Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
nimewapeni mbinu,2025 mkamtukane jukwaani kwamba alikiwa fisadi,muuaji,na alibana haku zote.
mtagundua jambo jipya.
Hizo mbinu ungewapa ccm ili iache kutegemea vyombo vya dola kubaki madarakani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimewapeni mbinu,2025 mkamtukane jukwaani kwamba alikiwa fisadi,muuaji,na alibana haku zote.
mtagundua jambo jipya.
Ukweli gani mkuu? Ivi kweli wewe unathibitisha hayati Magufuli alikuwa kichaa? Ivi post yakuwa mkuu wa nchi mnaichukuliaje wakuu...yani nyie vichaa hamkutani nao uko street zenu? Tuache zihaka na dhambi!!!!'' hata wewe ukiwa jua wapo watakao kusema kwa mazuri na wapo watao sema kwa mabaya ila kwenye kukuita ulikuwa kichaa na haukuwa mimi nikiwa rafiki yako nanikasikia mtu kakuita kichaa wakati mimi najua haukuwa kichaa uyo kaumia... R.I.P JOHN MAGUFULI
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu keshakufa ila bado anaendelea kusemwa kama vile bado yupo hai, hiyo sasa ni chuki.
Washirika wenzake lazima wajuane"Majizi makubwa yako kwenye chama changu CCM" Alisikika akisema Magufuli
Waliomuu Ben Saanane,Azori Gwanda na waliompiga risasi Tundu Lissu tutawajua tu soonYote yatasemwa ni suala la muda tu.
Dialo ameomba radhiINAFIKIRISHA! INASUTA! TUSUTIKE
Nilipochaguliwa kuwa Askofu baada ya wanaofaa kukosekana, marafiki zangu waliandaa tafrija ya kuniaga huko Chicago, Marekani. Mmoja wa watani wangu akatoa hotuba na kusema "Benson, wewe sasa ni Askofu. Tangu sasa una uhakika wa mambo matatu:
1. Daima utakula chakula kizuri
2. Daima utavaa vizuri
3. Daima hutaambiwa ukweli.
Ni miaka 19 tangu niambiwe na yote nimeyaona. Ufafanuzi wa niliyoyaona nitaufanya siku nyingine. Kimsingi Viongozi katika jamii tunaishi kwa kujidanganya, kudanganya na kudanganya.
Leo Nina hili:
Comrade Anthony Diallo amesema maneno mazito. Ametimiza ahadi ya mwana TANU/CCM isemayo "Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko". Ukweli uliochelewa ni bora kuliko uwongo uliowahi.
Nitoe ushauri ufuatao:
1. Viongozi na watawala wetu kama hawawezi kuzuia kusifiwasifiwa basi angalau wanune wakisifiwa.
2. Waliokwishamaliza muda wa uongozi wasijengewe masanamu au kutangazwa ni watakatifu mpaka muda maalum upite.
3. Ikithibitika kuwa kiongozi wa umma ngazi yeyote amewahi kuwa na tatizo la afya akili, maamuzi yake yote yatenguliwe.
4. Walioathirika au kunufaika na maamuzi ya kiongozi mwenye tatizo la afya ya akili wajulikane na kusaidiwa.
5. Itungwe sheria maalum kujinaisha (Criminalize) vitendo vya kusifia viongozi wa umma hadharani au kupendekeza ukiukwaji wa Katiba. Kuwasifia iwe sawa na kuwakashifu. Anayetaka kumsifia au kumkashifu kiongozi amwandikie barua binafsi. Kusifia hadharani ni rushwa.
6. Iwe marufuku wananchi kuwapigia makofi viongozi au kuwachezea ngoma, badala yake Viongozi wawapigie makofi wananchi na kuwachezea ngoma. Waliomba kutumwa, makofi ni ya nini?
Haya yote yanasisitiza msimamo wangu wa TUSUBIRI KUPONGEZA WALA KULAUMU.
