Pre GE2025 Askofu Bagonza: Kanisa likijenga Shule ama Hospitali halihojiwi na Serikali, lakini likihoji mbona dawa hakuna linaambiwa lisichanganye dini na siasa

Pre GE2025 Askofu Bagonza: Kanisa likijenga Shule ama Hospitali halihojiwi na Serikali, lakini likihoji mbona dawa hakuna linaambiwa lisichanganye dini na siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Dkt. Benson Bagonza Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe alikuwa akihojiwa na Mwanahabari nguli Jenerali Ulimwengu ambaye alimuuliza " Baba Askofu ningependa nikuulize, wewe umekuwa ukitoa mawazo yako hadharani juu ya masuala ya kisiasa huwa hakuna 'contradiction' kwamba unaingiza labda Siasa ndani ya Dini?..."

Askofu Dkt. Bagonza. “Mimi nadhani siasa ni uwanja wa watu wote lakini Dini ni uchaguzi wa mtu binafsi, Siasa ni yetu wote kwakuwa tunapiga kura, tunalipa kodi, ni yetu wote na sioni sababu ya mtu kumuwekea mtu mwenzake mipaka..." -

Aliongeza kusema, "Kwanini mnahoji kwamba nachanganya Dini na Siasa?, Nikijenga Shule mbona hamsemi nachanganya Elimu na Dini?, nikijenga Hospitali mbona sihojiwi kwamba nachanganya Afya na Dini?, nikichimba kisima cha maji kwa wananchi mbona hawasemi kwamba unaingilia idara ya maji?..." -Askofu Dkt. Bagonza

"... nikimkuta mgonjwa pale nikampa dawa siulizwi kwanini unachanganya Dini na Siasa na hata sihojiwi kwanini unachanganya Afya na Dini lakini nikihoji kwanini mgonjwa huyu hana dawa?, kwanini serikali haileti dawa kwaajili ya mgonjwa wanasema aaah.., anachanganya Dini na Siasa, sasa huoni hapo kwamba kuna shida ya kimantiki?” -Askofu Dkt. Bagonza.

Pia, soma
 
Labda Askofu Bagonza anatamani sana majukwaa ya kisiasa kuliko kutumikia wanakondoo wake. Aamue moja tu kama Padre wa zamani Dr Wilbroad Slaa, atoke madhabahuni aje apambane na akina Nape na Iddi Nondo.

Bagonza anajuwa kabisa kuwa Biblia imeandika:-
Mathayo 22:21 BHN
Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”
 
Labda Askofu Bagonza anatamani sana majukwaa ya kisiasa kuliko kutumikia wanakondoo wake. Aamue moja tu kama Padre wa zamani Dr Wilbroad Slaa, atoke madhabahuni aje apambane na akina Nape na Iddi Nondo.

Bagonza anajuwa kabisa kuwa Biblia imeandika:-
Mathayo 22:21 BHN
Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”
Jibu hoja yake hata hilo fungu ulilotumia inaonekana hujui maana yake.
 
Dkt.Benson Bagonza Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe alikuwa akihojiwa na Mwanahabari nguli Jenerali Ulimwengu ambaye alimuuliza " Baba Askofu ningependa nikuulize, wewe umekuwa ukitoa mawazo yako hadharani juu ya masuala ya kisiasa huwa hakuna 'contradiction' kwamba unaingiza labda Siasa ndani ya Dini?..."

Askofu Dkt. Bagonza. “Mimi nadhani siasa ni uwanja wa watu wote lakini Dini ni uchaguzi wa mtu binafsi, Siasa ni yetu wote kwakuwa tunapiga kura, tunalipa kodi, ni yetu wote na sioni sababu ya mtu kumuwekea mtu mwenzake mipaka..." -

Aliongeza kusema, "Kwanini mnahoji kwamba nachanganya Dini na Siasa?, nikijenga Shule mbona hamsemi nachanganya Elimu na Dini?, nikijenga Hospitali mbona sihojiwi kwamba nachanganya Afya na Dini?, nikichimba kisima cha maji kwa wananchi mbona hawasemi kwamba unaingilia idara ya maji?..." -Askofu Dkt. Bagonza

"... nikimkuta mgonjwa pale nikampa dawa siulizwi kwanini unachanganya Dini na Siasa na hata sihojiwi kwanini unachanganya Afya na Dini lakini nikihoji kwanini mgonjwa huyu hana dawa?, kwanini serikali haileti dawa kwaajili ya mgonjwa wanasema aaah.., anachanga Dini na Siasa, sasa huoni hapo kwamba kuna shida ya kimamntiki?" -Askofu Dkt. Bagonza.
SIKILIZA HEKIMA NA BUSARA KUBWA
 

Attachments

  • SIASA NA DINI_BAGONZA.mp4
    5.8 MB
Maaskofu na watu wengine wenye nyadhifa, kwenye dini au taasisi zao, wamekuwa kama wabunge wa TZ, mawazo yao, kufikiri, kusema kwao kumefunganishwa na vyama vyao..... Maaskofu kama Dr. Bagonza ni wachache, sana ambao wapo huru, kufikiri na kutoa mawazo yao
 
Dkt.Benson Bagonza Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe alikuwa akihojiwa na Mwanahabari nguli Jenerali Ulimwengu ambaye alimuuliza " Baba Askofu ningependa nikuulize, wewe umekuwa ukitoa mawazo yako hadharani juu ya masuala ya kisiasa huwa hakuna 'contradiction' kwamba unaingiza labda Siasa ndani ya Dini?..."

