana, marafiki zangu waliandaa tafrija ya kuniaga huko Chicago, Marekani. Mmoja wa watani wangu akatoa hotuba na kusema "Benson, wewe sasa ni Askofu. Tangu sasa una uhakika wa mambo matatu:

1. Daima utakula chakula kizuri
2. Daima utavaa vizuri
3. Daima hutaambiwa ukweli.

Ni miaka 19 tangu niambiwe na yote nimeyaona. Ufafanuzi wa niliyoyaona nitaufanya siku nyingine. Kimsingi Viongozi katika jamii tunaishi kwa kujidanganya, kudanganya na kudanganya.
Leo Nina hili:

Comrade Anthony Diallo amesema maneno mazito. Ametimiza ahadi ya mwana TANU/CCM isemayo "Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko". Ukweli uliochelewa ni bora kuliko uwongo uliowahi.

Nitoe ushauri ufuatao:

1. Viongozi na watawala wetu kama hawawezi kuzuia kusifiwasifiwa basi angalau wanune wakisifiwa.

2. Waliokwishamaliza muda wa uongozi wasijengewe masanamu au kutangazwa ni watakatifu mpaka muda maalum upite.

3. Ikithibitika kuwa kiongozi wa umma ngazi yeyote amewahi kuwa na tatizo la afya akili, maamuzi yake yote yatenguliwe.

4. Walioathirika au kunufaika na maamuzi ya kiongozi mwenye tatizo la afya ya akili wajulikane na kusaidiwa.

5. Itungwe sheria maalum kujinaisha (Criminalize) vitendo vya kusifia viongozi wa umma hadharani au kupendekeza ukiukwaji wa Katiba. Kuwasifia iwe sawa na kuwakashifu. Anayetaka kumsifia au kumkashifu kiongozi amwandikie barua binafsi. Kusifia hadharani ni rushwa.

6. Iwe marufuku wananchi kuwapigia makofi viongozi au kuwachezea ngoma, badala yake Viongozi wawapigie makofi wananchi na kuwachezea ngoma. Waliomba kutumwa, makofi ni ya nini?

Haya yote yanasisitiza msimamo wangu wa TUSUBIRI KUPONGEZA WALA KULAUMU.

Tangu enzi ya Mwalimu mpaka Samia, wanajitokeza watu wa kushinikiza kuvunja katiba ili Viongozi waongezewe muda wa kutawala. Wakiishakufa ndipo tunaanza kuambiwa mambo mazito yaliyokuwa yanaendelea nyuma ya pazia.

INAFIKIRISHA, INASUTA, TUSUTIKE.

View attachment 1848441
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kuna mada kibao ziliwahi kuongelea hili, wengi walisema jamaa ni kichaa. Kuna mwanakijiji na barafu. Ngoja nizifukunyue nyuz zao
 
Askofu anaacha majukumu yake ya msingi sasa anaingia mzima mzima kwenye siasa zenye mlengo fulani.

Hatumpangii,ila tunamuasa kuwa na busara,ndio sifa kubwa ya viongozi wenzake wa dini.

Anaunga mkono maneno ya dialo??

Pamoja na kwamba Diallo ni mnafiki kama wanaccm wengine, lakini jana kaongea ukweli. Lile dubwasha lilikuwa katili,dhalimu na ovu.
 
INAFIKIRISHA! INASUTA! TUSUTIKE

Nilipochaguliwa kuwa Askofu baada ya wanaofaa kukosekana, marafiki zangu waliandaa tafrija ya kuniaga huko Chicago, Marekani. Mmoja wa watani wangu akatoa hotuba na kusema "Benson, wewe sasa ni Askofu. Tangu sasa una uhakika wa mambo matatu:

1. Daima utakula chakula kizuri
2. Daima utavaa vizuri
3. Daima hutaambiwa ukweli.

Ni miaka 19 tangu niambiwe na yote nimeyaona. Ufafanuzi wa niliyoyaona nitaufanya siku nyingine. Kimsingi Viongozi katika jamii tunaishi kwa kujidanganya, kudanganya na kudanganya.
Leo Nina hili:

Comrade Anthony Diallo amesema maneno mazito. Ametimiza ahadi ya mwana TANU/CCM isemayo "Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko". Ukweli uliochelewa ni bora kuliko uwongo uliowahi.