Tangu enzi ya Mwalimu mpaka Samia, wanajitokeza watu wa kushinikiza kuvunja katiba ili Viongozi waongezewe muda wa kutawala. Wakiishakufa ndipo tunaanza kuambiwa mambo mazito yaliyokuwa yanaendelea nyuma ya pazia.
INAFIKIRISHA, INASUTA, TUSUTIKE.
View attachment 1848441
Ulichoshindwa wewe kujua ni kwamba, dini ni siasa tu.
Hizo mbinu ungewapa ccm ili iache kutegemea vyombo vya dola kubaki madarakani.
Hitler, Mussolin nk wamekufa zamani lakini bado wanasemwa mpaka leo, itakuwa huyo wa juzi? Isitoshe hakuna anayekulazimisha umseme, acha wanaotaka wamseme, ili kuepusha huko mbele nchi kuangukia kwa kiongozi mwingine muovu tena.
Siku zote unapofananisha unaeleza vinavyofanana kwa hivyo unavyovifananisha na ndio maana nimeeleza nimewafananisha kwa lipi, sasa kama wewe umeangalia meno ya Nyerere ya yaliyokuwa yamechongeka ukaona hayafanani na meno ya Magufuli basi hapo kweli unaweza kusema hawafanani.f
Kumfananisha Mwendazake na Nyerere ndio wendawazimu aliousema Dialo Jana
Na ndio nimesema hiyo ni chuki na si kitu chengine, tatizo hapa hamkubali kwamba wengi kinachowasumbua ni ile chuki mliyonayo kwa Mwendazake na ndio kinachowafanya mtowe haya mapovu yote mnaongea hata yale ambayo ni mambo binafsi ya huyo Mwendazake, sasa ni chuki ndio yenye kuweza kufanya mambo hayo na si vinginevyo.Hitler, Mussolin nk wamekufa zamani lakini bado wanasemwa mpaka leo, itakuwa huyo wa juzi? Isitoshe hakuna anayekulazimisha umseme, acha wanaotaka wamseme, ili kuepusha huko mbele nchi kuangukia kwa kiongozi mwingine muovu tena.
Ukweli gani mkuu? Ivi kweli wewe unathibitisha hayati Magufuli alikuwa kichaa? Ivi post yakuwa mkuu wa nchi mnaichukuliaje wakuu...yani nyie vichaa hamkutani nao uko street zenu? Tuache zihaka na dhambi!!!!'' hata wewe ukiwa jua wapo watakao kusema kwa mazuri na wapo watao sema kwa mabaya ila kwenye kukuita ulikuwa kichaa na haukuwa mimi nikiwa rafiki yako nanikasikia mtu kakuita kichaa wakati mimi najua haukuwa kichaa uyo kaumia... R.I.P JOHN MAGUFULI
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipoielewa hutaielewaWhat is your point? 😳😳😳
Chama chetu ni cha siasa sio cha kijeshi, au kikundi cha kigaidi.hata kutumia polisi ni mbinu,nayinyi watumieni polisi.
wewe huna uwezo wa kuamua nchi apewe nani.
kwani ni mali ya watu fulani pekee hii??una uhakika gani kama unayemwaminini ni mzima kichwani!!!
hitler na mussolin ni viongozi waovu kwa kila binaadamu goi goi na mpenda kitonga,kwa wanaume shupavu wale ni mfano wa kuigwa.
hii dunia ingebaki na wapenda kitonga milele isingekuwa ilipo leo hii,nawewe unajua.
Na ndio nimesema hiyo ni chuki na si kitu chengine, tatizo hapa hamkubali kwamba wengi kinachowasumbua ni ile chuki mliyonayo kwa Mwendazake na ndio kinachowafanya mtowe haya mapovu yote mnaongea hata yale ambayo ni mambo binafsi ya huyo Mwendazake, sasa ni chuki ndio yenye kuweza kufanya mambo hayo na si vinginevyo.
Yani watu wanahasira zao binafsi dhidi ya Mwendazake ndio hujifanya wanakosoa kumbe ndio hupunguza hasira zao humo kwa michuki waliyonayo.