Pre GE2025 Askofu Bagonza: Miaka mitano imepita lakini Dkt. Bashiru bado hana mpinzani

Pre GE2025 Askofu Bagonza: Miaka mitano imepita lakini Dkt. Bashiru bado hana mpinzani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Askofu Bagonza, saa ngapi unasoma biblia? Mbona uko busy na siasa? Si uvue majoho ya uaskofu uingie uwanja wa siasa, tunajua ww ni CHADEMA, si uchukue fomu gombea nafasi yoyote ya kisiasa alafu utakuwa umeingia uwanjani kucheza ngoma yenyewe.

Askofu, huoni unapata shida sana uko katika wito wa uaskofu, ila mawazo yako yapo siasani, njoo huku ucheze siasa, unachanganya mafaili askofu huoni, acha kuisema CCM, njoo uwanjani upambane na CCM uione ilivyo, maandishi tu hayasaidii kitu chochote.
Kumbe aliyeleta uzi huu ni Bagonza!
 
Askofu Bagonza, saa ngapi unasoma biblia? Mbona uko busy na siasa? Si uvue majoho ya uaskofu uingie uwanja wa siasa, tunajua ww ni CHADEMA, si uchukue fomu gombea nafasi yoyote ya kisiasa alafu utakuwa umeingia uwanjani kucheza ngoma yenyewe.

Askofu, huoni unapata shida sana uko katika wito wa uaskofu, ila mawazo yako yapo siasani, njoo huku ucheze siasa, unachanganya mafaili askofu huoni, acha kuisema CCM, njoo uwanjani upambane na CCM uione ilivyo, maandishi tu hayasaidii kitu chochote.
Umeongozwa na akili za CCM.,Umetumia tumbo kufikiri kuliko kichwa.Nikuulize yafuatayo
1. Wewe ni mkristo?
2. Unajua kazi ya ASKOFU ipi?
3.Wajibu wa askofu katika jamii unauelewa?
4. Biblia na mahubiri ni asilimia ngapi katika wajibu wa askofu?
 
Umeongozwa na akili za CCM.,Umetumia tumbo kufikiri kuliko kichwa.Nikuulize yafuatayo
1. Wewe ni mkristo?
2. Unajua kazi ya ASKOFU ipi?
3.Wajibu wa askofu katika jamii unauelewa?
4. Biblia na mahubiri ni asilimia ngapi katika wajibu wa askofu?
Kwani nchi hii askofu ni bagonza tuu? Hao wengine hawajui kazi yao ya uaskofu hadi hatuwaoni kwenye uanaharakati wa Chadema?
 
Askofu Bagonza, saa ngapi unasoma biblia? Mbona uko busy na siasa? Si uvue majoho ya uaskofu uingie uwanja wa siasa, tunajua ww ni CHADEMA, si uchukue fomu gombea nafasi yoyote ya kisiasa alafu utakuwa umeingia uwanjani kucheza ngoma yenyewe.

Askofu, huoni unapata shida sana uko katika wito wa uaskofu, ila mawazo yako yapo siasani, njoo huku ucheze siasa, unachanganya mafaili askofu huoni, acha kuisema CCM, njoo uwanjani upambane na CCM uione ilivyo, maandishi tu hayasaidii kitu chochote.
Kwani wapi imeandikwa mtumishi wa Mungu hapaswi kutoa maoni ya kisiasa anapoona inafaa? kwani hujui kama hao wanasiasa wana apa kwa kutumia Bibilia au Quran?
 
Askofu Bagonza, saa ngapi unasoma biblia? Mbona uko busy na siasa? Si uvue majoho ya uaskofu uingie uwanja wa siasa, tunajua ww ni CHADEMA, si uchukue fomu gombea nafasi yoyote ya kisiasa alafu utakuwa umeingia uwanjani kucheza ngoma yenyewe.

Askofu, huoni unapata shida sana uko katika wito wa uaskofu, ila mawazo yako yapo siasani, njoo huku ucheze siasa, unachanganya mafaili askofu huoni, acha kuisema CCM, njoo uwanjani upambane na CCM uione ilivyo, maandishi tu hayasaidii kitu chochote.
Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake bila kujali dini au itikaji yoyote ili mradi havunji sheria za nchi. Kama hakuna sehemu kwenye katiba inakataza viongozi wa dini kuwa wanasiasa kwa sababu ndiyo inayoendesha taratibu zao za maisha, basi wanayo haki ya kufanya hivyo. Ni wajibu wa kiongozi yoyote awe wa dini au siasa kukemea uonevu na dhuluma aidha kati ya mtu na mtu au dola (serikali) na wananchi
 
Askofu Bagonza, saa ngapi unasoma biblia? Mbona uko busy na siasa? Si uvue majoho ya uaskofu uingie uwanja wa siasa, tunajua ww ni CHADEMA, si uchukue fomu gombea nafasi yoyote ya kisiasa alafu utakuwa umeingia uwanjani kucheza ngoma yenyewe.