Askofu Dkt. Bagonza. “Mimi nadhani siasa ni uwanja wa watu wote lakini Dini ni uchaguzi wa mtu binafsi, Siasa ni yetu wote kwakuwa tunapiga kura, tunalipa kodi, ni yetu wote na sioni sababu ya mtu kumuwekea mtu mwenzake mipaka..." -

Aliongeza kusema, "Kwanini mnahoji kwamba nachanganya Dini na Siasa?, nikijenga Shule mbona hamsemi nachanganya Elimu na Dini?, nikijenga Hospitali mbona sihojiwi kwamba nachanganya Afya na Dini?, nikichimba kisima cha maji kwa wananchi mbona hawasemi kwamba unaingilia idara ya maji?..." -Askofu Dkt. Bagonza

"... nikimkuta mgonjwa pale nikampa dawa siulizwi kwanini unachanganya Dini na Siasa na hata sihojiwi kwanini unachanganya Afya na Dini lakini nikihoji kwanini mgonjwa huyu hana dawa?, kwanini serikali haileti dawa kwaajili ya mgonjwa wanasema aaah.., anachanga Dini na Siasa, sasa huoni hapo kwamba kuna shida ya kimamntiki?" -Askofu Dkt. Bagonza.
Mimi nadhani siasa ni uwanja wa watu wote lakini Dini ni uchaguzi wa mtu binafsi, Siasa ni yetu wote kwakuwa tunapiga kura, tunalipa kodi, ni yetu wote na sioni sababu ya mtu kumuwekea mtu mwenzake mipaka..." -[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nadhani siasa ni uwanja wa watu wote lakini Dini ni uchaguzi wa mtu binafsi, Siasa ni yetu wote kwakuwa tunapiga kura, tunalipa kodi, ni yetu wote na sioni sababu ya mtu kumuwekea mtu mwenzake mipaka..." -[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
Askofu ni msomi anawapa miguu ya kisomi wanatulia kimya tuu...
 
Dkt.Benson Bagonza Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe alikuwa akihojiwa na Mwanahabari nguli Jenerali Ulimwengu ambaye alimuuliza " Baba Askofu ningependa nikuulize, wewe umekuwa ukitoa mawazo yako hadharani juu ya masuala ya kisiasa huwa hakuna 'contradiction' kwamba unaingiza labda Siasa ndani ya Dini?..."

Askofu Dkt. Bagonza. “Mimi nadhani siasa ni uwanja wa watu wote lakini Dini ni uchaguzi wa mtu binafsi, Siasa ni yetu wote kwakuwa tunapiga kura, tunalipa kodi, ni yetu wote na sioni sababu ya mtu kumuwekea mtu mwenzake mipaka..." -

Aliongeza kusema, "Kwanini mnahoji kwamba nachanganya Dini na Siasa?, nikijenga Shule mbona hamsemi nachanganya Elimu na Dini?, nikijenga Hospitali mbona sihojiwi kwamba nachanganya Afya na Dini?, nikichimba kisima cha maji kwa wananchi mbona hawasemi kwamba unaingilia idara ya maji?..." -Askofu Dkt. Bagonza

"... nikimkuta mgonjwa pale nikampa dawa siulizwi kwanini unachanganya Dini na Siasa na hata sihojiwi kwanini unachanganya Afya na Dini lakini nikihoji kwanini mgonjwa huyu hana dawa?, kwanini serikali haileti dawa kwaajili ya mgonjwa wanasema aaah.., anachanga Dini na Siasa, sasa huoni hapo kwamba kuna shida ya kimamntiki?" -Askofu Dkt. Bagonza.
Serikali makini isiyo na upigaji ya Rwanda imeweka taratibu halali kabisa za kielimu za nani anayefaa kuwa na kanisa na nani asiyefaa, Kagame anajiamini katika ufanisi wa utendaji kazi wa serikali yake na anakuwa na jeuri ya kuwawekea mipaka viongozi wa dini akijijua kuwa anao uwezo wa kutimiza wajibu wake.

Hapa Tanzania bado kuna ombwe la ufanisi wa serikali yetu upigaji ni mwingi sana na hiyo ni fursa ya viongozi wa dini kujihusisha na masuala mengi ya kijamii na mwishoni wanajiona wanayo haki ya msingi ya kushiriki maendeleo ya kila siku ya watu wanaosali makanisani mwao.


Kagame kuweza kuwa na sauti ya mwisho kwa taasisi za kidini ni kuona mbali kunakotokana na utashi wake wa kushughulika na masuala ya kijamii kuwa mkubwa na wa dhati kuliko walionao viongozi wetu.

Hata huo waraka uliosambazwa na maaskofu ni kwa sababu wanajua kuna ombwe katika ufanisi mzima wa kiserikali, wanatumia ushawishi wao wa kiroho walionao mbele ya waumini wakijua ubovu wa jamii zetu za kitanzania.

Tumejenga jamii ya hovyo sana na maaskofu wetu wanautumia ubovu huo kwa kuimarisha ushawishi wanaokuwa nao maishani mwetu.
 
Serikali makini isiyo na upigaji ya Rwanda imeweka taratibu halali kabisa za kielimu za nani anayefaa kuwa na kanisa na nani asiyefaa, Kagame anajiamini katika ufanisi wa utendaji kazi wa serikali yake na anakuwa na jeuri ya kuwawekea
Kagame sio wa kumtolea mfano wa Viongozi bora ni Mkabila sana ameshatangaza kuwa atagombea tena Urais mwakani..
 
Back
Top Bottom