Pre GE2025 Askofu Bagonza: Kanisa likijenga Shule ama Hospitali halihojiwi na Serikali, lakini likihoji mbona dawa hakuna linaambiwa lisichanganye dini na siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Jibu hoja yake hata hilo fungu ulilotumia inaonekana hujui maana yake.
Usipindishe. Ninamaanisha yeye aendelee na kazi yake ya uongozi wa kiroho na kazi za kisiasa awaachie wanasiasa.
 
Oooh kumbe siasa na wanasiasa si vya MUNGU??
Huoni kwamba kwa mantiki hiyo ndo maana hawakanyiki wala hawana aibu na hofu ya MUNGU ndani yao??
Je, waendelee hivyo??
 
Umesoma ila hujaelewa,rudia kusoma mara nyingi zaidi utamuelewa Askofu Bagonza, otherwise shuleni ulienda kusomea ujinga
Bagonza ana kitu gani anachojuwa? Uongozi wa kanisa tu waluteri wanamuona takataka? Ndiyo atathubutu kuleta ushawishi wa kisiasa?

Kwanza mwambieni apeleke matunzo kwa mwanaye aliyemzaa na kimada wa Arusha!! Eti naye ni Askofu???!!!
 
Wakiambiwa ukweli unao wapiga kwenye mbavu ndio wanaanza kulalamika na kuleta madai ya dini na siasa
 
Mpotoshaji mkubwa, si umuulize Katekista maana ya fungu Hilo kuliko kubwabwaja?
Wewe ndiye mpotoshaji. Sihitaji kateskista kuelewa mstari huo. Na hakuna maana moja kwenye tafsiri. Acha kuishi kwa KUKARIRI
 
Siasa ni ya watu wote wa MUNGU!
Siasa ni lazima!
Siasa ni maisha!
Dini zinahitaji kukidhi kanuni, sheria na mahitaji ya kisiasa ili ziwe rasmi!
Hivyo siasa ni kama maji!
 
Two wrongs do not make one right. Gwajima ahukumiwe kama Gwajima, mimi na deal na huyu Bagonza askofu aliyetelekeza mwanaye aliyezaa na kimafa
 
Sio kwamba Askofu anatamani siasa, bali wewe na watu wa namna yako, ama ni watu wanafiki au mmekosa uelewa wa maana ya siasa.
Anatamani sana, na ndiyo maana kila mara yuko na statements tu zenye utata.
 
Na hiyo ndo siasa yenyewe sasa! Bravo Yesu🙏🙏
 
Kuelewa maandiko matakatifu ni kazi sana ndugu yangu.hoja imekaa vzr sana kutoka kwa Askofu Bagonza isipokuwa watu Wana uwezo mdogo sana wa kuelewa.
Ni kazi kubwa kuelewa maandiko matakatifu kwa ma- pimbi kama wewe
 
Sio kwamba Askofu anatamani siasa, bali wewe na watu wa namna yako, ama ni watu wanafiki au mmekosa uelewa wa maana ya siasa.
Siasa inaratibu vingi kuanzia unavyojiongoza, maendeleo yako, fursa ulizo nazo, matarajio yako na unavoishi na watu!
Hivyo sijui unachora vipi mpaka kati ya siasa na mambo mengine!
Anyways; Askofu Gwajima mtamvua lini uanasiasa??
Au mchanganyo hutokea pindi mnapokosolewa??
 
Mwamposa kapewa ubunge wa kawe mwaka gani?
 
Nilimuelewa sana magu alipoamua kuhangaikia hospitals za serikali

Hizi huduma za kijamii kama
Hospitals za mission pamoja na faida kubwa kwa wananchi, zimekua zikitumika kama fimbo

Ufujaji wa miaka ile elct Kwa kupitia afya na elimu ulikua mkubwa

Serikali ikaze sana kwenye kusimamia huduma inazolipia kwa mission hospitals
 
Mathayo
Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”[/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…