Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ya Mbowe unasema wewe!Mlitaka mmnange Lissu??, Ni haki yake kuongea hadharini alichokiongea Rais. Kwamba ndio sababu ya Mbowe kukutwa na kesi? Poor thinking capacity asee....
John unajuaje làbda alimconsult kuwa naweza kusema tulichojadiliana? Akasema Yes!Yesu Kristo alisema maneno yetu yawe machache yaani Ndio au Siyo kwa maana maneno mengi yanatoka kwa yule mwovu.
Wakati mwingine hakunaga sababu ya kuweka hadharani mambo yaliyojadiliwa faraghani.
Maendeleo hayana vyama!
Diplomatic conversations hufanyika katika mazingira ya kuaminiana sana, mazungumzo baina ya mtu na rais huingia katika hadhi hii.Mlitaka mmnange Lissu??, Ni haki yake kuongea hadharini alichokiongea Rais. Kwamba ndio sababu ya Mbowe kukutwa na kesi? Poor thinking capacity asee....
Yesu Kristo alisema maneno yetu yawe machache yaani Ndio au Siyo kwa maana maneno mengi yanatoka kwa yule mwovu.
Wakati mwingine hakunaga sababu ya kuweka hadharani mambo yaliyojadiliwa faraghani.
Maendeleo hayana vyama!
[emoji12]Huyo Abubakary liongo anashangaa nini Lissu kuropoka mbona hajawahi kushangaa bosi wake Lowassa kurudi CCM sikuoni bandiko lake lolote kumshangaa bosi wake kutoka chadema kurudi CCM.