Askofu, huoni unapata shida sana uko katika wito wa uaskofu, ila mawazo yako yapo siasani, njoo huku ucheze siasa, unachanganya mafaili askofu huoni, acha kuisema CCM, njoo uwanjani upambane na CCM uione ilivyo, maandishi tu hayasaidii kitu chochote.
NINGEKUTUKANA LAKINI NIMEKUPUUZIA. NANI ALIKWAMBIA WATUMISHI WA MUNGU SIASA HAZIWAHUSU? KASOME BIBLIA OVYO WW!
 
Kamanda Askofu Bagonza sijui anajiandaa kugombea jimbo gani? Sijui jimbo la Muleba, Nkenge au Bakawenshoni? Ngoja tusubiri tuone upepo unavyokwenda.
 
Kwani wapi imeandikwa mtumishi wa Mungu hapaswi kutoa maoni ya kisiasa anapoona inafaa? kwani hujui kama hao wanasiasa wana apa kwa kutumia Bibilia au Quran?
Kwani nchi hii askofu ni bagonza tuu? Hao wengine hawajui kazi yao ya uaskofu hadi hatuwaoni kwenye uanaharakati wa Chadema?


Yaani mmeishiwa hekima mpaka akili!!

Ebu tuorodheshee harakati za CHADEMA ambazo Baba Askofu anazifanya.

Hakika ninyi wanafikki wote mna miisho mibaya maana mmezikataa nafsi zenu kwa sababu ya tamaa ya kuutumikia uovu.
 
Usikute Cmd. Lucas Mwashambwa ni graduate mbobevu kabisa wa Havard law school au chuo fulani mashuhuri Ulaya cha political science.
Uchawa ni adui mkubwa sana wa maendeleo ya Tanzania.
Askofu, sheikh,daktari,mgonjwa,mwalimu,mwanafunzi,msomi, asiyesoma,mwenye akili, kilaza, wote wamo kwenye "uchawa".
 
MIAKA 5 IMEPITA LAKINI Dr. BASHIRU BADO HANA MPINZANI!

Miaka 5 iliyopita, siku kama ya leo, Dr. Bashiru Ally, akiwa Katibu Mkuu wa CCM, alisema maneno mazito. Kwa maoni yangu, hayajajibiwa mpaka leo. Naheshimu kimya chake ambacho kina nguvu kuliko maneno yake. Ni juu yetu kudadavua uzito wa maneno yake yenye umri wa miaka 5 lakini yasiyochuja.

Katika kutafakari, niliandika hivi:

Duh!! Najua hili limegusa sana. Kila gazeti litaandika na sisi "mashabiki waandamizi" hatukosi cha kuchangia. Dr. Bashiru ni mtu makini, hawezi kukosa ufafanuzi. Anapojiandaa kufanya hivyo, ajue matamshi yake yanaweza kumaanisha moja ya haya au yote kwa pamoja:

1. Wapiga kura hawaamui mshindi, dola ndiyo inaamua ( Wananchi mpige kura, msipige, mtupatie kura au mtunyime, haisaidii lolote).

2. Tume ya Taifa ya Uchaguzi siyo huru na haina lolote. Dola ndiyo inaamua mshindi.

3. Chama tawala hakina uwezo kuliko dola na hakishiki hatamu. Dola ndiyo imeshika hatamu.

4. Dola haina uhuru wa kujiamulia, bali inaagizwa na chama tawala (inatumiwa).

5. Hata wabunge na madiwani wa upinzani walioshinda, ni kwa fadhila za dola.

6. Tunapoteza raslimali kuendesha uchaguzi uliokwishaamuliwa na dola.

7. Kwa kuwa dola ndiyo inaamua, siku ikiamua vinginevyo, hata chama tawala kitaondoka madarakani.

Naamini sivyo alivyomaanisha lakini masikioni ndivyo alivyosikika. Kuna haja ya kujisikiliza kabla hujasikilizwa.

Pimeni maneno haya kwa muktadha wa:

1. No Reform, No Election
2. Hatuondoki madarakani mpaka Yesu
arudi,
3. Hata mpigie kura kule kwingine, sisi
tutaunda serikali,
4. Atakayemtangaza mpinzani hana kazi
(Awe DED au Afisa wa umma)
5. Huwezi kumpigia mpinzani halafu ukadai uletewe maendeleo.

Kwenye kampeini tujifunze kuweka akiba ya maneno.
View attachment 3262791View attachment 3262792View attachment 3262793
Siasa za majitaka na uchawa. Kama anafaa si ampe kazi kanisani kwake amjue uzuri?
 
Back
Top Bottom