Askofu Bagonza: Itungwe sheria maalum kujinaisha (Criminalize) vitendo vya kusifia viongozi wa Umma!

Askofu Bagonza: Itungwe sheria maalum kujinaisha (Criminalize) vitendo vya kusifia viongozi wa Umma!

Post ya Mkuu wa nchi inapaswa kuwa sensitive sana, ila kinachoendelea hapa nchini kwetu ni tofauti kabisa. Usitake kutufanya tuone kuna umakini mkubwa sana kumpata rais wa nchi hii. Kama kungekuwa na umakini wa hivyo, JK na Magufuli wasingeweza kuwa marais wa Nchi hii. Nadhani kwako ukichaa ni mpaka mtu avae makopo shingoni na kiwa kichaa. Hivi kiongozi anayeagiza kupambana na Corona kwa kuweka kibanda cha kujifukiza ushirikina, kwenye hospitali kubwa ya taifa bila scientific proof, unautetea vipi ukichaa wake? Nenda leo hapo Muhimbili kama kile kibanda kama bado kipo.
Kwaiyo na wewe ni kichaa? Maana ulikubali kuongozwa na kichaa!!!! Jambo la corona liache mkuu jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza... Endelea kuchapa kazi nakuitafutia raziki familia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ulikuwa hujui ndiyo ujue kwamba yule dhalimu mwendazake alikuwa mwendawazimu na siyo siri. Uwe unafuatilia habari za yanayojiri nchini kwa ukaribu badala ya KUKURUPUKA na kuanza ubishi wa kijinga. Na zihaka ndiyo mdudu gani!?
Nashukuru kwa kunikumbusha ila nataka ujue nchi kubwa hii!!! Siwezi kujua kila kinachoendelea kwenye kila mkoa!!! Ila kwa position ya Raisi ni rahisi tu kujua nini raisi kinafanyika na nini anafanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom