Pre GE2025 Askofu Bagonza: Miaka mitano imepita lakini Dkt. Bashiru bado hana mpinzani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siasa za majitaka na uchawa. Kama anafaa si ampe kazi kanisani kwake amjue uzuri? Bashiru kama Kabudi, Kitilya, na wengine walioingia darasani lakini wakapotezwa na mazwazwa, ni mchumia tumbo na mnafiki kisomi.
 
Kwani nchi hii askofu ni bagonza tuu? Hao wengine hawajui kazi yao ya uaskofu hadi hatuwaoni kwenye uanaharakati wa Chadema?
Hapa hatakiwi kujadiliwa Askofu Bagonza, bali hoja aliyoitoa.
Hata hivyo, ni muhimu kuelewa kwamba watu wenye akili ni wachache sana kwenye makundi yote, maaskofu wakiwemo.
 
CCM inatumia dola kubaki madarakani halafu Makala anakuja na ngonjera na kuushambulia mkakati wa NO REFORMS NO ELECTION.
 
Mijitu kama hili ndio mwanzo wa vita na umaskini kwa nchi nyingi za Africa
 
Huyu Bagonza ana viini vya uhuni licha ya kuwa msomi.
Katika tafrani za matatizo KKKT mara zote yupo kundi la wahuni.
Karibuni alimtetea Askofu Mwaikali huko Dayosisi ya Konde, licha ya Askofu huyo kuwa na tabia za kihuni zisizoendana na Kanisa.
Sasa anamtetea Bashiru, pandikizi la Mwendazake, lenye uraia wenye utata.
Bagonza mwenyewe zilikuwepo tetesi za kuzaa nje.
Usituboe bwana.
 
Kwamba hamuachii madaraka kwakuwa mnahisi wengine wakiingia hawataachia?
mnaanzia wapi kuachia kwanzaa, Tindo pale ukishaonja uwaziri wa uchumi labda uletewe vifaru
 
Nenda shule uelewe maana ya dola. Usitake kupata tuition ya bure. Shule muhimu sana
Kweli kuna kuelimika na kukariri.., unadhani ukienda shule ndio utapata maana ya kitu fulani na sio kwa kuuliza aliyesema context ya alichosema huyo mtu alikuwa anamaanisha nini ?

Na kwa muktadha huo nikuulize wewe unadhani dola ni nini alafu uniambie maneno yaliyotamkwa kama sio ukweli wenyewe....; na maigizo yoyote ya vinginevyo ni katika tu kuleta peace na kujiridhisha kwamba ni vinginevyo...
 
Leta hela ya tuition. Hakuna knowledge ya bure. Mi nilisoma political science kwa mil 6
 
Leta hela ya tuition. Hakuna knowledge ya bure. Mi nilisoma political science kwa mil 6
Kwahio umejibu qoute yangu kuniambia kwamba hauna jibu ? Wakati ungeweza kuokoa hio rasilimali muda ?, Kwahio na hapa tunaanza kujadili gharama uliyotumia na kisomo ulichosomea ? How has that got to do with anything Bashiru said na validity yake ?!!
 
Unataka somo la semister nzima ufundishwe siku moja. Dont take things easier
Kwahio umejibu qoute yangu kuniambia kwamba hauna jibu ? Wakati ungeweza kuokoa hio rasilimali muda ?, Kwahio na hapa tunaanza kujadili gharama uliyotumia na kisomo ulichosomea ? How has that got to do with anything Bashiru said na validity yake ?!!
 
Unataka somo la semister nzima ufundishwa siku moja. Dont take things easier
Kwahio watu waliosoma semester nzima ndio wanatambua kuhusu Dola ? Na yule mama ntilie kijiweni akiongelea Dola anakuwa amesoma Semester ngapi au akiongelea kitu ambacho unaweza ukakiona ni controversial itabidi umuulize anamaanisha nini kwanza kwa alichokisema ?

Ukizingatia hapa the main issue sio DOLA bali ni kuhusisha hilo DOLA na kinachoendelea na ukidadavua ndio unaweza kupata ukweli wa hali halisi na huenda wala sio hapa au pale bali ndio the Nature of the Game.... Hence anamaanisha nini kuhusu Dola; Mbili anaitumia vipi kwa faida yake; Tatu anafanya hayo within the legal boundaries hapo ndio Nne tunaweza kuongelea rectification ili the above if possible can be rectified....
 
Dini na siasa kipi kimetangulia?
 
Hata dini ni siasa pia
 
Maandishi hayafutiki
 
Kipindi hicho Bashiru hakamatiki
 
Dola ni nini ?
Labda tuanzie hapo kwanza...
Kwa maoni yangu tu na sio lazima yawe ni kweli !
Mtu anaposema Dola mara nyingi ana refer kwenye maguvu ya Dola mahali yalipo !
Na hapo zaidi zaidi anamaanisha ni vyombo vya Usalama !
Yaani ni Armed Forces !
Kwa sababu tumesikia sehemu nyingi tu Vyombo hivyo vikiingia mitini kwa sababu yeyote ile Government huwa haina namna isipokuwa inaanguka kirahisi sana !
Recently ilitokea huko Syria !
Bashar al Asaad akabwaga manyanga !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…