Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Usipindishe. Ninamaanisha yeye aendelee na kazi yake ya uongozi wa kiroho na kazi za kisiasa awaachie wanasiasa.Jibu hoja yake hata hilo fungu ulilotumia inaonekana hujui maana yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipindishe. Ninamaanisha yeye aendelee na kazi yake ya uongozi wa kiroho na kazi za kisiasa awaachie wanasiasa.Jibu hoja yake hata hilo fungu ulilotumia inaonekana hujui maana yake.
Oooh kumbe siasa na wanasiasa si vya MUNGU??Labda Askofu Bagonza anatamani sana majukwaa ya kisiasa kuliko kutumikia wanakondoo wake. Aamue moja tu kama Padre wa zamani Dr Wilbroad Slaa, atoke madhabahuni aje apambane na akina Nape na Iddi Nondo.
Bagonza anajuwa kabisa kuwa Biblia imeandika:-
Mathayo 22:21 BHN
Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”
Bagonza ana kitu gani anachojuwa? Uongozi wa kanisa tu waluteri wanamuona takataka? Ndiyo atathubutu kuleta ushawishi wa kisiasa?Umesoma ila hujaelewa,rudia kusoma mara nyingi zaidi utamuelewa Askofu Bagonza, otherwise shuleni ulienda kusomea ujinga
Wewe ndiye mpotoshaji. Sihitaji kateskista kuelewa mstari huo. Na hakuna maana moja kwenye tafsiri. Acha kuishi kwa KUKARIRIMpotoshaji mkubwa, si umuulize Katekista maana ya fungu Hilo kuliko kubwabwaja?
Siasa ni ya watu wote wa MUNGU!Rwakatare alikuwa kiongozi wa kanisa na aligombea ubunge viti maalum ccm na alipata na hakujivua uongozi wa kanisa lake. Dini na Siasa
Mwamposa alipewa ubunge wa Kawe akiwa kiongozi wa kanisa, na hakujivua uongozi wa kanisa lake. Dini na Siasa.
Hii imekaaje?
Two wrongs do not make one right. Gwajima ahukumiwe kama Gwajima, mimi na deal na huyu Bagonza askofu aliyetelekeza mwanaye aliyezaa na kimafaMbona Gwajima mpo naye huko CCM lakini hamsemi aache madhabahu? Au akiwa anaiunga mkono CCM hana haja ya kutoka nje ya madhabahu lakini akihoji Serikali anatakiwa aachane na madhabahu Kwa sababu ni kuchanganya Dini na siasa? Hivi hamwonagi aibu kutetea ujinga?
Wewe uko kwenye guniaUko kwenye blanket ww
Anatamani sana, na ndiyo maana kila mara yuko na statements tu zenye utata.Sio kwamba Askofu anatamani siasa, bali wewe na watu wa namna yako, ama ni watu wanafiki au mmekosa uelewa wa maana ya siasa.
Na hiyo ndo siasa yenyewe sasa! Bravo Yesu🙏🙏Labda Askofu Bagonza anatamani sana majukwaa ya kisiasa kuliko kutumikia wanakondoo wake. Aamue moja tu kama Padre wa zamani Dr Wilbroad Slaa, atoke madhabahuni aje apambane na akina Nape na Iddi Nondo.
Bagonza anajuwa kabisa kuwa Biblia imeandika:-
Mathayo 22:21 BHN
Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”
Ni kazi kubwa kuelewa maandiko matakatifu kwa ma- pimbi kama weweKuelewa maandiko matakatifu ni kazi sana ndugu yangu.hoja imekaa vzr sana kutoka kwa Askofu Bagonza isipokuwa watu Wana uwezo mdogo sana wa kuelewa.
Kula wewe ugoro inatosha!! Nyang'au mkubwa weweAcha kula ugoro sio mzuri kwa afya ya akili
Siasa inaratibu vingi kuanzia unavyojiongoza, maendeleo yako, fursa ulizo nazo, matarajio yako na unavoishi na watu!Sio kwamba Askofu anatamani siasa, bali wewe na watu wa namna yako, ama ni watu wanafiki au mmekosa uelewa wa maana ya siasa.
Mwamposa kapewa ubunge wa kawe mwaka gani?Rwakatare alikuwa kiongozi wa kanisa na aligombea ubunge viti maalum ccm na alipata na hakujivua uongozi wa kanisa lake. Dini na Siasa
Mwamposa alipewa ubunge wa Kawe akiwa kiongozi wa kanisa, na hakujivua uongozi wa kanisa lake. Dini na Siasa.
Hii imekaaje?
Hujaelewa madaUsipindishe. Ninamaanisha yeye aendelee na kazi yake ya uongozi wa kiroho na kazi za kisiasa awaachie wanasiasa.
Ni GwajimaMwamposa kapewa ubunge wa kawe mwaka gani?
Na baba yako mzazi ni pimbi hivyo hivyo kama ww mmefanana kabisa.Ni kazi kubwa kuelewa maandiko matakatifu kwa ma- pimbi kama wewe
Nilimuelewa sana magu alipoamua kuhangaikia hospitals za serikaliDkt.Benson Bagonza Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe alikuwa akihojiwa na Mwanahabari nguli Jenerali Ulimwengu ambaye alimuuliza " Baba Askofu ningependa nikuulize, wewe umekuwa ukitoa mawazo yako hadharani juu ya masuala ya kisiasa huwa hakuna 'contradiction' kwamba unaingiza labda Siasa ndani ya Dini?..."
Askofu Dkt. Bagonza. “Mimi nadhani siasa ni uwanja wa watu wote lakini Dini ni uchaguzi wa mtu binafsi, Siasa ni yetu wote kwakuwa tunapiga kura, tunalipa kodi, ni yetu wote na sioni sababu ya mtu kumuwekea mtu mwenzake mipaka..." -
Aliongeza kusema, "Kwanini mnahoji kwamba nachanganya Dini na Siasa?, nikijenga Shule mbona hamsemi nachanganya Elimu na Dini?, nikijenga Hospitali mbona sihojiwi kwamba nachanganya Afya na Dini?, nikichimba kisima cha maji kwa wananchi mbona hawasemi kwamba unaingilia idara ya maji?..." -Askofu Dkt. Bagonza
"... nikimkuta mgonjwa pale nikampa dawa siulizwi kwanini unachanganya Dini na Siasa na hata sihojiwi kwanini unachanganya Afya na Dini lakini nikihoji kwanini mgonjwa huyu hana dawa?, kwanini serikali haileti dawa kwaajili ya mgonjwa wanasema aaah.., anachanganya Dini na Siasa, sasa huoni hapo kwamba kuna shida ya kimantiki?” -Askofu Dkt. Bagonza.