Nitoe ushauri ufuatao:

1. Viongozi na watawala wetu kama hawawezi kuzuia kusifiwasifiwa basi angalau wanune wakisifiwa.

2. Waliokwishamaliza muda wa uongozi wasijengewe masanamu au kutangazwa ni watakatifu mpaka muda maalum upite.

3. Ikithibitika kuwa kiongozi wa umma ngazi yeyote amewahi kuwa na tatizo la afya akili, maamuzi yake yote yatenguliwe.

4. Walioathirika au kunufaika na maamuzi ya kiongozi mwenye tatizo la afya ya akili wajulikane na kusaidiwa.

5. Itungwe sheria maalum kujinaisha (Criminalize) vitendo vya kusifia viongozi wa umma hadharani au kupendekeza ukiukwaji wa Katiba. Kuwasifia iwe sawa na kuwakashifu. Anayetaka kumsifia au kumkashifu kiongozi amwandikie barua binafsi. Kusifia hadharani ni rushwa.

6. Iwe marufuku wananchi kuwapigia makofi viongozi au kuwachezea ngoma, badala yake Viongozi wawapigie makofi wananchi na kuwachezea ngoma. Waliomba kutumwa, makofi ni ya nini?

Haya yote yanasisitiza msimamo wangu wa TUSUBIRI KUPONGEZA WALA KULAUMU.

Tangu enzi ya Mwalimu mpaka Samia, wanajitokeza watu wa kushinikiza kuvunja katiba ili Viongozi waongezewe muda wa kutawala. Wakiishakufa ndipo tunaanza kuambiwa mambo mazito yaliyokuwa yanaendelea nyuma ya pazia.

INAFIKIRISHA, INASUTA, TUSUTIKE.

View attachment 1848441

INAPENDEZA kwa mtumishi wa Mungu kutoka hadharani na kusema hayo (kama kweli ni yeye) ambayo yamekwisha kutendeka. Maswali yafuatayo yanahitaji majibu, kutoka kwako mleta mada:
Alikuwa wapi wakati hayo yakitendeka?
Kama kiongozi wa kanisa huchukua hatua gani kuwarudisha kundini viongozi wanaopotoka?
Je, anaweza kutoa mifano ya hao viongozi aliowarudisha kundini?

Isije kuwa naye ni mmoja wa hao ambao Wakiishakufa ndipo anaanza kusema mambo mazito yaliyokuwa yanaendelea nyuma ya pazia.
 
Pamoja na kwamba Diallo ni mnafiki kama wanaccm wengine, lakini jana kaongea ukweli. Lile dubwasha lilikuwa katili,dhalimu na ovu.

Sisi kwetu alikuwa shujaa.

Wazembe,wezi,matapeli,vyeti feki wanakubaliana na kauli ya dialo hapo.
 
Nnachoona hapa. Rais wetu achape kazi tu na daima atende haki. Asifuatilie kabisa hizi habari humu. Maana akianza kufuatilia neno kwa neno kila siku ata changanyikiwa. Na hii ni kwa Rais yeyote wa wakati wowote. Kama nnachokiona si kweli nawaombeni radhi wote kwa maono haya.
 
"Majizi makubwa yako kwenye chama changu CCM" Alisikika akisema Magufuli
Ndege wafananao huruka pamoja.
Kiongozi mkuu wa majizi anayajua majizi menzake. Wanakula wote,wanakunywa wote,wanahonga wote,wanaenda gamboshi wote.
 
Hatupaswi kuongozwa na hisia bali uhalisia.

Bagonza amechagua kuwa msemaukweli kipindi cha jpm???

Pasipo kuamua kuikataa kweli anayoisema,tuhoji.anatuhakikishiaje kwamba anaosema ndio ukweli wenyewe hasukumwi na mambo mengine!!!

Ana tofauti gani na dialo ambaye kaamua kutema nyongo baada ya kunyooshwa na huyo anayemsema!!!vipi asingeguswa lini angeamua kuwa mkweli kwa niaba ya wengine??
Kipindi cha JPM hakuwa anasema ukweli!??
Wewe ni mgeni nchini!!??
 
Tetesi,
Wanaemsema Kichaa aliwahi vunja jeneza alilonunua Dada yake?
Tafadhali
Exactly.
Kuna mtoto inasemwa alikufa kwa malaria,kumbe watu wanakula tuu kuku na mayai yake.
Sadism + incest = !!!?????
 
Back
Top Bottom