Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,810
- 6,789
Askofu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda Bagonza sijui 2025 atachukua fomu kugombea jimbo gani huko kagera? Chadema inaweza kuwa na matumaini ya ushindi
Utakuwa na matatizo wewe, vipi ukiona wanasiasa wakileta siasa zao uchwara kwenye nyumba za ibada mapengo yote 32 unayakenua au vipi? Yaani unachunga kondoo halafu kila siku mara baadhi wamepotea au kupata misuko suko wewe kimya tuu mpaka waishe wote siyo? Halafu utakuwa unachunga mawe siyo?Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.
Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
Mie naongezea. Bagaonza na wenzako wanaojificha kwenye majoho anzisha chama badala ya kujiingiza kwenye siasa kwa mlango wa nyuma. Kikwete alikuwa bomu kuliko rais yeyote aliyewahi kuumbwa. Alikuwa rahisi na siyo rais. Alikuwa mzururaji na mtupu upstairs.Maneno ya hekima kabisa haya ya baba askofu. Kwa hakika Askofu Bagonza ana hoja nzito:
View attachment 1983684
View attachment 1983686
View attachment 1983687
Kwa hakika kumvisha JK yanayojiri awamu ya sita ni kumkosea sana. Anamalizia baba askofu kwa kusema:
View attachment 1983688
Barikiwa sana baba askofu kwa kuendelea kutuchotea busara na uzoefu uliopewa na Mola wetu kila inapowezekana.
Umechukizwa na ukweli aliosema?Mie naongezea. Bagaonza na wenzako wanaojificha kwenye majoho anzisha chama badala ya kujiingiza kwenye siasa kwa mlango wa nyuma. Kikwete alikuwa bomu kuliko rais yeyote aliyewahi kuumbwa. Alikuwa rahisi na siyo rais. Alikuwa mzururaji na mtupu upstairs.
Kwa msengeee kama wewe ni rahisi kusema usemayo. Hakuna malaya wa kisiasa kama viongozi wa kiroho wenye uroho wanaojifanya wakosoaji wakati ni wezi kwa waumini wao. Mwl Nyerere alitufundisha kutochanganya dini na siasa. Huwezi tumikia mabwana wawili kwa usawa. Umeelewa fwaki you kuku?Umechukizwa na ukweli aliosema?
Ukiacha umalaya wako wa kisiasa pembeni ,ukiacha kulamba miguu ya watu ili ule utaelewa vizuri.
Kamanda Bagonza akigombea na kushinda atakuwa ngoma droo na gwajiboy!Vipi Gwajiboy 2025 ataamua kurejea kwenye ile kazi yake ambayo ni ya hadhi juu mno kuliko hata urais wa nchi?
Kumtumikia Mungu waweza linganisha na kutumikia watu? Thubutu!
Hiiiiii bagosha!
Acha matusi jenga hoja ,Pinga au kubali hoja za askofu.,Ninajua huna Elimu na uwezo wa kujenga hoja unacho kiweza na umalaya wa kisiasa hapo Lumumba.Kwa msengeee kama wewe ni rahisi kusema usemayo. Hakuna malaya wa kisiasa kama viongozi wa kiroho wenye uroho wanaojifanya wakosoaji wakati ni wezi kwa waumini wao. Mwl Nyerere alitufundisha kutochanganya dini na siasa. Huwezi tumikia mabwana wawili kwa usawa. Umeelewa fwaki you kuku?
Askofu mpumbavuManeno ya hekima kabisa haya ya baba askofu. Kwa hakika Askofu Bagonza ana hoja nzito:
View attachment 1983684
View attachment 1983686
View attachment 1983687
Kwa hakika kumvisha JK yanayojiri awamu ya sita ni kumkosea sana. Anamalizia baba askofu kwa kusema:
View attachment 1983688
Barikiwa sana baba askofu kwa kuendelea kutuchotea busara na uzoefu uliopewa na Mola wetu kila inapowezekana.
Mkuu wangu hivi ni nani amekueleza kuwa niko Denmark?!!Vipi umeshawahudumia mabeberu wa huko denmark?
Askofu Bagonza amesema UKWELI.
✓Viongozi wa dini ni wananchi kama wengine!Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.
Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
Ukiona waovu wanaogopa kukemewa au wanachagua nani wa kuwakemea na jinsi wanavyopaswa kukemewa haraka haraka Fahamu kuwa kuna Nia ovu nyuma ya pazia!Ni mtazamo wako wewe CCM Ni hivi chochote kinacho ponya kinaumiza.Ingekuwa hero leo mgesikia SAUTI ya Mungu.Magufuli alikuwa na shingi ngumu zaidi ya Paulo!!Kuna wanao sema pia Kardinali Pengo ni CCM bado ni mtazamo wao.Ninacho kiamini ni kuwa wote ni makuhani na kazi ya Kahani ni kukemea uovu
Mie naongezea. Bagaonza na wenzako wanaojificha kwenye majoho anzisha chama badala ya kujiingiza kwenye siasa kwa mlango wa nyuma. Kikwete alikuwa bomu kuliko rais yeyote aliyewahi kuumbwa. Alikuwa rahisi na siyo rais. Alikuwa mzururaji na mtupu upstairs.
Mama Lwakatare RIPNikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.
Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
Kwa muktadha wa mada iliyopo, hii awamu ya sasa imekuwa ikibomoa matofali yaliyowekwa na awamu nyingine, uwe unafikiria vizuri kabla hujafanya copy & paste hapa jukwaani.
Mkumbaff mkubwa. Unanijua vizuri kusema eti sina elimu mbwakoko wee. Nijenge hoja gani wakati huna hoja yoyote ya kutolea hoja wala kutumia akili?Acha matusi jenga hoja ,Pinga au kubali hoja za askofu.,Ninajua huna Elimu na uwezo wa kujenga hoja unacho kiweza na umalaya wa kisiasa hapo Lumumba.
Malaya ni wazazi wako waliozaa chokoUmechukizwa na ukweli aliosema?
Ukiacha umalaya wako wa kisiasa pembeni ,ukiacha kulamba miguu ya watu ili ule utaelewa vizuri.